Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
''What we need is welfare economy and collective leadership'' Wenye akili timamu wanajua kwamba mmbo hayaendiSerikali hii ya awamu ya tano imefanikiwa sana kutekeleza miradi mikubwa wezeshi kiuchumi kwani miundombinu na maendeleo ni kama mishipa ya damu na cell ndani ya miili ya viumbe hai