Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Kikwete kafanya mambo mengi kuliko tawala zite,kinachofanyika tawala hii na kuonekana wanafanya sana ni watu wakujitangaza aka watu wa kiki hata miradi mingi utawala huu ni muendelezo wa aliyoaacha kikwete
 
Ikiisha miaka 10 ya Bulldozer utuletee pia atakayokuwa kafanya mkuu
na usisahau kuweka ukubwa wa deni la taifa na idadi ya watu wasio na hatia waliouwawa na utawala huu uliofitinika
 
Wale waliotuhakikishia kipindi cha awamu ya nne kuwa Kikwete hajafanya lolote ndio leo wamegeuka na kuanza kuorodhesha yote aliyofanya.
Wale waliosema ccm tangu uhuru haijawahi kufanya chochote leo wamekuwa waimba pambio wa kusifia mambo yaliyofanywa na awamu nne zilizopita.

Kikwete na Mkapa ni viongozi ovyo kuwahi kutokea nchi hii, hata yule baba yenu wa taifa naye ovyo japo yeye alijitahidi compared to those couple above.
Nikiona watu leo wanamsifia Kikwete nachoka kabisa na kujiuliza how stupid these black people are.

Nikisema Waafrika wengi ni viumbe wapumbavu mnaanza kulia mara ooh Sir Khan mbaguzi.
Magufuli wanyooshe hawa watu mpaka akili ziwarudie.
Thank you for insulting us white people
 
Tiririka .....
[/QUOTE]
Uongozi wowote pamoja na mambo yote lakini ni kudumisha amani na upendo ndiyo muhimu kuliko vyote. Mfano wewe umekuwa mwenyekiti wa shughuli sema hata harusi tu ukashindwa kuleta mshikamanao na upendo kwa ndugu na jamaa ya wanaofunga harusi majibu yake umeshaharibu harusi na utashangaa watu wanaweza kutoa michango lakini siku ya harusi wasionekane.

Jukumu kubwa la kiongozi ni kuunganisha watu wote bila upendeleo na kuleta amani kwa jamii na maendeleo yanaweza kuja taaratibu kutokana na mshikamano wa watu wote kwa mfano wakoloni waliweza kufanya mengi na mazuri na hata miundo mbinu yake na baadhi ya majengo yapo mpaka sasa lakini tuliwatimua kwa kutaka uhuru,amani na ushirikiano na siyo hayo maendeleo yao ya miundo mbinu na majengo.
Nchi yetu inahitaji amani, upendo na mshikamano zaidi kuliko kitu kingine chochote, na haya yote yanaweza kupatikana kwa ushirikishwaji wa watanzania wote na kwa sasa nchi imeparanganyika kutokana na wengi viongozi kulisahau hilo kwa kujikweza na kusahau tunu zetu za taifa
Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya.
 
Ruksa kumpa sifa yoyote, lakini sifa za jumla ni kwa wamwisho aliyemalizia na sio wa mwanzo aliyeanzisha.
P
Sijui unagombania nini hapa Jukwaani Mkuu ,hii Miradi yote iliyo tekelezwa iliwezekana kwa Kodi za Wananchi pia wa walio fanikisha walitakiwa kuwajibika kwa hilo kwa Mujibu wa Kazi zao.Sasa kelele ni za nini Mkuu ?
 
18 Oct 2013
Shirika la Fastjet laweza kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa bei nafuu bila serikali kuibeba hata kwa shilingi 1 hela za walipa kodi

Airbus a319 belonging to Fastjet Tanzania


Our Airbus A319 takes off from Julius Nyerere International Airport, Dar es Salaam at 0927 EAT on Friday 18th October 2013, marking the launch of our first international route between Tanzania and South Africa. A proud moment for fastjet and a major milestone in our plans to revolutionise African air travel.
 
Mafanikio mengine ya utawala wa Kikwete ni makampuni ya wazawa kuona fursa na faida ya kutumia reli ya kati ya mkoloni kusafirisha mizigo kwenda maeneo ya maziwa makuu ya Tanzania yaani Tanganyika na Victoria pia hadi nchi jirani bila kuingiza nchi ktk madeni makubwa ya ujenzi wa SGR Reli

 
Anamtetea pot wake
Sijui unagombania nini hapa Jukwaani Mkuu ,hii Miradi yote iliyo tekelezwa iliwezekana kwa Kodi za Wananchi pia wa walio fanikisha walitakiwa kuwajibika kwa hilo kwa Mujibu wa Kazi zao.Sasa kelele ni za nini Mkuu ?
 
Mafanikio mengine ya utawala wa Kikwete ni makampuni ya wazawa kuona fursa na faida ya kutumia reli ya kati ya mkoloni kusafirisha mizigo kwenda maeneo ya maziwa makuu ya Tanzania yaani Tanganyika na Victoria pia hadi nchi jirani bila kuingiza nchi ktk madeni makubwa ya ujenzi wa SGR Reli

Kipara Kipya njooo huku nyumba inaungua
 
2015
Kikwete bridge likikatiza mto Malagarasi kuondoa kero ya usafiri wa barabara baina ya mikoa ya Tabora na Kigoma



Mto Malagarasi ktk uhalisia wake unavyoonekana ukikatiza maeneo ya vijijini Kigoma

 
Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya.

Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya.

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?

Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?

Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.

Naomba nawe utukumbushe Mambo makubwa yaliyofanywa enzi za Jakaya.

Tiririka .....
35: Kuhakikisha John Pombe Magufuli anaingia Ikulu. Bila JK Magu asingeukwaa urais. Shukrani ya Punda mateke.
 
Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya.

Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya.

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?

Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?

Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.

Naomba nawe utukumbushe Mambo makubwa yaliyofanywa enzi za Jakaya.

Tiririka .....
Nyumba za jeshi zilizojengwa vikosini halafu wanauziwa wanajeshi kwa lazima.
 
Maendeleo ya watu badala ya vitu katika sekta ya afya kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete

 
Mkuu Pascal kuanzisha kitu ndiyo kazi inahitaji utayari sana kuliko kumalizia
Mkuu Mmawia it's true mwanzo ni mgumu kuliko kumalizia, na anayeanzisha ndiye anayefanya donkey job, lakini pongezi na shukrani ni kwa anayemaliza.

Hata katika yale, vipi wewe huwa unatoa shukrani unapoanza au unapomaliza?. Mwisho ndio mambo yote.
P
 
Back
Top Bottom