Mh rais ahsante,Ila
Ila tunaomba upande wa pinzani
Awaache wapumue kidogo,
Maana kuna wabunge tayari
Wamezoe mahakama kaa vile
Nyumbani kwao tu! Mh ipe demokrasi nafasi yake! Wakivunja sheria kwa mujibu wakatiba sawa! Sheria ichukue mkondo wake! Japo mh hata hyo katiba ibadilishwe! Tumeichoka,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiunzikisha post: 30761082 said:
"Katika uhalifu huwa hakuna umoja mkitikiswa kidogo tu umoja wenu unasambaratika,huwa ni unafiki tu siyo umoja harisi ,Mara nyingi umoja harisi hudumu na utokana na haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi darasani kisha rejelea historia nzima ya watu waliosambaratishwa pamoja na kuwa na umoja wao halisi. Mfao kawasome mandika people
 
Mazuri yanaonekana ila aongeze ajira, taifa lisilo hajiri nguvu kazi, mawazo mapya hao wazee punguza wabaki wachache watakao toa seminar kwa freshers young graduates kuleta morali na ufanisi katika kazi ili kuinua uchumi kitaifa

Happiness is a lifestyle
 
Pia kuweka vipaumbele ni muhimu sana, hakika kila mradi na mikakati ni muhimu ila kuwe na vipaumbele, vile viliowekewa kipaumbele pambana navyo mheshimiwa rais, chagua sekta yenye changamoto ziadi mfano sekta zenye changamoto ni Madini & Nishati, Afya, Elimu, Kilimo, Uchukuzi, Kazi hizi ni baadhi ya sekta zenye changamoto nyingi ukichagua kwa kuweka kipaumbele mheshimiwa rais tutafikia kule kwenye malengo ya taifa

Happiness is a lifestyle
 
Asante mkuu umenikumbusha mbali sana. Rais wa Tanzania ni sawa kama ulivyosema, asiwe mwlimu wala mwana sheria na mtu ambaye amesomea kitu chochote kile chenye neno "management" mwishoni. Kundi hili la wasomi ni destructive sana katika maisha ya binadam ulimwenguni, kwani hawako pragmatic.

Tanzania tuna hitaji Rais kama Magufuli mwenye utaalam wa kisayansi. Mbali na hayo awe na Vision na ujasiri wa kutekeleza malengo yake kama Magufuli alivyo. Asiwe mtu wa kutinga tinga tu nje na kupose na watu kama akina Teresa May na Trump au Macron na Angela Merkel au Putin, awe mzalendo na mpenda watu kama Magufuli na mkweli. Asiwe kama hawa watu, hawa ni mapuppet tu wa wazungu. Hawana lolote.
Tsikeli kabla ya kukutana na Emmanuel Macron alitakiwa kwanza akutane na viongozi wa OAU na SADC
Southern African Development Community :: Member States
badala yake ana kutana na Kibaraka mwenzake Kenyatta na Emmanuel Macron Rais wa Ufaransa, kwa sababu hao ndiyo walio msaidia kuwa madarakani.

Jamaa namwona yuko yuko tu hata Vision hana ya maendeleo ya nchi yake. Yeye badala ya kukaa na wananchi wake kwanza na kuwashukuru kwa kazi waliyo ifanya na kusikiliza shida zao ili ajui wapi kuna Tatizo na alitatue vipi? Yeye ndiyo kwanza anaona umuhimu kukutana na watu wakubwa wakubwa wenzake. Amesha shindwa huyo na hana affinity au afiliation na watu wake. Anawatumikia tu mabosi wake.

Angetoa hotuba kubwa kwa wananchi wake na kuwaeleza malengo ambayo anakusudia kuyafanya ili kuendeleza uchumi na maisha ya wananchi wake, hakuna anacho kufanya ni kutinga tinga na kupose na watu kama hao nililo wataja. Sidhani kama kuna mtu anajua political Agenda yake.

Huo ndiyo ufahari wa Afrika. Nawasikitikia wakongo!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa ingine najiuliza ile kauli mbiu ya viongozi kua VIJANA WAJIAJIRI Ali hali wao wana ajira.Basi wafundishwe ujasiriamali huko mashuleni na vyuoni(Education For Self Reliance)
Mzee kajitahidi lakini vijana wanateseka bila ajira. Vijana kutoka mwaka 2015 mpaka Leo hawana vision wala matumaini juu ya maisha yao. Nadhani kuna kizazi kinakwenda kupotezwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesoma mpaka la ngapi?
 
Kura yangu ilienda sehemu salama kabisa. Yaani huwezi amini mambo ambayo Rais wetu mpendwa amefanya ndani ya miaka 4 ni sawa na ya miaka 10.

Huyu ndie Rais tulikuwa tukimsubiria kwa muda mrefu sanaaa.

Mimi 2020 kura yangu ni kwako tu Rais Magufuli, Mimi na familia yangu kura zao zote kwako 2020.

Suala la umeme kutokatika katika pamoja na kiangazi kukumba sehemu kubwa ya nchi. Hili magufuli kalimudu.

Food security imekuwa stable pamoja na ukame.

Kule reli ya umeme inajengwa.

Na mengine mengi sanaa.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga

============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa

Flyovers zinajengwa

Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

Hakika Namsifu Rais wetu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…