Nchi yake inajengekaYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi yake inajengekaYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Na TRAujenzi wa chato international airport
Itakuwa chizi kama unaonyeshwa chassis namba za gari hiyohiyo ikiwa na namba tofauti na kisha kutoamini ni gari moja. Haya endelea kusubiri malaika akuthibitishie ikiwa clouds haikuvamiwa au ilivamiwa. Huu unafiki mlionao pamoja na elimu zenu ndio unaoleta shida nchi.Shahidi yako Mange Kimambi?
Hata siku ukilivua Kahaba Makaburi ya Kinondoni usiku Mange akikwambia huyo ni Bikra utaamini
Kusafirisha mazao yake kutoka Tandahimba kwa urahisi zaidi kwenda mikoa mingine, hii ni kwa upande wa miundo mbinu mambo mengine jiongezeYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Ujenzi wa barabara ya mtwara tandahimbaYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Kampelekea umeme hadi kijijini..kazi kwake afungue saluni, aweke mashine ya kusaga..tena nikuambie sasa hivi huku wananchi wamefungua projects za kukodisha miziki kwenye sherehe..yaani Jamaa kaleta Mwanga Mpya katika maisha..Yote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Bora hiyo nidhamu ya woga kuliko ile ya mwanzo mliyokuwa nayo ya kutubinulia midomo wananchi tukihitaji huduma.rushwa hajakomesha na hatoweza!kuhusu nidhamu makazini ni kweli tuna nidhamu ya UOGA!
Hutaelewa hadi utakapotumia akili yako.Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Tatizo kubwa ni kushindwa kutenganisha siasa na mambo mengine.Hutaelewa hadi utakapotumia akili yako.
Dawa hakuna hospitalini.uchaguzi ZNZ .sukari being juu.demokrasia imedumaa.kutekwa watu.kula rambirambi Kagera.Bunge live nk..naona mengi mabaya kuliko unyapara wa ujenziMnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Wewe ni mpuuzi na lofa asiyejua siasa za Tanzania. Wapinzani wachukue Nchi? Baba, mama na mkeo wataipigia CCM. Wewe na viroba vyako utabaki na wahuni wenzako!!Na anapojidanganya huyu hajui kuwa watumishi wa umma sio watumishi wa Chama, hawana chakupoteza hata upinzani ukichukua nchi, polisi, walimu, madaktari, watabaki na kazi zao kama kawaida, kwahiyo ajue kabisa 2020 huyu akipata 30% ya kura zote nahama nchi hata kama upinzani utashinda