Nitajie kiwanda kimoja tu ukitoa vile vilivyoachwa vinajengwa awamu ya kikwete
Kiwanda changu nashona boutique na cha kaka yangu anatengeneza juice za 300 kwenye glass. Ndo ninavyovijua wenzangu watanisaidia
 
Mimi sijaona cha maana tangu aingie hivi upanuzi wa Viwanja vya ndege na barabara ya morocco, vinamsaidia nini mvuja jasho mlala hoi na mpiga kura wake alioko tarakea rombo? Tusionane wabaya zaidi kazi anayomudu ni kuiminya democracia na kufuga kundi la majambazi wanaoitwa watu wasiojulikana kwa ajili ya kuteka watu na kuwaua wote wanaompinga bila uoga kiongozi gani mpenda sifa hafai hata kuwa mganga Wa kienyeji simpendi na wala sitampenda maana ana viashiria vya udikiteta
 
Kaleta umaskini tu an sku iz ata buku mfukon n mawenge
 

Unafiki wa Wanywa maji ya bendera ya Lumbumba haujawahi waacha salama. Leo mnadhubutu kumkashifu mtukufu wenu wajana? Kisa vitayajana ilipita mnapigania ugali wa Leo. Shame on you guys.
 
ipo haja ya kushirikishana mawazo tunahitaji kufika mbali zaidi ya hapa tulipo kwa maaana tupo nyuma ya wakati muda ndio huu lets walk together
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Weka mambo yaliyokamilika sure yanayoelekea kukamilika at least 85%. Barabara us Morocco-Mwenge,sawa. Usiweke ahadi au vitu vilivyoanza. Rejea tafsiri ya mafanikio.
Ongezea na Hili:kuuwa upinzani 80%
 
Shukran za punda hizo...hiyo roma haikujengwa kwa miaka 100?
 
Weka mambo yaliyokamilika sure yanayoelekea kukamilika at least 85%. Barabara us Morocco-Mwenge,sawa. Usiweke ahadi au vitu vilivyoanza. Rejea tafsiri ya mafanikio.
Ongezea na Hili:kuuwa upinzani 80%
Upinzani hautakiwi kwenye nchi ambayo aslimia kubwa hawana elimu...unaleta mabishano na watu kutumia mda mwingi kubishana ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…