Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mwaka 1971 General Idd Amin Dada alipompindua Milton Obote alipokelewa kwa shangwe mno na mategemeo makubwa kuwa atairekebisha Uganda. Baada ya muda aliwapa siku 90 waasia wote kuondoka na mali zao kuzitaifisha. Hapo ndio wananchi walipoongeza nyimbo na mapambio kwa Amin na kusema kweli huyu ameshushwa kwa ajili ya taifa lao.
Jambo ambalo linafanana na hapa kwetu kwa sasa ni kuwa Amin hakupenda kukosolewa na mwanzoni alianza kuwashughulikia wanaomkosoa softly, baadae kuwafunga na mwishoni kuwaua. Alipenda asifiwe yeye tuu mpaka akajipa mavyeo ya kijeshi na kifalme na endapo alitokea mwingine anayesifiwa zaidi yake alimpoteza.
Baya zaidi alikosa vision na mission za uchumi hivyo taifa likaanza kudorora kwa kasi na ndipo anguko lake lilipo shika kasi.
Aliweza kukaa madarakani miaka minane sio tena kwa ridhaa ya watu wake waliomshangilia na kumsifu awali bali nguvu za kijeshi.
Kuna kitu twaweza kujifunza hapo, anayekubali kukosolewa ana nafasi ya kufanya vizuri lakini akataaye na kuabudu sifa hana nafasi ya kufanikiwa kwani atakwama
 
Mwaka 1971 General Idd Amin Dada alipompindua Milton Obote alipokelewa kwa shangwe mno na mategemeo makubwa kuwa atairekebisha Uganda. Baada ya muda aliwapa siku 90 waasia wote kuondoka na mali zao kuzitaifisha. Hapo ndio wananchi walipoongeza nyimbo na mapambio kwa Amin na kusema kweli huyu ameshushwa kwa ajili ya taifa lao.
Jambo ambalo linafanana na hapa kwetu kwa sasa ni kuwa Amin hakupenda kukosolewa na mwanzoni alianza kuwashughulikia wanaomkosoa softly, baadae kuwafunga na mwishoni kuwaua. Alipenda asifiwe yeye tuu mpaka akajipa mavyeo ya kijeshi na kifalme na endapo alitokea mwingine anayesifiwa zaidi yake alimpoteza.
Baya zaidi alikosa vision na mission za uchumi hivyo taifa likaanza kudorora kwa kasi na ndipo anguko lake lilipo shika kasi.
Aliweza kukaa madarakani miaka minane sio tena kwa ridhaa ya watu wake waliomshangilia na kumsifu awali bali nguvu za kijeshi.
Kuna kitu twaweza kujifunza hapo, anayekubali kukosolewa ana nafasi ya kufanya vizuri lakini akataaye na kuabudu sifa hana nafasi ya kufanikiwa kwani atakwama
Tueleze yapi aliyokosolewa JMP hakayataa. Nakama kuna makosa kuna utaratibu wa kufuatilia ili mambo yarekebishwe.
 
Tueleze yapi aliyokosolewa JMP hakayataa. Nakama kuna makosa kuna utaratibu wa kufuatilia ili mambo yarekebishwe.
Mbona utaratibu huo hautumiki kwenye kuhamisha matumizi ya fedha za umma? Mbona utaratibu huo hautumiki kwenye kuwashughulikia kina Lugumi, Nyumba za umma, Meli Chakavu, Escrow, Richmond Dowans,Kiwira, rada n.k.

Chama Cha Majipu (CCM) kimekosa pumzi.
 
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.

Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!

Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!

Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.

Bado haja raisisha uwekezaji wa biashara, na bado kuanzisha biashara na kuagiza vitu kutoka nje karibu haiwezekani.
Bado anapandisha kodi kwenye sekta ambazo isinge kuwa kwa hizo kodi watu wangeweza kupanua biashara zao na kuajiri watu.
Bado ananyanyasa haki za uhuru wa kusema (freedom of speech) na watu wanaenda jela kisa wamemtukana raisi. Akati Raisi mwenyewe hata hafiki kwenye top 50 list ya powerful leaders in the world. Hapo ndipo unaona alivyo insecure.
Bado hajaleta mashindano kwenye uzalishaji wa umeme na bado kuna monopolies kwenye sekta za viwanda, afya, elimu na ujenzi.
Bado hajaimarisha haki za kumiliki mali (private property rights) kwa wananchi wa ndani na wawekezaji wa nje. Investors hawataki kuja ku invest alafu mali zao zinyang'anywe tu na serikali, kisa serikali inajisikia.
Bado hajatatua tatizo la sukari, barabara na umaskini wa vijijini, mambo ambayo ni rahisi kutatua kiasi kwamba unaweza ukamuuliza economist yeyote atakwambia jibu.
Bado hajaimarisha uhusiano na nchi zinazotuba msaada na anaonesha ubabe kitu ambacho kimekatisha msaada na kumlazimisha aongeze kodi kwa wananchi wake wenyewe.
Kaharibu biashara bandarini mpaka bandari la Zanzibar linatupita.
Yani ninaweza kuendelea na mambo Magufuli hayawezi ikija kwenye economic policies mpaka kesho kutwa alafu una ushujaa wa kuja kusema umefurahishwa naye.
 
JPM nampa more respect. Hata binti yangu kapewa mkopo tena % za maana.

Rais anajuwa watanzania ni maskini. Ilifikia nahali watu wa chini tulipoteza dira. Heshima sana kwako Dr JPM.
 
Kipindi cha nyuma mtaani tulikuwa sisi wenye kipato cha kawaida au wastan tulikuwa hatuna thamani kwa wadada mtaani. Akina dada walikuwa wanahongwa magari na kupangishiwa nyumba na mafisadi.

Sisi ambao tulikuwa hatuhongi walianza kutukosea heshima.wakawa hata salamu hawatoi. Ukienda kuoa mahari ilikuwa inafika hadi mil 5 kwa familia ya kawaida. Na bado hujatajiwa mambo mambo mengi ambayo nayo yalikuwa yanafika hata mil 5 nayo.

Sasa tunashukuru hata ukienda kuoa unaweza kupewa na mdogo mtu. Yaani waoaji wamekuwa wachache sana. Kuna familia ukienda kuoa wanakutajia mahari ndogo tu na pia wanakwambia kama utapenda kukaa na mdogo wa kike wa mke wako naye mchukue. Unapewa na nyongeza.

Wadada wengi sasa wamerudi mtaani kuishi nasi tena. Tena kwa sasa wanasamilia mara tatu tatu na kama hujasikia anakufata kabisa kukugusa kuwa uncle nakusalimia wewe. Zaman walikuwa wanajifungia tu kwenye tu gari twao.

Sasa nasi tunaanza kuheshimiwa, haya yote ni mabadiliko ya Dr Magufuli. Kwa sasa nguo ambazo ilikuwa ukipita posta suruali ya mtumba wanakwambia 50,000 sasa wanatupigia simu wenyewe kuwa suruali moja tsh 15,000 na mazungumzo yapo au unaweza lipa kwa installment.

Heshima imerud kwa kweli. Ukimpa mtu tsh 20,000 anashukuru mara tatu tatu, wakati zamani ilikuwa ukimpa hii oesa anaichukua tu na kuweka mfukoni kana kwamba umempa karatasi.
Wewe naina interest yako ni wadada tu mkuu ha ha ha
 
Hutaki kulipa kodi ila unataka maendeleo? hii ni hesabu ya wapi hii ya kula bila kutokwa jasho?

Hahaha aliyekwambia kodi inaleta maendeleo ni nani. Na wanao kula bila kutoa jasho ni wanasiasa ambao hawafanyi biashara yeyote wala kazi yeyote ya maana lakini wako tayari kuongeza kodi wanapojisikia na kunyang'anya mali za watu ambazo hawaja zifanyia kazi na kuendesha magari ya kifahari akati hao watanzania wanofanya kazi juani siku nzima wanapanda mabasi.
Soko binafsi ndiyo pekee linaleta maendeleo. Kutoka bandarini mpaka kwenye utengenezaji wa umeme, barabara, ujenzi, hospitali, shule, vyuo, usafiri e.t.c kampuni bora, huduma bora, na bei au garama za chini zinatokana na mashindano kwenye sekta binafsi. Serikali ya tanzania hailewi hili swala ndiyo maana kila mwaka wanasoma bajeti na wanahitaji kuongeza hela ya matumizi kwasabu serikali yenyewe ikijidai itatatua matatizo ya kila mtu haitaweza kwasababu haina faida wala haitengenezi ela yake yenyewe. Kila siku itahitaji ela ya wananchi na kila siku kutakua na tatizo jipya ambalo sekta binafsi lingefanya kazi bora zaidi ya kulitatua.
 
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.

Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!

Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!

Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Nia njema kwa sukar kg, 5000?
 
Wewe lazima utakuwa unakula bure na kulala bure ombi langu kama ujawa na majukumu yoyote yale usipende sifia sifia mambo kuwa uyaone TE="MJENGA, post: 14573380, member: 110291"]Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.

Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!

Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!

Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.[/QUOTE]
Wewe
 
Mbona utaratibu huo hautumiki kwenye kuhamisha matumizi ya fedha za umma? Mbona utaratibu huo hautumiki kwenye kuwashughulikia kina Lugumi, Nyumba za umma, Meli Chakavu, Escrow, Richmond Dowans,Kiwira, rada n.k.

Chama Cha Majipu (CCM) kimekosa pumzi.
Sithani kama rais amevunja sheria yoyote kuhamisha matumizi mfano mahakama waliagiziwa kupewa hela lakini hawakupewa kama inavyotakiwa alichofanya rais ni kuagiza zipelekwe, jinsi alivyosema ilionekana kama ameamisha lakini ukiangalia kwenye vifungu vya sheria hajavunja sheria. Masuala mengine kuna taasisi zinashughulia hivyo vitu. Mambo ya nyumba muulize mkapa kwani yalifanywa wakati ule na alitekeleza kama boss wake alivyomwagiza.
 
Ni kweli kabisa. Tuko nyuma kwa sababu ya kuleana. Hatuna nidhamu ya kazi wala nidhamu ya maisha. Tunaishi kwa kubabaisha tu. Tumekuwa wachuuzi wa bidhaa za nje ikiwemo mitumba. Hatufanyi uzalishaji wa bidhaa. Polisi barabarani wanakula rushwa kama sala yao. Nenda pale kibaha maili moja uone namna polisi wenye vitambi wanavyokimbilia mabasi ya abiria kutoka mikoani yanavyoingia stendi. Konda wanaweka rushwa kwenye ratiba za mabasi na polisi wanachukua 'posho' hizo haramu. Watu hawafanyi kazi ofisini ......eti wanakweda kunywa chai........... cai Ukiigia .....gia nyi gB
[emoji134] Ila Hapo Kwny Rushwa Umewaona Polisi Tu[emoji3] [emoji3]
 
MWENYE ENZI MUNGU TUBARIKI WATANZANIA NA RAISI WETU MILELE YOTE!
 
Sawa Bana Lakn Futa Kauli Yako Maana Unavunja Kanuni Za Bunge[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Mmmmmmmmmhhhhh kauli gani tena nifute, nimekiuka kanuni gani ya bunge, comrade uniambie mapema kwani hii sheria ya mtandao ni hatari....
 
995830b03960c960b2aeeb483ef4d8dd.jpg


Force Field Analysis inahitajika
 
Mmmmmmmmmhhhhh kauli gani tena nifute, nimekiuka kanuni gani ya bunge, comrade uniambie mapema kwani hii sheria ya mtandao ni hatari....
Sasa Hapa Nitamuita Sajent At Army Akutoe Nje Maana Unakiuka Kanuni Ya 64-1 Kuongea Bila Kituo.

Halafu Hilo Jina Komredi Halipo Kwny Kanuni Za Bunge, Niite Mh Tafadhari[emoji87]
 
Back
Top Bottom