Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021
Yeye anapiga kazi tu, sisi tunaona matokeo chanya, sasa tunampigania 2025 aendelee, na siyo sisi tu mpaka huko juu kwa ma elite wanataka hivyo, kweli Raisi Magufuli kanifundisha kitu, hard work pays, ngoja nimuige kujituma sasa wewe endelea kupiga umbea na majungu utaishia hapo hapo zahanati tu, ...
Mkuu ulikuwa hujui hilo?

Wewe utakuwa mswahili wa Uzaramuni!
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga

============
emie emie posted: Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa..
Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa
Madaraja yanajengwa

Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa

Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa wanakula hela za wananchi kuwavusha ila sasa limejengwa

Flyovers zinajengwa

Miradi ya umeme inajengwa na miradi mingi ni kwa hela za watanzania wenyewe

Miaka yote maeneo ya Mbezi na kimara walikuwa hawapati maji japo yanapita njia hiyo hiyo lakini sasa maji yamefika mbezi, na bado wanaendelea kutandaza mabomba ili kupeleka maji. Awali waliokuwa wanakula hela za wananchi ni wenye miradi ya kuuza maji kwa magari. Ila sasa wananchi wamekombolewa.

Utendaji kazi umeimarika, sasa hivi kila mmoja anaona cheo akipewa ni kama kakalia kaa la moto..Yale mambo ya kupiga hela na kukaa ofisini kupiga usingizi yameisha watu ni kazi la sivyo unawajibishwa.

Madawa sasa yanapatikana hospitali, ile hali ya madawa ya hospitali yanapelekwa katika Pharmas binafsi imeisha.

Hospitali sasa za serikali ukienda mgonjwa anajaliwa sio kama ilivyokuwa awali.

Taasisi za serikali wafanyakazi wamekuwa wanawajibika ....hakika nidhamu imeimarika.
Kwa sasa taasisi za serikali zinajiendesha kibiasara bali si kihasara kama ilivyokuwa awali, ilikuwa ni ulaji tuu wa hela, upigaji dili, taasisi zinakufa, hakuna gawio kwa serikali, ila sasa zinatoa gawio...Hakika kila kitu ni usimamizi imara, ukicheka na kima utavuna mabua.

Awali watu walikuwa wanaulilia uongozi, hata wasio kuwa na elimu walikuwa wanagombea kupata uongozi, sasa uongozi umekuwa mgumu sababu kama wewe si muwajibikaji una ndoto za kupiga tuu, hupati nafasi, Uongozi umekuwa una hadhi kwa sasa.

Hakika Namsifu Rais wetu...

Pia soma;


Kwa akili yako unadhani kafanya Haya kwa kutumia fedha halali? Binafsi naamini ni fedha za watumishi wa umma ! Kwanini! Pigs hesabu annual increments ambazo hajalipa kwa Miaka minne ni shilling ngapi? Nauli wanazo stahili kulipwa wakati wanaenda likizo ni kiasi gani? Fedha za NHIF zimeenda wapi? Jiongeze
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hivi mnakwama wapi nyie wapinzani, msipokua makini Magufuli atawafunika mpaka mkose pakutokea, hamuna hoja, mumeishiwa kabisa, kama mtakwenda hivi kwenye uchaguzi wa 2020, bila shaka mtaisha na kufutika kwenye daftari.
Mleta mada ameleta hoja za maana sana zinazopaswa kujadiliwa ili Watanzania watathmini maendeleo ya rais, nyie mnajibu kwa vituko.
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Non Sense!!! Ulivyoanza Kusema nchi nzima ndio nikaona haupo serious!
 
Ungejua magufuli anachukiwa na wananchi wengi usinge kuja na huu upumbavu.


Mwenyewe anajua

Ushahidi serikali za mitaa.

Pamoja na mikelele yite hii bado mkaiba ushindi.


Tatizo mnadhani kindege hii ndio inamsaidia mwananchi.


Poor strategy na mtapata taabu sana .
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapumbaavuu watapinga watakuambia hakuna miradi mikubwa aliyofanya magufuli kama ya IPTL chini ya kikwete

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Give facts, tuonane 2020
Ungejua magufuli anachukiwa na wananchi wengi usinge kuja na huu upumbavu.


Mwenyewe anajua

Ushahidi serikali za mitaa.

Pamoja na mikelele yite hii bado mkaiba ushindi.


Tatizo mnadhani kindege hii ndio inamsaidia mwananchi.


Poor strategy na mtapata taabu sana .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kipindi kifupi cha miaka 4 tumeshuhudia Rais wetu akisimamia kwa nguvu miradi mingi yenye thamani kubwa ya fedha na yote inatambaa kwa nguvu na speed kubwa.

Ni katika nchi hii tuliaminishwa kuwa hakuna hela, hela zinapatikana nje ya nchi tu. Lakini leo mheshimiwa rais amesema hela zipo hapa na nje hatoki na miradi inakwenda vizuri. Ni lazima tujiulize hizi hela zilikuwa wapi?

Badala ya kulalamika tujifunze mbinu anazotumia kupata fedha. Tuache kufanya kimoja kimoja kama tunaendesha familia zetu. Tukumbuke hii ni nchi siyo familia.
Rais wetu ana akili nyingi sana.

Tena katika kipindi cha miaka hii minne hata wazungu wasingeweza kwenda na hizi multiple and giant projects Kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this.

Kwa wakati mmoja amefanya yafuatayo na yote yanatambaa.:

1. Ujenzi wa barabara zote zinaendelea na zina kamilika kwa wakati.

2. Ujenzi wa bwawa la umeme unaendelea na mkandarasi yuko sight

3. Ujenzi wa hospitali na vituo vya afya umekamilika kote nchini

4. Ujenzi wa stand za kisasa za mabasi nchi nzima

5. Ujenzi wa masoko nchi nzima

6. Ujenzi wa machinjio za kisasa

7. Ujenzi reli unaendelea

8. Ununuzi wa ndege

9. Uanzishwaji wa viwanda nchi nxima. Hadi sasa viwanda vimefufuliwa na kujengwa upya zaidi 4000.

10. Madawa supply ipo constantly kuanzia ngazi ya zahanati hadi hospitali ya taifa

11. Usambazaji wa umeme mijini na vijijini unaendelea kwa kasi

12. Elimu bure inaendelea

13. Mishahara inalipwa kwa wakati.

14. Upanuzi wa viwanja vya ndege

15. Kuhamia Dodoma walisema hawezi sasa ameweza. Na amejenga temporary offices za wizara na permanent Ikulu.

16. Ujenzi wa hospitali ya uhuru

17. Ununuzi wa vivuko na meli

Yote haya yanakwenda kwa wakati mmoja. Only geniuses can do this coz anakuwa na planning.

Sasa vilaza ndo wanalalamika wanaona maajabu. Jamani ni kawaida tu msishangae tunachapa kazi. Na zote zitakamilika kwa 100% tumpe nafasi rais wetu achape kazi vilaza acheni kulalamika.

Usifikirie kama unaendesha familia yako fikiria kama unaendesha nchi. Hatutaki twende na kimoja kimoja nchi kubwa hii hatuta fika kwa wakati tunaotaka.

Tumechelewa mno, tumeibiwa mno.

Badala ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya rais wetu watu tuache kubeza juhudi hizi. Tumshukuru Mungu ampe afya njema rais wetu ili tufike mbali. Baada ya kipindi chake yawezekana tusipate mwingine kama huyu.

Tuache genius wetu afanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwenye kampeni za uchaguzi wa raisi 2020 Genius JPM hata ongea. Atashika karatasi ndefu tatu;
1. Ahadi ilani ya uchaguzi 2015
2. Utekelezaji wa ahadi 2015 -2020
3. Ilani ya uchaguzi 2020-2025

Nina hakika wananchi watashangaa amewezaje kutekeleza kwa kasi hiyo!! Na ndipo watasema kwa sauti kubwa moja BABA CHAPA MWENDO TUWAHI KUFIKA ! TULICHELEWESHWA SANA ! wapinzani wake watabaki kukimbilia nchi za mabeberu na mashirika chonganishi ya kimataifa na wasiambulie kitu Bali ahadi na kupozwa kwa lugha .

JPM 100% PRESIDENT 2020-2025
 
Ungejua magufuli anachukiwa na wananchi wengi usinge kuja na huu upumbavu.


Mwenyewe anajua

Ushahidi serikali za mitaa.

Pamoja na mikelele yite hii bado mkaiba ushindi.


Tatizo mnadhani kindege hii ndio inamsaidia mwananchi.


Poor strategy na mtapata taabu sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wananchi wanao mchukia ni humu JF country mmoja wapo wewe !😁 taaabu tupu !
 
Back
Top Bottom