mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 944
Wapi milioni 50,milioni 50 zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajaenda kwa uwoga wake tu, Mimi nashaanga anajisifu ukusanyaji wa kodi umeongezeka, watumishi hewa ameondoa amezuia madili yote lkn bado serikali haina hela. Kuna haja gani ya hayo aliyofanya wakati hatuon faida ya pesa aliyo iokoa? Akae akijua ana wakati mgumu sana maana wanamfurahia wanazidi kupungua kila sikuTuacheni mihemko tumsifu pale alipopatia maana nchi ilikuwa imeoza.
Fikiri mkuu hajaenda hata dubai kuosha macho kwa Uzalendo wake.
Kuna undergoing projects ambazo zipo tangu yeye hana tamaa ya kubahatika kupata huo urais kama hizo upanuzi wa airports na flyover.![]()
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kaweza kujenga
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Bila fugisu figisu angefanya nimesema. Kiufupi hii nchi haijafanya kitu kipya toka 1978 wanachofanya hawa ni kurepair vilivyopo tu hata barabara wanaweka lami tu lakini ni zile zilifunguliwa na MjerumaniMbona huyo meya alikuwa hajafanya??
Ujenzi wa Airport Chato![]()
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.
Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.
Mpaka sasa kaweza kujenga
Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2
Nyingine 3 ziko mbioni kuja.
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
Utakula jeuri yako.
Yaani mtu anatetea walioghushi vyeti halafu unasema anapambana na rushwa? Hiyo nidhamu ya Utumishi Wa umma iko wapi?Maendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Sio nidhamu,amefanikiwa kuleta wogaMaendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Magari anayotumia Daudi Bashite kutoka kwa wale jamaa kayapataje kama sio rushwa?Maendeleo ya vitu hata jakaya ameyafanya Magufuli cha maana alichofanya ni kukomesha Rushwa na kuleta nidhamu
Watu wana sema kaleta nidhamu.nidhamu hailetwi kwa kufukuza watu hovyo na kutoa kauli za vitisho. Mngefahamu watumishi wanavyomfanya huyu jamaa mngesikitika sana
Kurudisha pesa za TAASISI zetu Benki kuu zile fixed account za TAASISI walikuwa wanakula vigogo
Kupambana na dawa za kulevya
Korosho bei kupanda maradufu
Kuondoa urasimu ofis za umma
Alafu aje mtu aseme magufuli sio rais mzuri??
Magufuli oyeee