Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Nitajie kiwanda kimoja tu ukitoa vile vilivyoachwa vinajengwa awamu ya kikwete
Kiwanda changu nashona boutique na cha kaka yangu anatengeneza juice za 300 kwenye glass. Ndo ninavyovijua wenzangu watanisaidia
 
Mimi sijaona cha maana tangu aingie hivi upanuzi wa Viwanja vya ndege na barabara ya morocco, vinamsaidia nini mvuja jasho mlala hoi na mpiga kura wake alioko tarakea rombo? Tusionane wabaya zaidi kazi anayomudu ni kuiminya democracia na kufuga kundi la majambazi wanaoitwa watu wasiojulikana kwa ajili ya kuteka watu na kuwaua wote wanaompinga bila uoga kiongozi gani mpenda sifa hafai hata kuwa mganga Wa kienyeji simpendi na wala sitampenda maana ana viashiria vya udikiteta
 
Kaleta umaskini tu an sku iz ata buku mfukon n mawenge
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga

Unafiki wa Wanywa maji ya bendera ya Lumbumba haujawahi waacha salama. Leo mnadhubutu kumkashifu mtukufu wenu wajana? Kisa vitayajana ilipita mnapigania ugali wa Leo. Shame on you guys.
 
ipo haja ya kushirikishana mawazo tunahitaji kufika mbali zaidi ya hapa tulipo kwa maaana tupo nyuma ya wakati muda ndio huu lets walk together
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Weka mambo yaliyokamilika sure yanayoelekea kukamilika at least 85%. Barabara us Morocco-Mwenge,sawa. Usiweke ahadi au vitu vilivyoanza. Rejea tafsiri ya mafanikio.
Ongezea na Hili:kuuwa upinzani 80%
 
Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Shukran za punda hizo...hiyo roma haikujengwa kwa miaka 100?
 
Weka mambo yaliyokamilika sure yanayoelekea kukamilika at least 85%. Barabara us Morocco-Mwenge,sawa. Usiweke ahadi au vitu vilivyoanza. Rejea tafsiri ya mafanikio.
Ongezea na Hili:kuuwa upinzani 80%
Upinzani hautakiwi kwenye nchi ambayo aslimia kubwa hawana elimu...unaleta mabishano na watu kutumia mda mwingi kubishana ujinga.
 
Back
Top Bottom