Kilaza ni Jiwe asiyependa kupingwa na kuwa weka ndani watu na kuwapa kesi za ujumu uchumi na kuwapiga risasi watu wasio na hatia
 
Mkuu Nigrastratatract umesahau kuandika contact zako

Jiwe huwa anawapenda sana watu wa dizaini yako wa "kusifu na kuabudu" ili awape nafasi za uteuzi wa u-DC
 
Hayo ni majukumu ya Rais ambapo kodi zetu ndio zimefanikisha hayo anayoyafanya. Labda tuseme ameweza kusimamia matumizi Ya kodi zetu. Ndio maana huwa anahimiza sana ulipaji kodi na anawashukuru sana walipa kodi wake. Tunaonekana ni washabiki tuu lkn hatujui tunaemchagua na kumpa kura zetu akishakuwa rais anapaswa afanye nini, na sie wajibu wetu ni nini kama wapiga kura. Basi mleta mada unadhani hiyo ni favour kwetu, huo ndio wajibu wake. Tena nilitegemea tuwe na state mining company yenye nguvu sana, oil company na gas company zenye nguvu kubwa. Tungeweza tumia wataalam wa kichina kwenye hizi sector tungefanikiwa sana. Iran walikomba wataalam wa mambo ya nyuklia toka Urusi iliyosambaratika na kuweza kufika hapo walipo.
 
Tatizo lenu vile mnavyolipwa nyie ili mfanye Tabia za kipumbavu na kishenzi msifikiri kila mtu anafanya hvy kijana unaongea na milionea anyetegemewa na watu zaidi ya 100
Haahahhaaaa,kapuku wa lumumba huna jipya!Lamba viatu vya watu upate kuishi!
 
Njoo kijana ntakupa ajira usijali mm sina kinyongo mkuu
Huna uwezo kuniajiri,hapa penyewe nalamba zaidi ya 2.8 a month,ukiacha marupurupu!Vijana wa sasa mnatafuta hela kwa kuuza hata utu wenu!Sisi wengine ni wapambanaji japo tupo kwwnye ulaji,mimi na wenzangu ndio tulianzisha tifu pale UD COET mpaka boom likatoka 5000 mpaka kufika 7500 per day!So kupigania haki kuko toka kitambo,sio njaa njaa za kipuuzi mnazotangaza mpaka kuuza utu na akili zenu,shwain!
 
Mlio karibu na raisi mumshauri atoe na ajira kwa waalim,
Wamejazana mtaani Hali si shwari, na ndio tabaka pekee linaloongoza kuponda juhudi, thus y wakipata nafasi at least ya kupata pesa za kujikimu kimaisha kelele zitawaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome tena hiyo sayansi yako vizuri ili uweze kuelewa kuwa dunia haiwezi hata mara moja ikapita katikati da ya mwezi na jua wakati mwezi unautegemea dunia ku exist.

Kama dunia na mwezi vyote kama unit vina tegemea nguvu za jua kuweza ku move kwenye orbit, basi ili tukio la kupatwa kwa mwezi liweze kutokea inabidi dunia iwe katikati na sio ipite katikati, kwani ni mwezi ndiyo unao move from the point of view of the earth na sio vinginevyo. Mwezi unaizunguka dunia. Mwezi ni Seatellite ya dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapigie simu azam uwaambie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapigie simu azam uwaambie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Azam hawaja weka bandiko hili JF. Ni maandiko yako. Kama uli Quote kwa kuto kuelewa basi next time you better be accurate.

Informations kama hizo mtoto wa darasa la tatu akizisoma ataamini kuwa kweli dunia ina pita katikati ya mwezi wakati sio kweli.

Usipende kutoa taarifa za kitaalam kama vile unavyotoa stories za kanga chini ya mwembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MURUSI,
Tupo kwenye ukoloni mamboleo, watu wana uroho na ulafi wa madaraka, mtu anafanya kwa ajili yake na sio kwa ajili ya wananchi kwahiyo sidhani kama kuna vitu vipya kwenye uongozi mtu anaweza kufanya zaidi ya kuendeleza alivyovikuta
 
Huenda hii kusifia ni maagizo maalumu maana kwa kweli inakera. Lundo la wasanii wote wanasifia hata wasivyovijua. Huku kina Lemutuz ndiyo ujinga wanaotuletea. Emb wana CCM muwe walau na akili kidogo ya kujitambua kama punje ya mtama walau itawasaidia. Mnaonekana zero vichwani mwenu.

Nilidhani watu wanawasema vibaya kwa kusifia hata kupatwa kwa jua ila kwa huyu mbumbumbu basi nimeamini kuwa mlisifia.
 
Rais kaonyesha nia yake ya kufufua shirika letu la ndege ingawa watendandaji, wanasiasa na baadhi ya Watanzania tunamuangusha Rais wetu.

Watendaji wanamuangusha kwa kuwa malalamiko ya wateja yamekuwa mengi sana kuwa uzembe na kutojali muda imeendelea kuwa sehemu ya shirika hili pendwa.

Wanasiasa wanamuangusha kwa propaganda chafu kuwa hakuna shirika la ndege duniani linalotengeneza faida. Hata kama ingekuwa ni kweli hakuna, huwezi kuacha kusafiri eti kwa kuwa kuna basi limepata ajali jana.

Watanzania tunamuangusha Rais kwa kuziamini propaganda chafu. Hata kama ATCL wanapata hasara tukubali hakuna biashara inayoanzaga na mafanikio moja kwa moja. ATCL wamesaidia sana kushusha gharama za usafiri wa ndege, kama huamini linganisha na Precision utaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…