Mafanikio ya Rais Samia yanawatesa waliokuwa wanaomba ashindwe kuongoza nchi

bwana mwashambwa, kuna siku utakuja kuyakimbia haya maandiko yako, kwasababu una uhakika moyoni mwako kwamba unaandika kiushabiki tu hata nafsi inakusuta kwamba ni uchawa tu, ila ukweli halisi haipo hivyo. kuna siku mtu mwingine mwenye mlengo mwingine atakuja kuchukua nchi, na wewe utahamia tena kwake kama malaya wa ohio.
 
Tena Malaya mwenye gonjwa la ginolea
 
Comments ngapi zimekuunga mkono kwenye huu upumbavu uliyoandika kwenye Uzi wako?
Wewe ni mgeni na jf? Hili ni jukwa la Wapinzani Kwa hiyo Wala hakuna shida.

Naunga mkono hoja,mliodhani atashindwa Ili mpate upenyo imewakata
 
Lukasi mwana wa mwashambwa unapoandika makala yako uwe unaweka mizania sawa. Usiwe unatuhumu watu humu jukwaani kiujumla kuwa na chuki dhidi ya Rais wa Jamhuri wa muungano ndugu Samia S. Hassan bila kuwataja na kuweka ushahidi, hadhira yako ni wanajamii forum. Ni muda sasa unafanya hivyo. Nakushauri yafuatayo:

1. Uzalendo sio kusifia bali kukataa uovu na kulinda misingi ya taifa.

2. Unapoandika au kuongea weka Akiba ya maneno.

3. Jifunze kwa waliokutangulia au waliokuachia kijiti hususani Musiba.

Ya kwangu ni hayo tu kwako.
 
Mama kashituka huyu Lucas Muoshambwa kazidi kusifia hata ambayo mama hafanya ye ni makofi na maandishi mengi yasiyoendana na mama!

Swala la teuzi sahau!
Kama yapi anayosifia na mama hafanyi? Yataje
 
Ni mafanikio kila eneo ni ushindi kila sehemu kuanzia afya ,Elimu, miundombinu,maji,kilimo, Biashara, uwekezaji,utalii,Ajira,mapato, Demokrasia, Diplomasia n.k. nikitaka nidadavue kimoja baada ya kingine kwa hakika hapatatosha hapa jukwaani

Tupe mafanikio ya moja Kwa moja ambayo ww na Bibi yako wa kule kijijini yanamgusa

Usiwe kama wale wa kudai katiba na ukimuuliza kifungu gani kibadilshwe Hana jibu
 
imagine hii yote ni kupambania uteuzi, halafu hateuliwi wala nini. anakula tu kwa macho. watu wanapambana sana na maisha aisee.
 

What if hakumaanisha hivyo? So tukuamini ww au yy aliongea?
 
What if hakumaanisha hivyo? So tukuamini ww au yy aliongea?
Hivyo ndivyo alivyo maanisha Rais wetu mzalendo mwenye upendo na Taifa letu na aliyedhamiria kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya watanzania na kuhakikishia kila mtanzania anaishi maisha bora ya milo mitatu iliyo bora na virutubisho.
 
imagine hii yote ni kupambania uteuzi, halafu hateuliwi wala nini. anakula tu kwa macho. watu wanapambana sana na maisha aisee.
Hapana ndugu yangu mimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani na wala siandiki hapa kwa ajili ya kupata chochote kile. Mimi naandika ukweli tu hata kama ni mchungu kwa baadhi ya watu.
 
Tupe mafanikio ya moja Kwa moja ambayo ww na Bibi yako wa kule kijijini yanamgusa

Usiwe kama wale wa kudai katiba na ukimuuliza kifungu gani kibadilshwe Hana jibu
Bibi yangu wa kule kijijini ameguswa moja kwa moja na uongozi wa Rais samia kwa kupewa. Mbolea ya Ruzuku,huduma bora za afya,bei nzuri za mazao yake. Miundombinu safi na bora.Elimi bure kaa wajukuu zake n.k
 
Tupe mafanikio ya moja Kwa moja ambayo ww na Bibi yako wa kule kijijini yanamgusa

Usiwe kama wale wa kudai katiba na ukimuuliza kifungu gani kibadilshwe Hana jibu
Bibi yangu wa kule kijijini ameguswa moja kwa moja na uongozi wa Rais samia kwa kupewa. Mbolea ya Ruzuku,huduma bora za afya,bei nzuri za mazao yake. Miundombinu safi na bora.Elimi bure kaa wajukuu zake n.k
 
Hapana ndugu yangu mimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani na wala siandiki hapa kwa ajili ya kupata chochote kile. Mimi naandika ukweli tu hata kama ni mchungu kwa baadhi ya watu.
hivi hujioni na kujishangaa ulivyo mnafiki? lakini wanyiha ndivyo mlivyo.
 
1
Wala sijasoma hadi mwisho huu upuuzi wako mtoa post. Ila nikuulize samia ameweza nini? Sana ni upigaji tu. Inadaiwa kipindi kifupi tu cha urais wake kashajilimbilizia mali yenye thamani ya usd bilioni 4.7. Ni wa saba kwa kwa marais 10 tajiri sana afrika kwa mwaka 2023.
 
Ni mafanikio kila eneo ni ushindi kila sehemu kuanzia afya ,Elimu, miundombinu,maji,kilimo, Biashara, uwekezaji,utalii,Ajira,mapato, Demokrasia, Diplomasia n.k. nikitaka nidadavue kimoja baada ya kingine kwa hakika hapatatosha hapa jukwaani
Hizi story mufilisi ndio mmebakiwa nazo, zina mwisho maana watanzania hawataendelea kuwa mazuzu kama FISIEMU mnavyofikiri.
 
Wamo humo humo ndani ya CCM! Sisi tulio nje tunampenda!
 
Hizi story mufilisi ndio mmebakiwa nazo, zina mwisho maana watanzania hawataendelea kuwa mazuzu kama FISIEMU mnavyofikiri.
Watanzania wanajitambua na kujielewa na wameridhishwa na kazi nzuri na njema anayofanya mh Rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…