Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

Then tunaomba msaada wa kujengewe vyoo?
 
Kwa uliyoandika, japo mengine umeapproximate kwa sababu zako za kisiasa, hakuna shida juu ya hayo malipo.

Labda kama na wewe mleta uzi ungeleta mawazo yako iwaje!! Sio kulalama tu bila suluhisho wala mbadala.

Ila kwa nature ya wapinzani na wananchi wa Tz kwa ujumla, huu uzi unatosha kuleta tafrani mitandaoni hasa twitter na jf.

Note: twitter (X) na  jf tu na sio huko mtaani kwa wasioijua hii mitandao ya kijamii.
 
Napenda hii angle yako ya kufikiri...I just hope waliopendekeza Sheria hii ndicho walichokikusudia na ndicho kitakachofanyika...less than that Sheria hii inaenda kutengeneza dynasties...na zikikaa zikajikusanya vizuri...zitatawala hii nchi mpaka yesu arudi....
 
Kwa akili kama hizi zako huwezi ona shida,
 
 
Taifa la wajinga lazima tutawaliwe nao
 
Acha iwe hivyo coz;-

Kama taifa tuliamua KAZI kubwa inayolipa Santa iwe siasa kuliko usomi na ueledi was elimu yoyote ile!!

Hilo ni janga la kisera na msimamo kama nchi!!

Tanzania itapata maendeleo ya kweli tutakapoamua mapesa meeengi yasijazwe kwenye siasa!!
 
Pesa zote hizo na bado wanaomba misaada kutoka nje ata sielewi mm hapa kuna formula gani, pesa zote hizo ilikuwa akuna haja ya kuomba mikopo nje wala misaada wakati tuna pesa sana
Viongozi wameweka masrahi yao mbele,hawajali wengine kabisa. Kwa ujumla ni ulafi tu
 
Huyu mama ana huruma
Bado na mtoto pia ni mbunge na ni N/waziri pia
Hii nchi inaoongozwa ki chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…