Mafanikio ya Rais Samia kwa 3 years ni yapi? Nijue nikae sawa

Samia hoyeeeeeeeee!

Na mimi nampongeza pia kwenye swala la kikokotoo cha mafao.
 
Shida yenu hamjui mlitakalo. Mkienda huko vijijini kwenu mkiamua hata kuangalia majengo ya shule aliyowajengea inatosha kupima mafanikio ya Samia. Ila ndo hivyo Chuki ni ugonjwa mkubwa sana.
 
By the way SAMIA ukimlinganisha na mtangulizi wake-Magufuli,SAMIA ana mafanikio mengi zaidi.
1.Democracy
2.Uchumi
Uchumi upi? Mtaani zero
Hata kwenye karatasi zero

Bank ya dunia imetuondoa kutoka uchumi wa kati alipoachia jpm mpaka nchi masikini


Democracy inakusaidia nini? Kama watu hawashibi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jobless wanaongezeka tu mtaani, Uwekezaji wa hifadhi za Ngorongoro, Mpango wa kuwekeza bandari za Tanganyika. Safari na matamasha yanaongezeka Tanganyika. Ukaguzi wa sare za jeshi mtaani. SSM oyee
 
Katoa jobless wachache mtaani tatizo lililotengenezwa na mtangulizi wake
 
I will be short,

Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
1. Kawa Daktari
2. Yanga imefika fainali
3. Taifa stars imeenda Afcon finals
4. Kauhuru ka kuongea kameongezeka
5. Nyongeza za mishahara
6. Sisi wengine tumerudishiwa upigaji
7. Masai wamehamishwa ngorongoro
 
Taifa liko kwenye shida kuu kama zilivyoorodheshwa hapa
 

Attachments

  • IMG-20230910-WA0001.jpg
    65.9 KB · Views: 2
I will be short,

Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
Kwani haujashuhudia timu za Yanga, Simba na Taifa Stars zikishushiwa maburungutu instant yaani hapohapo uwanjani hata kukiwa na giza! Hata marekani hawajawahi kumudu.
 
I will be short,

Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
Ajira lukuki both serikalini na private sector iliyokufa kipindi Cha jpm. Miradi mipya mingi na ya zamani kumalizea japo ilikuwa wastage of resources. Nchi Ina demokrasia kubwa ambapo jpm alifunga mikutano yote ya vyama vya upinzani akaruhusi ya ccm halafu akajigamba ccm inapendwa wakati mshindani kafungiwa kabati.

Uchumi ambao ni transparent siyo Yale mauongo ya jpm eti tumeingia uchumi wa kati.

Mikataba kuwa wazi tena kupelekwa bungeni wakati kipindi Cha jpm ilikuwa haiwezekani kabisa mkataba hata mmoja kuwa wazi au tenda yoyote kuwa wazi mfano ununuzi wa ndege.

Nikiorodhesha mafanikio yote nadhani hii platform haitoshi
 
I will be short,

Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
Ajira lukuki both serikalini na private sector iliyokufa kipindi Cha jpm. Miradi mipya mingi na ya zamani kumalizea japo ilikuwa wastage of resources. Nchi Ina demokrasia kubwa ambapo jpm alifunga mikutano yote ya vyama vya upinzani akaruhusi ya ccm halafu akajigamba ccm inapendwa wakati mshindani kafungiwa kabati.

Uchumi ambao ni transparent siyo Yale mauongo ya jpm eti tumeingia uchumi wa kati.

Mikataba kuwa wazi tena kupelekwa bungeni wakati kipindi Cha jpm ilikuwa haiwezekani kabisa mkataba hata mmoja kuwa wazi au tenda yoyote kuwa wazi mfano ununuzi wa ndege.

Nikiorodhesha mafanikio yote nadhani hii platform haitoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…