Mafanikio ya Rais Samia yanawatesa waliokuwa wanaomba ashindwe kuongoza nchi

Kaza kamba kijana,

Safari yako ya uteuzi bado ngumu.

Piga pambio na masifu ya kuabudu.

Ikibidi andaa mashairi,ngonjera na nyimbo za kumsifu na kumwabudu Samia...[emoji1][emoji1]
 
Huna adabu wewe.angekuwa haja uwezo tungepata mafanikio haya makubwa katika uchumi na kila eneo? Wewe bila shaka una matatizo ya akili yanayohitaji matibabu ya haraka sana
Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere aliwahi kusema ili tuendelee tunahitaji: Uongozi Bora, Siasa Safi, Watu na Ardhi.

Kama Siasa zenyewe ndiyo hizi za kusifia mpaka ushuzi nawaambia hatutakuja kuendelea! Kama watu wenyewe katika Tanzania ni aina ya kina Lukas, hata tufanye nini hatutakuja kuendelea hapa nchini! Kama uongozi wenyewe ni huu, tusubiri tu dunia iishe bila kunusa harufu ya maendeleo.

Nasema tu, Siasa za hivi, Uongozi wa hivi na Watu wa aina yako wamekuwa laana kubwa kwa ardhi yetu ambayo Mungu aliibariki kwa kila kitu! Mnaichafua sana nchi yetu!

Ningekuwa mama, walahi NISINGEKUPA NAFASI maana unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Ningetafuta watu wenye mawazo tofauti na mimi ili tupate vitu vizuri!

Inasemekana serikali ya Marekani imeajiri na kuwalipa wakosoaji kwa kila wazo la serikali wanalotaka kufanya. Hawataki kukosea na kujuta baada ya wazo kutekelezeka! Wametafuta watu wenye mawazo ya tofauti na wao ili kukosoa mapungufu kwenye mawazo waliyonayo ili hata wakipeleka bungeni wapinzani hawana cha kukosoa!

Nakusihi ubadilike! Nchi hii hakipo cha kusifia hata kimoja! Sidhani kama huu ni wakati sahihi wa kusifiana wakati mambo hayaendi na nchi ipo kwenye lindi la umasikini, watoto wetu wanateseka, mashule hayana vifaa, watoto wanajazana kwenye vyumba vya madarasa, uwiano wa mwalimu na wanafunzi darasani ni mbovu UNAPATA WAPI NGUVU YA KUSIFIA KAMA WEWE SIYO CHAWA UNAYELIPWA? ACHA KUJIITA MZALENDO MAANA WAZELENDO HAWACHEKEI RASILIMALI ZA NCHI ZINAPOCHEZEWA! WEWE SIYO MZALENDO!
 
Chawa wa mama si mmepigwa vita, wee bado una hizo mbanga?
 
Nmecheka kwa sauti! Ami msalimie Mzee Mzee na Ameir na Haji na Makame. Waambie Mchengelwa aja na bahasha zao wakachukulie mgao wao kwa khadhi wa makunduchiii
Wallah nimewaona na kumipatia salamu zao.Huyo Makame alikuwa amebeba kapu la mahogo kivunde akishuka chomboni.Alikuwa ametulia na mkewe Mkegani amedamshi uzuri hasa!
 
Mafanikio ya kuuza KIA,Misitu,Bandari......
 
Ni kweli kabisa! Sema alijikwaa tu kwenye mikataba ya bandari zetu na Ngorongoro.
Mengine yuko vizuri mfano katika Diplomasia ya kimataifa!
 
Kilimo ndio pumzi yangu na ndicho Tegemeo langu katika kuendesha maisha na siyo huku jukwaani mnakotukana utafikiri mmekunywa gongo kabla ya kula chakula
Hakuna kanuni inayoeleza ule(ule nini?)kabla ya kunywa gongo Luca.Unajuaje?Labda tulikula jana?
 
Nakukumbusha tu TUMBO mponza tyako!!
 
Akijibu hii hoja mie niko pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…