Kwa spidi ya mikopo isokuwa na tija muda sio mwingi watarudi hao waliokufundisha kiingereza utapewa namba yako na kukabidhiwa shamba ….ndio tutajua manufaa ya hicho kiingereza unachokiona mali…
Kuna mtu kakopa kumzidi mungu wenu wa Chato? Au unadakia tu hoja ya mikopo?
 
Umasikini unadumaza sana akili zetu... Mungu akusamehe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…