Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

NDANI YA MIAKA 10 KIKWETE ALIFANYA HAYA MAZITO IKIWEMO DEMOKRASIA
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Ukumbi wa kisasa wa CCM Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
Hawa wanaomtukana na kusema kuwa hakufanya chochote zaidi ya wizi na ufisadi walikuwa wanaishi nchi gani?.

Ufisadi wa kutisha kuliko kipindi chchote kile haujautaja hata kidogo na uongo kwenye barabara zala lami mpaka sasa total 6000 na point tu hizo 14000 zinatoka wapi? Halafu kila ulipogusa mara daraja mara jengo vyote vilikuwa chini ya waziri mahiri JPM
 
Taarifa ya maendeleo ya watu ya mwaka 2014 chini ya utawala wa Kikwete. Ripoti hiyo iliyotayarishwa kwa pamoja na wadau kama Mtakwimu Mkuu wa Serikali, ESRF , UDSM, REPOA, UNDP ikiwa imesheheni vipaumbele na matamanio ya wananchi kuwa ndiyo dira ya nchi. Yaani malengo yanapangwa kuanzia ngazi ya wananchi kwenda serikali za mitaa na kisha serikali kuu badala ya serikali kuu kulazimisha kwa matamko bila kushirikisha wananchi vipaumbele toka serikali kuu kwenda za mitaa na kwa wananchi na kuishia na maendeleo ya vitu badala ya watu.

 
2012
Jakaya Kikwete akitetea sera zake za maendeleo zinazogusa maisha ya wananchi yaani maendeleo ya watu yaowane na maendeleo ya vitu na mwishowe watu kuridhika na utekelezaji wa sera hizo.

24 Sep 2012
Tanzania's Path to Development:
Watch Tanzanian President Jakaya M. Kikwete explore his country's path toward economic development and his strategies for combating corruption and building institutional capacity. (Video courtesy CSIS.org.)
Source: MCCgov
 
Pole sana kijana kuunganisha uzi ni jambo la kawaida sana labda uwe mgeni wa jf
Ishu sio kuunganisha, ishu ni wizi. Yaani umekopi kila kitu alafu umeutupia hapa kama vile ni wako bila hata kuonyesha appreciation kwa mwenye uzi.
Hii inaitwa PLAGIARISM. Acha WIZI mkuu, humuimba shuleni KUIBA IBA KUBAYA SAMA..USIIBE USIIBE JITEGEMEEE...
 
Huyu wa sasa (JPM) kafanikiwa kuludisha nidhamu serikalini na kutengeneza hofu

Maendeleo hakuna la maana alilofanya mpaka sasa , ananichosha anavyozindua kazi zote za JK
 
Sijui unagombania nini hapa Jukwaani Mkuu ,hii Miradi yote iliyo tekelezwa iliwezekana kwa Kodi za Wananchi pia wa walio fanikisha walitakiwa kuwajibika kwa hilo kwa Mujibu wa Kazi zao.Sasa kelele ni za nini Mkuu ?
Kuna mtu anagombana humu?. Kuna mtu anapiga kelele humu?. Any way tumejaaliwa masikio tofouti, wakati wengine tunasoma tuu maandishi, wenzetu wenye masikio wanasikia hadi kelele!.
P
 
Mkuu, kwani Neno 'Mzee' lina maana gani ?

Pia mpaka likawepo hilo Neno ina maana kuwa hao wanaoitwa Wazee walikuwepo.

Ni neno linalotumika kinafiki sana kwa mtu anaeongelea mtengo wa kisiasa!

“Mzee Kikwete” wakati amemzidi miaka 6,si unafiki huo?
 
Nafikiri sasa ni wakati muafaka kwa wazee wa Bakita kama bado ipo wakatusaidia ili kuweka sawa matumizi sahihi ya hili neno

Mkuu

Hili neno linapotumiwa kwenye discussion zenye mtengo wa kisiasa kinakua ni unafiki mno kwa yule unaemuita mzee!
 
November 27 , 2019

Wananchi wamkumbusha Mh Rais Magufuli juu ya Maendeleo ya watu :

LIVE: BILA WOGA "ACHIA HELA MAGUFULI, MAISHA MAGUMU, WANALIA"
 
FAHAMU MAMBO MACHACHE ALIYOFANYA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.

👉Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao mpinzan kwake hakuonekana kama adui

Ukiona mtu anambeza KIKWETE mtafakari

Shea kwenye magroup
 
Haya ni matunda na mafanikio ya Ilani ya CCM!

Ni aibu kwa wale wanasema CCM haijafanya lolote la maana!

Kwa kazi kama hii, CCM itaendelea kutawala!

Baada ya miaka 10, italetwa tena list ya mafanikio mengine ya CCM!
 
FAHAMU MAMBO MACHACHE ALIYOFANYA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Kwakuhitimisha Kikwete alifanya makubwa na Mikopo aliyokopa kila mmoja ananufaika nayo na vitu vinaonekana.

[emoji117]Kubwa zaidi lingine aliwaunganisha watz kwa pamoja bila kujali vyama vyao mpinzan kwake hakuonekana kama adui

Ukiona mtu anambeza KIKWETE mtafakari

Shea kwenye magroup
Sifahamu kwa nini viongozi wa sasa wanataka kutuaminisha ya kuwa watangulizi wao hawakufanya chochote.
Wanacheza nyimbo za Manju wa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaangalia na duration , cha msingi hapa Jk aliopt kuacha hela Kwa wananchi , Jiwe yeye ameamua kuipeleka hela kwenye miundo mbinu , na services , huwez kuvifanya hvi vitu vyote Kwa wakat mmoja 💯 lazma kimoja kiumie kusubir kingine , mf ujenge vituo 300 vya Afya at the same tyme vifurike wafanya kazi na equipment ,
 
Haya ni matunda na mafanikio ya Ilani ya CCM!

Ni aibu kwa wale wanasema CCM haijafanya lolote la maana!

Kwa kazi kama hii, CCM itaendelea kutawala!

Baada ya miaka 10, italetwa tena list ya mafanikio mengine ya CCM!
Kwa pesa gani CCM iliyotoa kujenga, bora ungesema unawapongeza watanzania kulipa kodi na mabeberu kutukopesha pesa za maendeleo
 
Kwa pesa gani CCM iliyotoa kujenga, bora ungesema unawapongeza watanzania kulipa kodi na mabeberu kutukopesha pesa za maendeleo
Kichwa cha mada kinasomeka, ''Mambo aliyofanya JK''.

Mimi nilichosema ni matunda na mafanikio ya Ilani ya CCM!

Kwani Ilani ya CCM imekuwa ni pesa?

Hujui kuwa alichofanya JK kama Mwenyekiti wa CCM ni kuisimamia Ilani ya CCM!

Kikubwa zaidi, hoja yako kuhusu kodi ungeielekeza kwa mleta mada!
 
Back
Top Bottom