Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa umri niliyo nao mimi ni haki kabisa nimuite Kikwete kuwa ni mzee, sioni sababu yako kunilaumu eti kisa nimemuita Kikwete mzee!
Sipendi watu wanaopenda kuwaita wenzao “wazee”!
Ni kujikosha fulani kujichetua kwamba yeye ni “kijana” zaidi,anasema “mzee” as if anatoa heshima kumbe ni unafiki mtupu!
Kama mawe,kila mtu anamuita “mzee” as if yeye ni kijana sana kumbe age gap range ni 5-10years
“Mzee”,”mzee”,”mzee”,.....mzee my ass!