Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Naamini Magufuli anatosha 2020-2025.
Kwa kipindi hiki tutafakari kazi alizofanya Rais wetu, tusiweke siasa mbele, uzalendo kwanza, Apewe miaka mingine 5 ili atimize ahadi alizoziahidi kwa Watanzania, japo mengi ameyafanya, naamini atafanya mambo makubwa zaidi 2020-2025
Rais wa mfano kwa nchi zingine za africa.
MUNGU mbariki magufuli
Kwa taarifa yenu ndiye rais aliye na mambo ya kienyeji zaidi Afrika. Ndiye rais asiyemudu usindani wala hawezi kufanya majadiliano hata na waandishi wa habari wa ndani na nje ndio kabisa. Ndiye rais barani Afrika asiyethubutu kuvuka bahari na kwenda kuzungumza na viongozi wanaoongea lugha tafauti na kiswahili. Amekuwa zaidi rais wa matamko ya vichochoroni na propaganda.
 
kuna mambo mengi ameyafanya, si kila jambo litangazwe kwenye vyombo vya habari, nahakika wengi mnafahamu isipokuwa imani mliowekewa na viongozi wenu kuwa kila jambo nilakupinga, hiyo si nzuri, kubadilika si lazima mwaka uwe mpya, mafanikio ya Magufuli yanatosha kutofautisha yeye na wengine.
Umeulizwa kwa kupitia vigezo vipi?
 
Kama ni shujaa kwa nini anaogopa uchaguzi hadi ana amuru wakurugenzi wasitangaze waoinzani?
Naamini Magufuli anatosha 2020-2025.
Kwa kipindi hiki tutafakari kazi alizofanya Rais wetu, tusiweke siasa mbele, uzalendo kwanza, Apewe miaka mingine 5 ili atimize ahadi alizoziahidi kwa Watanzania, japo mengi ameyafanya, naamini atafanya mambo makubwa zaidi 2020-2025
 
Naamini Magufuli anatosha 2020-2025.
Kwa kipindi hiki tutafakari kazi alizofanya Rais wetu, tusiweke siasa mbele, uzalendo kwanza, Apewe miaka mingine 5 ili atimize ahadi alizoziahidi kwa Watanzania, japo mengi ameyafanya, naamini atafanya mambo makubwa zaidi 2020-2025
Wapi laptop za walimu,wapi 50m.kila kijiji,wapi pesa ya korosho za wana kusini,wapi mijadala ya wazi,Katiba yetu mpya na unafuu wa maisha kwa ujumla?
 
Wazee wenye madaraka makubwa watayaacha madaraka muda si mrefu. Vijana tujifunze kusimamia tunayoamini, sio kutumika kuwajeruhi wengine ili wazee wetu (mabwana wakubwa wetu) wakiondoka tubaki salama.
Tumekuwa na vijana wanaosaidiwa kufikiri badala ya kutaka kufikiri wao wenyewe,hali hii imefanya wengi kutokuwa na nguvu ya kufanya maamuzi hasa katika maongezi.
 
nimebahatika kuzungumza kwa simu na muuza kahawa Mzee wetu shomari akaniambia hili neno.
nahisi mzee Shomari ni mzoefu na msema kweli sana.
Nasema asante sana Mzee Shomari kwa kuniambia ukweli wa kitaa
 
Issue za Corona na uchumi (ya middle income country) zimemuweka Magufuli kwenye viwango vya tofauti.. Watu sasa wanaamini maneno ya JPM kwamba tupo kwenye right track!
 
Issue za Corona na uchumi (ya middle income country) zimemuweka Magufuli kwenye viwango vya tofauti.. Watu sasa wanaamini maneno ya JPM kwamba tupo kwenye right track!
nimebahatika kuzungumza kwa simu na muuza kahawa Mzee wetu shomari akaniambia hili neno.
nahisi mzee Shomari ni mziefu na msema kweli sana.
Nasema asante sana Mzee Shomari kwa kuniambia ukweli wa kitaa
Tatizo sasa hivi kuna wanasiasa wanaongelea mambo waki weka mbele ",wivu wa Kimapenzi " na kukosa fursa ya :upigaji"
 
Unaweza kukuta mleta mada anamuamini zaidi Jiwe kuliko hata baba yake!
 
nimebahatika kuzungumza kwa simu na muuza kahawa Mzee wetu shomari akaniambia hili neno.
nahisi mzee Shomari ni mziefu na msema kweli sana.
Nasema asante sana Mzee Shomari kwa kuniambia ukweli wa kitaa
Siku mfumo wa elimu ukiboreshwa ccm itakufa.
 
Magufuli mkoa wetu wa shinyanga hajafanya lolote la maana sisi wanashy hatumpi kura hata moja!
 
Umeulizwa kwa kupitia vigezo vipi?
Uliza swali.
FB_IMG_1593974088009.jpg
 
Back
Top Bottom