Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Kwa umri niliyo nao mimi ni haki kabisa nimuite Kikwete kuwa ni mzee, sioni sababu yako kunilaumu eti kisa nimemuita Kikwete mzee!
Sipendi watu wanaopenda kuwaita wenzao “wazee”!

Ni kujikosha fulani kujichetua kwamba yeye ni “kijana” zaidi,anasema “mzee” as if anatoa heshima kumbe ni unafiki mtupu!

Kama mawe,kila mtu anamuita “mzee” as if yeye ni kijana sana kumbe age gap range ni 5-10years

“Mzee”,”mzee”,”mzee”,.....mzee my ass!
 
Kuna dhambi gani ukimpongeza mkwere wa watu jamani?
Hakuna dhambi, bali tunatumia universal formula ya the end, justifies the means, he who laughs last laughs most.

Hata Mungu alisema "wa kwanza atakuwa wa mwisho, na wa mwisho atakuwa wa kwanza", wa kwanza ni JK sasa ni wa mwisho na wa mwisho ni JPM, ndiye wa kwanza, all the credits goes to him.
P
 
Kwa umri niliyo nao mimi ni haki kabisa nimuite Kikwete kuwa ni mzee, sioni sababu yako kunilaumu eti kisa nimemuita Kikwete mzee!

Jina “mzee” linatumika kinafiki sana!

Lina concept ya umri!

Kwanini usitoe hoja yako ukamuita “Mr” Kikwete bila kuweka umri wake kwenye microscope isiyo na umuhimu wowote?

Ni kama unambagua fulani kwamba “mzee” yule na sisi “vijana” maana opposite ya mzee inapply kwako ni true!

Kuna watu wananiudhi sana ku-degrade wenzao kwa kuwaweka kwenye mabox ya identities!

Mfano ni bwana mawe,anapenda sana kuita marais wa nyuma wazee as if wamempita mbali sana kiumri!

Mfano Kikwete,kampita mawe miaka michache tu!Ila atakavyokomaa kumuita mzee this mzee that!

Of which they in the same age group...huu unafiki bwana!
 
Labda utawapata wenye mawazo kama yako lkn kwangu mimi naona sifa zangu zimwendee Kikwete
Hakuna dhambi, bali tunatumia universal formula ya the end, justifies the means, he who laughs last laughs most.

Hata Mungu alisema "wa kwanza atakuwa wa mwisho, na wa mwisho atakuwa wa kwanza", wa kwanza ni JK sasa ni wa mwisho na wa mwisho ni JPM, ndiye wa kwanza, all the credits goes to him.
P
 
Nafikiri sasa ni wakati muafaka kwa wazee wa Bakita kama bado ipo wakatusaidia ili kuweka sawa matumizi sahihi ya hili neno
Jina “mzee” linatumika kinafiki sana!

Lina concept ya umri!

Kwanini usitoe hoja yako ukamuita “Mr” Kikwete bila kuweka umri wake kwenye microscope isiyo na umuhimu wowote?

Ni kama unambagua fulani kwamba “mzee” yule na sisi “vijana” maana opposite ya mzee inapply kwako ni true!

Kuna watu wananiudhi sana ku-degrade wenzao kwa kuwaweka kwenye mabox ya identities!

Mfano ni bwana mawe,anapenda sana kuita marais wa nyuma wazee as if wamempita mbali sana kiumri!

Mfano Kikwete,kampita mawe miaka michache tu!Ila atakavyokomaa kumuita mzee this mzee that!

Of which they in the same age group...huu unafiki bwana!
 
Aisee! Chadema kweli mmechanganyikiwa!
Yani leo hii Kikwete anapigiwa mfano na kutaja mazuri yake na chadema?

Huyu huyu JK ambae Mnyika alisema ni rais dhaifu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba Magu endelea na ubatizo wa moto baba, soon nyumbu watajitambua tu.
Unajua mnyika alisema ni dhaifu ktk jambo gani?
 
Bado mnaogopa kivuli cha maiti?
Hamuwazi mzimu ulioibuka ndani ya Nyumba yenu?
Aisee! Chadema kweli mmechanganyikiwa!
Yani leo hii Kikwete anapigiwa mfano na kutaja mazuri yake na chadema?

Huyu huyu JK ambae Mnyika alisema ni rais dhaifu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baba Magu endelea na ubatizo wa moto baba, soon nyumbu watajitambua tu.
 
Jina “mzee” linatumika kinafiki sana!

Lina concept ya umri!

Kwanini usitoe hoja yako ukamuita “Mr” Kikwete bila kuweka umri wake kwenye microscope isiyo na umuhimu wowote?

Ni kama unambagua fulani kwamba “mzee” yule na sisi “vijana” maana opposite ya mzee inapply kwako ni true!

Kuna watu wananiudhi sana ku-degrade wenzao kwa kuwaweka kwenye mabox ya identities!

Mfano ni bwana mawe,anapenda sana kuita marais wa nyuma wazee as if wamempita mbali sana kiumri!

Mfano Kikwete,kampita mawe miaka michache tu!Ila atakavyokomaa kumuita mzee this mzee that!

Of which they in the same age group...huu unafiki bwana!

Mkuu, kwani Neno 'Mzee' lina maana gani ?

Pia mpaka likawepo hilo Neno ina maana kuwa hao wanaoitwa Wazee walikuwepo.
 
Hata mimi mleta mada kanichanganya maana analichukulia kama ni tishio kweli
Mkuu, kwani Neno 'Mzee' lina maana gani ?

Pia mpaka likawepo hilo Neno ina maana kuwa hao wanaoitwa Wazee walikuwepo.
 
Kwa Kifupi Kikwete kafanya Mambo mengi sema kosa alilofanya ni kuruhusu watu wamchezee sharubu

Kikwete Kaongeza Hospital kadhaa
While za Kata
Nyumba za watumishi wa Umma kama Polisi na Walimu
Vivuko nchi nzima
Barabara za kutosha
Kajenga Mwendo kasi
Kajenga uwanja wa Ndege terminal 3 japo JPM kaja kuizindua tu
Kajenga viwanja vya ndege Songwe, Bukoba, Mbeya, na Mwanza
Ndiyo democrasia na kupevuka,rais ni mtumishi wa watu,si mungu wa watu,anachofanya rais wa sasa ni ushamba,hakuna tena uongozi wa mabavu katika dunia ya watu waliostarabika
 
Back
Top Bottom