Hana lolote...lakini hata kama akifanya, haya yote hayawezi kuwa na maana kama raia mmoja tu akitishiwa maisha yake wachilia mbali wengi ambao tayari wamekwishakuuawa na wengine kupotea, au kuokotwa wakielea baharini au kwenye mito wakiwa wamefungwa katika viroba kama viazi!
 
Kwangu mimi mafanikio ni,watu kupigwa risasi ovyo,waandishi wa habari kunyimwa uhuru wa kufanya kazi,watu kunyimwa haki yao kukusanyika kwa mikutano ya siasa,watu kuachishwa kazi bila kufuata utaratibu unaofaa,kutekwa na watu kopotea...niiteni mburura ila sioni mafanikio mema ya huyu mtu.
 
Aha Yule polepole alishaakufa zamani mkuu sema
R.I.P.
 
Umevimbiwa kande na maharage aliyokupikia mke wako unakuja kuropoka hapa
 
Utaonaje mafanikio huku wewe ni kipofu
 
Subiria sasa uone ' Mangumbaru ' yakishatoka Kushiba huko Ugali watakavyokuja kutiririka na kuserereka ' Kipopoma ' tupu juu ya haya ya ukweli yote uliyoyaandika. Wanakuja sasa hivi Mkuu!
Kwa comments zako, wewe ndio Ngumbaru na Popoma no 1..
Ngoja nicheki kama kuna wengine huko mbele.
 
Mkuu hapo kwenye elimu umesema walimu wa kutosha!! Fafanua kidogo wa nyanja gani?
 

Kaka kwenye elimu kampunguzia mzazi mzigo wa ada ila kiukweli elimu inadidimia...hili ni bomu baya sana. Hebu tujiulize ubora wa elimu ktk mazingira magumu ya ufundishaji na vitendea kazi inakuja je?

Rais ana nia nzuri sana na yafaa kupongezwa, ila ktk hili bado hatujajipanga sawa, hata Lowassa naye hii sera ingemshinda pia
 
Mkuu hapo kwenye elimu umesema walimu wa kutosha!! Fafanua kidogo wa nyanja gani?
Nyanja zote mkuu sijajua umemaanisha nini, ila ni sayansi na sanaa, sekondari na shule za misingi kwa hiyo ni kote kumekamilika
 
Nyanja zote mkuu sijajua umemaanisha nini, ila ni sayansi na sanaa, sekondari na shule za misingi kwa hiyo ni kote kumekamilika
Asante kwa taarifa. Niko huku kijijini nafikiri hizi takwimu hazituhusu.
 
Kwani yeye anacheza na viwiliwili vya watu?
Makinikia iko wapi?
Mzee muhuni yule.
Zaidi Ajielewi.
 
Subiria sasa uone ' Mangumbaru ' yakishatoka Kushiba huko Ugali watakavyokuja kutiririka na kuserereka ' Kipopoma ' tupu juu ya haya ya ukweli yote uliyoyaandika. Wanakuja sasa hivi Mkuu!
UPO SAHIHI MKUU
Hiyo amani unayoisemea wewe ni IPI?
Wa Kwanza Huyu
Mwingine huyu
 
Subiria sasa uone ' Mangumbaru ' yakishatoka Kushiba huko Ugali watakavyokuja kutiririka na kuserereka ' Kipopoma ' tupu juu ya haya ya ukweli yote uliyoyaandika. Wanakuja sasa hivi Mkuu!
UPO SAHIHI MKUU
Hiyo amani unayoisemea wewe ni IPI?
Wa Kwanza Huyu
Mwingine huyu

Kwani yeye anacheza na viwiliwili vya watu?
Makinikia iko wapi?
Mzee muhuni yule.
Zaidi Ajielewi.
Mwingine Huyu hapa
 
Inaonekana mwandishi wa makala hii ndio watu wanaopiga hela chini ya utawala huu wa sasa. Nothing more.
 
8.Kuweka Nidhamu ya woga kwa watendaji na mawaziri
9. Vitisho na kuteka teka ovyo ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…