Mkuu hats vyerehani viwili ni viwanda, nimewasilisha.Hapa niombe ufafanuzi zaidi, samahani lakini
Kiwanda changu nashona boutique na cha kaka yangu anatengeneza juice za 300 kwenye glass. Ndo ninavyovijua wenzangu watanisaidiaNitajie kiwanda kimoja tu ukitoa vile vilivyoachwa vinajengwa awamu ya kikwete
Watoto zao wana soma bureYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Watoto zao wana soma bure
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kafanya haya;
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------
Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;
Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba
Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
Miradi Mikubwa ya Maji :
Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Mkuu wa malaikaAmejitangaza kuwa JIWE
ulitaka uwe na nizamu ya kwel!!? serikali sio baba akorushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
Weka mambo yaliyokamilika sure yanayoelekea kukamilika at least 85%. Barabara us Morocco-Mwenge,sawa. Usiweke ahadi au vitu vilivyoanza. Rejea tafsiri ya mafanikio.Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Shukran za punda hizo...hiyo roma haikujengwa kwa miaka 100?Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Upinzani hautakiwi kwenye nchi ambayo aslimia kubwa hawana elimu...unaleta mabishano na watu kutumia mda mwingi kubishana ujinga.Weka mambo yaliyokamilika sure yanayoelekea kukamilika at least 85%. Barabara us Morocco-Mwenge,sawa. Usiweke ahadi au vitu vilivyoanza. Rejea tafsiri ya mafanikio.
Ongezea na Hili:kuuwa upinzani 80%