Acheni kuwaudhi wapiga kura kwa kuingiza mizaha Kumbe ilani ilisema 2015-2020 ccm itamtafutia Samatta klabu Uingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu unafiki uliondika hapa hata enzi hizo za kina Yuda walikuwepo na Yesu aliwakataa sasa hapa juhudi za mtu binafsi na uhusiano wa ccm wapi na wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli akijitahidi isishuke itakuwa bingo kwake.

Dream yake ni kucheza EPL , hata kama hali ya timu sio nzuri lakin kule anaweza kuonekana na klabu nyingine kubwa kwa urahisi.

Ni lazima awahi mapema kwa maana wazungu wapo very sensitive na mambo ya age. Mbwana now is 27, ni mkubwa kwa mpira wa Ulaya.






Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Akifanya vizuri atakuwa marketable zaidi mkuu. Yote kwa yote katutoa kimasomaso au vipi.
 
We muongo sana kwenye kipengele cha REA yaani suala la umeme vijijini umedanganya sana, kwa kuwa umedanganya hili suala ninalo lijua kinaga ubaga basi huenda na hayo uliyoyaeleza nisiyo yajua utakuwa umechanganya uongo pia. Uongo si kitu kizuri ukitaka data kamili za REA utaniambia nikaupatie ujue kuwa suala la umeme vijijini bado sana bali ni wananchi wachache sana walionufaika na huduma ya REA na walio wengi ni wale waliopata huduma hii kipindi cha serikali ya hawamu ya 4, hawamu hii ya 5 ni wanavijiji wachache sana ambao wamefikiwa na huduma hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kiswahili cha mjini ninaweza kusema nimechizika, kinoma kwa Yale anayoyafanya JPM. Ametafuna mifupa ambayo watangulizi wake hata kujaribu, kwangu Mimi achana na vituo vya Afya na hospital, kuhamishia serikali Dodoma hakuna ambaye angesubutu, nakumbuka nilivyokuwa nalala naumwa mbu Kigongo ferry kusubili kivuko sasa anajenga daraja! Huyo anayebeza akimaliza kutukana hadharani arudi nafsini mwake aseme nisamehe Mora wangu mlinde JPM mpe hekima Afya na nguvu za kuipeleka TZ kwenye mafanikio. Kama Mungu amenipangia miaka 100 ya kuishi apunguze 5 aongeze upande wake unapiga kazi si mchezo.Naomba kwa uthubutu huo huo kabla hajamaliza vipindi vyake atutolee ziwani MV Bukoba tuiweke makumbusho, vizazi vya Leo vione moja ya matukio yaliyotikisa Nchi ikazizima kwa vilio mwaka 1996
 
JPM ni Raisi ambaye atakuja kuwekwa kwenye vitabu vya historia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Mkuu hizo hospitali na vituo vya afya vyote kwa pamoja havivuki bilioni 300. Leo Mo katangazwa kuwa biashara zake zimeporomoka kwa bilioni 300 na bado anaendelea na biashara. Sasa hiyo miradi ya hospitali inayokufanya uchizike na Magufuli, ungekuwa Mo si ungekufa kwa shock?
 
JPM ni Raisi ambaye atakuja kuwekwa kwenye vitabu vya historia


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu hizo sifa ni zile unazolishwa, sasa hivi uchumi uko hoi, na ushahidi ni baishara nyingi kufungwa na kukosekana kwa ajira. Deni la taifa nalo linakuwa kwa kasi ya mwanga.
 
Chama cha siasa kisicho na ajenda kinadandia hoja nyepesi nyepesi bila hata na kuwa na hoja endelevu

Mnaokoteleza hoja zenye mtazamo hasi kwenye jamii, Jamii imewachukia sana wapinzani wanalazimisha kusema kuwa hakuna amani ilihali amani imesheheni Tanzania.

Na mwaka huu wa uchaguzi bahati iliyoje watu wana vyakula wameshiba na mtu aliyeshiba huwa hadanfanyiki kiukweli Magufuli hana mpinzani wabunge wa Upinzani labda CCM. iamue tu kuwaachia lkn hakuna mpinzani hata mmoja awe diwani au mbunge atakayeshinda watu wamekasirika na siasa Chafu za kipumbavu za wapinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…