Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Hivi mnakwama wapi nyie wapinzani, msipokua makini Magufuli atawafunika mpaka mkose pakutokea, hamuna hoja, mumeishiwa kabisa, kama mtakwenda hivi kwenye uchaguzi wa 2020, bila shaka mtaisha na kufutika kwenye daftari.
Mleta mada ameleta hoja za maana sana zinazopaswa kujadiliwa ili Watanzania watathmini maendeleo ya rais, nyie mnajibu kwa vituko.
Wapinzani wameingiaje hapa. Mnajua kusifia tu,kukosoa hamjui
 
Ukiona unadai gawio kutoka kwa taasisi za serikali ambazo kimsingi zinatakiwa kutoa huduma, ujue hapo sekta binafsi ipo mochwari
 
Kwani ukikopa mbwa ndo zitalipa au wewe mwenyewe uliekopa? Na hizo pesa utakazolipa sio zako au huelewi unachoongea? Kukipa ni kulahisisha kazi yako kisha utalipa pesa yako unayozalisha wewe mwenyewe, cha kusikitisha utakuta wewe nae umeenda shule kidha unasema hayo
Wewe ni mbumbumbu first grade. Huhitaji rocket science kuelewa mambo madogo. Unaelewa tunatumia kiasi gani kuservice deni kwa mwaka kama nchi. Unajua hio mikopo imeleta tija gani mpaka sasa. Nitajie nchi moja ya Africa imeendelea kwa kuwa na madeni makubwa. Huwezi enda kukopw milioni mia bank hafu ukr useme mimi ni milionea. Jaribu kutumia ubongo hata kwa asilimia 1 tu. Nchi hii ni maskini na masikini ya kutupwa ni sawa na mtu unaidhi kwenye pagale umekopa kununua Hummer umepaki nje. Shida ni kuwa tumekuwa na ushabiki wa kijinga uliofifisha mpaka uwezo wa kufiri kila kitu YES YES YES. Kama umezaliwa buguruni na sehemu ya mbali umeenda ni Bagamoyo basi shida si wewe shida ni exposure na uwezo wa kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu

Amekamilisha ujenzi wa hospital ya rufaa ya mkoa wa Mara (kwangwa). Ilianza kujengwa na mwl jk Nyerere hakuikamilisha akaishia ujenzi wa msingi. Ni zaidi ya miaka 30 lakini Chuma cha chato kimeikamilisha ndani miaka mi4.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukikopa hela inakuwa yako au ya aliyekukopesha??? Tukiwa na wananchi wenye akili kama hizi hatuwezi songa mbele Coz waoga wa kukopa kufanya maendeleo yao binafsi. Deni hata sasa kila mwezi analipa shida iko wapi. Na tunakopa lakini kinachofanyika tunaona. Zamani tulikuwa tunakopa ila matokeo hayaonekani. Acheni tuchape kazi.

Tukutane 2020
Mtoa mada anadai pesa zinapatikana humu humu. Hajui kama deni la taifa linakaribia kufikia red line

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo hapa lete hoja
Shida ni mtoa Mada hawezi tena kujitokeza kujibu hoja za wachangiaji bali atoa like kwa wenzake wanaotoa matusi then wanafurahia. Unaposema viwanda 4000 bila kuonesha ni wapo na wapi unatukosea sana sisi tunaosubiri hizo viwanda vijengwe ili tupatepo ajira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mbumbumbu first grade. Huhitaji rocket science kuelewa mambo madogo. Unaelewa tunatumia kiasi gani kuservice deni kwa mwaka kama nchi. Unajua hio mikopo imeleta tija gani mpaka sasa. Nitajie nchi moja ya Africa imeendelea kwa kuwa na madeni makubwa. Huwezi enda kukopw milioni mia bank hafu ukr useme mimi ni milionea. Jaribu kutumia ubongo hata kwa asilimia 1 tu. Nchi hii ni maskini na masikini ya kutupwa ni sawa na mtu unaidhi kwenye pagale umekopa kununua Hummer umepaki nje. Shida ni kuwa tumekuwa na ushabiki wa kijinga uliofifisha mpaka uwezo wa kufiri kila kitu YES YES YES. Kama umezaliwa buguruni na sehemu ya mbali umeenda ni Bagamoyo basi shida si wewe shida ni exposure na uwezo wa kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu.
Hivi nchi za USA, EU na CHINA hazidaiwi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uelewa mdogo. Gawio ni kwa mjibu wa sheria ya hisa. Miaka yote mashirika yanasema yanapata hasara. Lakini hawaishi kulipana posho, magari ya kifahari na mishahara mikubwa lakini hawataki kutoa gawiwo. Sema hamjazoea mtaelewa tu. Unafikiri kwanini watu wanapenda kuajiriwa maahirikani kuliko serikalini tamisemi mfano. Shida ya watanzania wajuaji mno hadi mnakera
Ukiona unadai gawio kutoka kwa taasisi za serikali ambazo kimsingi zinatakiwa kutoa huduma, ujue hapo sekta binafsi ipo mochwari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu.
Hivi nchi za USA, EU na CHINA hazidaiwi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuliza nchi zipi za Africa. Kuna kitu kinaitwa economic inteligence wengi hamna. Swali la kizushi nchi inatoa mikopo tena kwa masharti nafuu wanakopa ili iwaje? Siku ukipata jibu ya hilo swali hutauliza maswali laini laini kama ivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uelewa mdogo. Gawio ni kwa mjibu wa sheria ya hisa. Miaka yote mashirika yanasema yanapata hasara. Lakini hawaishi kulipana posho, magari ya kifahari na mishahara mikubwa lakini hawataki kutoa gawiwo. Sema hamjazoea mtaelewa tu. Unafikiri kwanini watu wanapenda kuajiriwa maahirikani kuliko serikalini tamisemi mfano. Shida ya watanzania wajuaji mno hadi mnakera

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo serikali inataka kutumia taasisi zake kufanya biashara badala ya kutoa huduma ambazo kimsingi zinatakiwa kuwa bure? si ajabu ukienda mhimbili utaambiwa kipimo ni shilingi laki moja wakati ni hospitali ya serikali ambapo serikali inalipa wataalamu mishahara na kila kitu, haya endeleeni kudai gawio hapo mhimbili...
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thread mbovu kabisa ya kufungia mwaka. Utakuwa umetumia kamasi na siyo ubongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI malofa tu ndio wanaamini hivi sasa huko serikalini watu hawaibi!! Kila kitu kinafanywa siri, CAG kataka kuikagua ATCL, kwa hali ya ajabu kabisa, hakupata ruhusu ya kufanya hivyo!!! Hivi Mkapa si alikuwa anajiita Mr. Clean huyu na wala hakuna aliyekuwa anajua nini kilikuwa kinaendelea serikalini! Pamoja na hayo, hivi kuna mwenye akili timamu anayeweza kubisha kwamba Mkapa Administration imekuwa ndo most corrupt government?! Btw, hivi huyu Magufuli huo Umalaika ameanza nao lini?! Si ni Magufuli huyu huyu ndie wizara yake ilinunua kivuko cha hovyo kwa mabilioni ya pesa na kwa hofu ya kusakamwa, akaamua kukipeleka Navy ili watu wasihoji!!

Magufuli mwizi tu kama majizi wengine wa CCM!

Sawa JPM ni mwizi, wewe je?
 
PhD yake ulimwandikia wewe. Kwani lazima English ajue. Nchi ngapi hata hawajui English and yet they are ommunicate.

None sense.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nonsense ni wewe, anashindwaje kuelewa Kiingereza wakati 'supposedly' alitakiwa kuwa amekianzia form one katika masomo yake mpaka kupata hiyo 'PHD' kama ni kweli anayo. Mtofautishe na yule aliyesoma mosomo yake kwa lugha tofauti na Kiingereza, elimu yake inatia shaka hence low self-esteem na kutisha/kudhuru/kuua watu ili aogopwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom