Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Asante,Mafia ni sehemu ya mkoa wa Pwani. Sio Zanzibar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante,Mafia ni sehemu ya mkoa wa Pwani. Sio Zanzibar.
Sawa, nashukuru.!Mafia sio kisiwa cha zanzibar
wewe ni mmalawi?? au msomali?Hivi Zanzibar ina visiwa vingapi maana nilikua nafikir ni unguja na pemba.
Hiyo mafia ipo wapi??
Nimekupata, asante sana!Mkoa wa Pwani kuna Wilaya inaitwa Mafia ndio huko mkuu
Kasa Ng'amba huyu mtamu Ila ukimkuta amekula Mwani wenye sumu kaa mbali nae kukuua sumu yake ni dakika sifuriView attachment 2549436
sasa amekufa wamemla wa nn uroho tuVifo mwaka Jana watu 4 walikufa na 74 walikua hali mbaya baada ya kumla Kasa Ng'amba ambae walimuokota akiwa ufukweni amekufa
Kasa wapo wa aina mbili ukijichanganya ukamla mwenye sumu kwisha habar yakoKwanini kwa sasa sio salama, ina maana siku za nyuma kasa alikuwa salama. Inakuaje anawaua na ni walaji wazoefu wa seafoods vyenye sumu wanajua
Mbona Kama Kobe[emoji849]
Huko nili hustle sana sema mwishowe huko nkaishiaga ngome [emoji1]Vijiwe vyako hivo lazima utambe
Eti toeni huo uchafu[emoji3][emoji3][emoji3] Ungekula panyaa mkuuWatu wa baharini huko wana makankasha mi ntalala njaa kila siku.Nilienda Mtwara nikakuta wanauza tududu wamechomeka kwenye mijiti wanatutia kwenye pilipili wanabugia kama hawana akili.Walivyosegeza tu niliwaambia siwezi toeni huo uchafu.
Duh pole sana mkuuBINAFSI NIMEMLA BADO NIPO KWENYE UANGALIZI WA MADOCTA BADO SIO SAWA NATAPIKA NDIO MAANA NILIANDIKA KWA UFUPI TUOMBEANE
Duuh pole mkuu.. Mnakulaa kobe wa baharini haoBINAFSI NIMEMLA BADO NIPO KWENYE UANGALIZI WA MADOCTA BADO SIO SAWA NATAPIKA NDIO MAANA NILIANDIKA KWA UFUPI TUOMBEANE
Wanaitwa kumbwa, kukaa kwangu Mtwara nilishindwa kula, mm nilikuwa napga Kolekole tuWatu wa baharini huko wana makankasha mi ntalala njaa kila siku.Nilienda Mtwara nikakuta wanauza tududu wamechomeka kwenye mijiti wanatutia kwenye pilipili wanabugia kama hawana akili.Walivyosegeza tu niliwaambia siwezi toeni huo uchafu.
dah mimi nna kinyaa na hayo madude😤Nish
Nishamla sana
Arghhh mna roho kula uwiView attachment 2549206
👆Bunju anakuwa kama chura fulani na ana miba kibao
View attachment 2549203
👆mkunga kama nyoka wapo wanatishia kinoma Kuna wengine ni jamii ya nyoka wa bahari ukileta Tamaa ukafiria mkunga ukamla ndo kwisha habari yako...Kuna wavuvi wanagonjwa na wale nyoka bahari wakifiria ni mkunga
Ni Kobe wa baharini , anaitwa sea turtleMbona Kama Kobe[emoji849]
Kichefuchefu kabisaAisee unapataje stimu ya kula mdudu kama huyu?
sasa hao haswa huyo papa na nguru umchome na moto mdogo mdogo kisha mihogo ya nazi ila kunyusa uliokolea nazi utakula had ukimbie, au upike bamia la kukoroga umtumbukize humo vitaaamHao nakula sana Kibua tena nimuachie nani
Yees hao watamu papa na nguru tena nguru wa kuchoma unaweza ukamla na ugali Safi kabisa hana shida,sasa hao haswa huyo papa na nguru umchome na moto mdogo mdogo kisha mihogo ya nazi ila kunyusa uliokolea nazi utakula had ukimbie, au upike bamia la kukoroga umtumbukize humo vitaaam
huyo simjui, lakini kwa majongoo ya baharini nayafaham yako kama mafunza yana bei mno😂😂😂Mi samaki wengine bhana yaani ile shape tu unaweza umsile.
Kuna samaki anaitwa sijui ndo kamongo tulikuwa tunakula sana Kuna mzee anatuletea maana ni mvuvi ila kila siku analeta mkia yaani ni mkubwa ..Yeye anauza kweny mahoteli makubwa basi bhana siku moja alikuja kutuambia "Huyu samaki ukija kumuona kichwa chake unaweza usimle".
Basi bhana Kuna siku alikuja usiku na kichwa cha huyo samaki maana wanakitumia kama kweny mambo ya ushirikina ili wavue Zaid samaki wengine ....Aisee sijui ndo jina halisi hilo kamonga maana Kuna watu kibao nawajua wanaitwa hivyo makonga.
Yule samaki ana kichwa kama cha ng'ombe na meno kama ya mtu 😟yaani ana mapembe hayo meno kama mtu niligopa sana ...Akatumbia huyu Bei yake ni ghali sana ..
Maana Kuna Yale majongoo ya baharini alikuwa anasafirisha kwenda Zanzibar pamoja huyo samaki eti watalii ndo wanakula.