Mafanikio ya Sugu na Profesa Jay yalivyowaponza Wasanii na Siasa chakavu za CCM

Yaani ccm waliwapa fomu malaya wanaojiita wasanii wagombee ubunge !!!!

Inasikitisha sana.
 
Kawe kwani ni mkazi wa Kawe?
 
Tatizo wote wanataka kwenda ccm wangeingia chadema sidhani kama watu wangekosa pale tatizo sijui ni uoga woooote wanajirundika sehemu mmoja
Nilimshangaa sana Mwanafa jimbo lilikuwa wazi sana kupitia CHADEMA ila akajilipua kwenda ambako hata kama angepita vijana wenzake wasingempa support kubwa sana zaidi ya dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…