Wakati Raisi wetu Mtukufu Jiwe akiwekeza kwenye Ndege na kujenga viwanja vya ndege huko kwao kijijini Chato

Karibia Robo tatu ya Taifa hili halina maji safi shule wanafunzi wanakaa kwenye sakafu


 
Huyo asijifanye mwanauchumi sana

Lazima Nchi ipige hatua kiuchumi

Maendeleo ya watu huwa hayana kikomo

Ukijenga Zahanati leo haimanishi hautajenga tena Kwasababu watu wanaongezeka kila Siku
 
Si vyema kuudanganya umma, isemwe twafanya yote haya kwa mikopo sio fedha za ndani.

Nenda ukakope ili ujenge nyumba halafu ukishindwa kulipa mkopo ndio utajua nyumba ni ya nani.

Msiendelee kuwahadaa watanzania, mikopo ya wanafunzi yenyewe serikali inashindwa kuwapa na kuwatishia kuwafukuza wakidai. Hivi fedha za ndani ziko wapi hapo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa kukili.
Maana hata kukiri napo ni ishara ya ku admit kuna udhaifu ktk pato la ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa yangu uwezo mdogo sana. Mimi nime kopa mill 20 NMb Umenisaidia kujenga nyumba hii nyumba nimejenga kwa hela yangu. Tena na riba juu acheni ushamba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Secta ya Bandari sina tena hofu na nyie maana mpo vizuri sana hongereni. Secta ya Afya inazidi kuboreka sana, hakuna tena kupeleka wagonjwa hindia. Hi yote ni kumpongeza sana raisi wetu mpendwa Magufuli kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kwa kujenga nchi kwenye secta mbalimbali ili kukuza uchimi wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zinakwenda mbio sana ila hatuna budi ku endelea kumuunga mkono Magufuli

[emoji3502]Elimu bure

[emoji3502]Kaliimarisha Shirika la Ndege [Atcl]

[emoji3502]Kaboresha Miundombinu Reli, barabara mjini na vijijini hususani kwa kiwango cha lami

[emoji3502]Kaongeza na kuboresha Vituo vya Afya kila kata

[emoji3502]Karejesha nidham serikalini na kuleta uwajibikaji wenye tija

[emoji3502]Mabeberu kila uchao wanatutengenezea mazingira ya kumchukia JPM ,Kwa ushawishi wao wanarubuni vijana kufikia hadi kudiriki kuwatusi Viongozi..

[emoji828]Ila Kwa maslahi mapana ya taifa letu, Magufuli amelijenga Taifa ipasavyo.

[emoji3502]Tukumbuke kuwa kila analofanya Magufuli ni kwa ajili ya Maslahi ya Taifa letu

[emoji3502]Watanzania wengine wanashindwa kutofautisha wema na ubaya..Ila Ipo siku Magufuli tutamkumbuka






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakumbukwa na wasioijulikana na mkuu wao wa Dar na Musiba wake
Sisi tutamkumbuka kama Raisi wa kwanza kuichambia Katiba
 
]Hata jk mbona tunamkumbuka tena tunammiss sana na yeye itakuwa hivyo hivyo
 
Tutamkumbuka kuwa Rais wa hovyo kupata kutokea nchi hii. Siamini kuwa kuna uwezekano akawepo Mtanzania ambae akipewa urais atakuwa hovyo kuzidi Magufuli.
Magufuli ni SI unit ya urais mbovu.
 
Of course.....nachokasirika Ni.......wenzie

kelphin kepph
 
Kwani nini tumsahau.?Yeye ameonesha mengi ambayo tulidhaninTanzania yasingeweza kutokea mfano mauaji ya Mkiru mbunge kupigwa risasi bungeni,kuichambia katiba, na ujinga mwingi tuliozoea kusikia DRC na somalia.life is beautiful.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SGR ya umeme ikianza kufanya kazi ndio atakua amemaliza mchezo, Dar-Moro-Dodoma-Tabora-Mwanza/Kigoma watu watakua wanatumia treni ya umeme, umbali wa safari utapungua, unapiga mishe zako baina ya Dar na Mwanza kwa siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…