Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
pesa iliyotumika kununua ndege zote haitoshi kujenga daraja moja tu la kigamboniTumenunua ndege
Stiglers
Korosho tumpandisha bei
Elimu bure
Mijamaaa mijinga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pesa iliyotumika kununua ndege zote haitoshi kujenga daraja moja tu la kigamboniTumenunua ndege
Stiglers
Korosho tumpandisha bei
Elimu bure
Mijamaaa mijinga sana
na usisahau kuweka ukubwa wa deni la taifa na idadi ya watu wasio na hatia waliouwawa na utawala huu uliofitinikaIkiisha miaka 10 ya Bulldozer utuletee pia atakayokuwa kafanya mkuu
Thank you for insulting us white peopleWale waliotuhakikishia kipindi cha awamu ya nne kuwa Kikwete hajafanya lolote ndio leo wamegeuka na kuanza kuorodhesha yote aliyofanya.
Wale waliosema ccm tangu uhuru haijawahi kufanya chochote leo wamekuwa waimba pambio wa kusifia mambo yaliyofanywa na awamu nne zilizopita.
Kikwete na Mkapa ni viongozi ovyo kuwahi kutokea nchi hii, hata yule baba yenu wa taifa naye ovyo japo yeye alijitahidi compared to those couple above.
Nikiona watu leo wanamsifia Kikwete nachoka kabisa na kujiuliza how stupid these black people are.
Nikisema Waafrika wengi ni viumbe wapumbavu mnaanza kulia mara ooh Sir Khan mbaguzi.
Magufuli wanyooshe hawa watu mpaka akili ziwarudie.
pesa iliyotumika kununua ndege zote haitoshi kujenga daraja moja tu la kigamboni
Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya.
Sijui unagombania nini hapa Jukwaani Mkuu ,hii Miradi yote iliyo tekelezwa iliwezekana kwa Kodi za Wananchi pia wa walio fanikisha walitakiwa kuwajibika kwa hilo kwa Mujibu wa Kazi zao.Sasa kelele ni za nini Mkuu ?Ruksa kumpa sifa yoyote, lakini sifa za jumla ni kwa wamwisho aliyemalizia na sio wa mwanzo aliyeanzisha.
P
Usimfananishe jpm na takataka hizo
Hilo lilikuwa kosa kubwa kuliko yote aliyofana JMK.Kubwa zuri kuliko yote aliyofanya Jakaya ni kutuachia John Magufuli a.k.a Mwamba
Naona wewe hujui takataka ni nini!
Sijui unagombania nini hapa Jukwaani Mkuu ,hii Miradi yote iliyo tekelezwa iliwezekana kwa Kodi za Wananchi pia wa walio fanikisha walitakiwa kuwajibika kwa hilo kwa Mujibu wa Kazi zao.Sasa kelele ni za nini Mkuu ?
Kipara Kipya njooo huku nyumba inaunguaMafanikio mengine ya utawala wa Kikwete ni makampuni ya wazawa kuona fursa na faida ya kutumia reli ya kati ya mkoloni kusafirisha mizigo kwenda maeneo ya maziwa makuu ya Tanzania yaani Tanganyika na Victoria pia hadi nchi jirani bila kuingiza nchi ktk madeni makubwa ya ujenzi wa SGR Reli
35: Kuhakikisha John Pombe Magufuli anaingia Ikulu. Bila JK Magu asingeukwaa urais. Shukrani ya Punda mateke.Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya.
Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya.
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.
Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?
Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?
Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.
Naomba nawe utukumbushe Mambo makubwa yaliyofanywa enzi za Jakaya.
Tiririka .....
Nyumba za jeshi zilizojengwa vikosini halafu wanauziwa wanajeshi kwa lazima.Kumekuwepo na vijembe na lugha za kejeli zinazotolewa na baadhi ya viongozi kutuhumu awamu zilizopita hasa awamu ya tano kana kwamba wao waliiba na hakuna maendeleo waliyoyafanya.
Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya.
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.
Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?
Hivi huyo wanaemtukuza amefanya jambo gani kubwa linalofikia hata robo ya mkubwa aliyoyafanya Kikwete?
Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.
Naomba nawe utukumbushe Mambo makubwa yaliyofanywa enzi za Jakaya.
Tiririka .....
Mkuu Mmawia it's true mwanzo ni mgumu kuliko kumalizia, na anayeanzisha ndiye anayefanya donkey job, lakini pongezi na shukrani ni kwa anayemaliza.Mkuu Pascal kuanzisha kitu ndiyo kazi inahitaji utayari sana kuliko kumalizia