Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa

Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa

Kuna wale kono kono wa baharini wanaovuliwa huko Mafia na Lindi ushawahi kuwala?
Mkuu mimi samaki kwa kumuangalia tu ana sura,shepu mbaya simli,Samaki nakula aina chache sana akiwepo kibuašŸ˜
 
Zamani awakuwa na sumu sema wamewekewa sumu kuwalinda wasitoweke maana watu walikuwa wakiwala sana na kutishia uwepo wao
Wanasema chanzo cha sumu ni mimea ya Bahari inatambulika km Mwani Sasa wakila Mwani wenye sumu ndani ya wiki moja ikatokea ndio wewe ukamla basi jiandae vizuri maana unakula sumu wakati yeye Mwani wenye sumu haumdhuru Ila wewe lazima utakudhuru
 
Hapo nimekupata. Kulingana na Charles Darwin, species za viumbe huendeleza njia ya kujilinda vizazi vyao, zile aina ambazo hufanikisha kuendeleza aina ya mechanism itayakayofanya ziishi ndio zitabaki. Kasa walipoanza kupungua kwa kuliwa, wakadevelop sumu. Waliokosa sumu wameliwa ndio wanaelekea kuisha, wenye sumu wameanza kuongezeka kwenye population sample. Miaka kama 300 ijayo kasa wote watabaki wenye sumu. Mfano sasa kadri ya hizi taarifa kuongezeka basi watu watakuwa discouraged kula kasa na hivyo wataongezeka.

Na kwa kuzingatia hawa wako hatarini kutoweka basi ni rare, wavuvi wakongwe ndio wanajua kuwatofautisha
Hapana sio hivi,wapo kasa aina mbalimbali,wenye sumu na wasio na sumu;
 
Hapo nimekupata. Kulingana na Charles Darwin, species za viumbe huendeleza njia ya kujilinda vizazi vyao, zile aina ambazo hufanikisha kuendeleza aina ya mechanism itayakayofanya ziishi ndio zitabaki. Kasa walipoanza kupungua kwa kuliwa, wakadevelop sumu. Waliokosa sumu wameliwa ndio wanaelekea kuisha, wenye sumu wameanza kuongezeka kwenye population sample. Miaka kama 300 ijayo kasa wote watabaki wenye sumu. Mfano sasa kadri ya hizi taarifa kuongezeka basi watu watakuwa discouraged kula kasa na hivyo wataongezeka.

Na kwa kuzingatia hawa wako hatarini kutoweka basi ni rare, wavuvi wakongwe ndio wanajua kuwatofautisha

Yaani hata baadhi ya vyakula kuna vyenye sumu na visivyo na sumu ,kuna kisamvu ,kuna mihogo ,kuna uyoga etc ukifakamia hovyo hovyo unaweza kula vyenye sumu.
 
Back
Top Bottom