Mkuu mimi samaki kwa kumuangalia tu ana sura,shepu mbaya simli,Samaki nakula aina chache sana akiwepo kibua😍Kuna wale kono kono wa baharini wanaovuliwa huko Mafia na Lindi ushawahi kuwala?
Wanasema chanzo cha sumu ni mimea ya Bahari inatambulika km Mwani Sasa wakila Mwani wenye sumu ndani ya wiki moja ikatokea ndio wewe ukamla basi jiandae vizuri maana unakula sumu wakati yeye Mwani wenye sumu haumdhuru Ila wewe lazima utakudhuruZamani awakuwa na sumu sema wamewekewa sumu kuwalinda wasitoweke maana watu walikuwa wakiwala sana na kutishia uwepo wao
Unakula Sangara?Mkuu mimi samaki kwa kumuangalia tu ana sura,shepu mbaya simli,Samaki nakula aina chache sana akiwepo kibua😍
Ndio huyo na naziii ni🙌Unakula Sangara?
Sato, Nembe, Gogogo, Ningu, Soga, Dagaa, Furu, Kamongo, Ngege, Mumi, Hongwe, Mbofu, KuyuNdio huyo na naziii ni🙌
Sato,Dagaa yes ila hao wengine naona leo majina yao nadhani sijawahi kula.Sato, Nembe, Gogogo, Ningu, Soga, Dagaa, Furu, Kamongo, Ngege, Mumi, Hongwe, Mbofu, Kuyu
Hao pia unakula?
Au ushawahi kuwala Ila majina huyajui 😂Sato,Dagaa yes ila hao wengine naona leo majina yao nadhani sijawahi kula.
Samaki mwenye sura mbovu kwa kweli hapana sijawahi kula mkuu😬😁😁Au ushawahi kuwala Ila majina huyajui 😂
Labda umewahi Ila hukujua ni Samaki gani,Samaki mwenye sura mbovu kwa kweli hapana sijawahi kula mkuu😬😁😁
Sijawahi mkuu unataka niwe na mawazo😬😁😁😁Labda umewahi Ila hukujua ni Samaki gani,
😂 Haya sawa mkuu basi usiwe na mawazo ukifikiria umekula KAMONGO 🤣Sijawahi mkuu unataka niwe na mawazo😬😁😁😁
Nlikua sijui huyu anaeongelewa hapa anafananaje.....jamani huyu si kobe??? Analiwa??? Makubwa!!!!
Hapana sio hivi,wapo kasa aina mbalimbali,wenye sumu na wasio na sumu;Hapo nimekupata. Kulingana na Charles Darwin, species za viumbe huendeleza njia ya kujilinda vizazi vyao, zile aina ambazo hufanikisha kuendeleza aina ya mechanism itayakayofanya ziishi ndio zitabaki. Kasa walipoanza kupungua kwa kuliwa, wakadevelop sumu. Waliokosa sumu wameliwa ndio wanaelekea kuisha, wenye sumu wameanza kuongezeka kwenye population sample. Miaka kama 300 ijayo kasa wote watabaki wenye sumu. Mfano sasa kadri ya hizi taarifa kuongezeka basi watu watakuwa discouraged kula kasa na hivyo wataongezeka.
Na kwa kuzingatia hawa wako hatarini kutoweka basi ni rare, wavuvi wakongwe ndio wanajua kuwatofautisha
Mafia ipo pwani, Rufiji
Kobe wa baharini anaitwa sea turtleNlikua sijui huyu anaeongelewa hapa anafananaje.....jamani huyu si kobe??? Analiwa??? Makubwa!!!!
Hapo nimekupata. Kulingana na Charles Darwin, species za viumbe huendeleza njia ya kujilinda vizazi vyao, zile aina ambazo hufanikisha kuendeleza aina ya mechanism itayakayofanya ziishi ndio zitabaki. Kasa walipoanza kupungua kwa kuliwa, wakadevelop sumu. Waliokosa sumu wameliwa ndio wanaelekea kuisha, wenye sumu wameanza kuongezeka kwenye population sample. Miaka kama 300 ijayo kasa wote watabaki wenye sumu. Mfano sasa kadri ya hizi taarifa kuongezeka basi watu watakuwa discouraged kula kasa na hivyo wataongezeka.
Na kwa kuzingatia hawa wako hatarini kutoweka basi ni rare, wavuvi wakongwe ndio wanajua kuwatofautisha