johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeshapanic!CCM imefanya Nini katika matanikio ya Samatta? Huu ni uzezeta mwingine wa CCM kuanza kudandia mafanikio ya mtu na kusema ni wao ndio wamemfanikisha. Chama Cha Mazezeta ni hatari kwa ustawi wa taifa