Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Hao nakula sana Kibua tena nimuachie nanimhh pole unakosa uhondo, je samaki wa kukaushwa na chumvi kama papa, nguru hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nakula sana Kibua tena nimuachie nanimhh pole unakosa uhondo, je samaki wa kukaushwa na chumvi kama papa, nguru hivi
Ni Kobe wa majini anaitwa Sea turtlesHuyu ndio kasa?
Sio kobe???
Ngisi ndio hafai kabisa nilimuona yupo kama konokono ametapakaa kamasi mwili mzima afu anatelezaHata wanao kula pweza,Ng’isi huwa nawashangaa sana yaani umbile tu wanatisha.
Anatisha lakini na ana sumu pia ukimla akiwa ameandaliwa vibaya bila kutoa kifuko cha sumu jiandae na wewe kufariki duniaBunju ni mtamu sana
Je wazee wa Noah?Hata wanao kula pweza,Ng’isi huwa nawashangaa sana yaani umbile tu wanatisha.
Hao jamaa walivyo waajabu utashangaa hawali kobe wa nchi kavuNi Kobe wa majini anaitwa Sea turtles
Tena huyo hivi ni jamii ya samakii nae mimi nahisi kama ni kajini fulani bora nifee kuliko kula Ngisiiii😬Ngisi ndio hafai kabisa nilimuona yupo kama konokono ametapakaa kamasi mwili mzima afu anateleza
UmemaanishaJe wazee wa Noah?
Huwa nashangaa sana🤣
Jamanii na huyu nae analiwa😬Anatisha lakini na ana sumu pia ukimla akiwa ameandaliwa vibaya bila kutoa kifuko cha sumu jiandae na wewe kufariki duniaView attachment 2549489
Afu cha ajabu eti anauzwa bei kuliko kibuaTena huyo hivi ni jamii ya samakii nae mimi nahisi kama ni kajini fulani bora nifee kuliko kula Ngisiiii😬
Kitimoto😃Umemaanisha
Poleni....
Je waliyokufa ni wa kutoka wapi?
Kilindoni... Jibondo au Chole, Juani
Ova
Ila kasa mtamu sana, nahisi wavuvi Huwa wanapata mtihani wa nafsi wakimvua, unawaza nimle...nisimle.
Mungu awalaze pema waliotangulia.....waliobaki wapate afya.
Hichi kidubwana mara ya mwisho nilikiona kwenye series ya MerlinAnatisha lakini na ana sumu pia ukimla akiwa ameandaliwa vibaya bila kutoa kifuko cha sumu jiandae na wewe kufariki duniaView attachment 2549489
Huyo na pua lake lile apite mbali .Kitimoto😃
Inakuaje bado mzima, hujamla OG ww, hahahahaaaNish
Nishamla sana
😂😂😂Mi samaki wengine bhana yaani ile shape tu unaweza umsile.kwa mara ya kwanza nakula mkunga nilikua zanzibar tena akiwa mbichi nikaitwa njoo uone naenda nakuta amejaa kwenye dish nikapiga kelele huyu si chatu naambiwa ni samaki analiwa wakamkaanga nikaambiwa nionje nikala tangu hapo nimekua mlafi kweli lakini usinipe nimuandae wewe muandae mie nije kula tu
kuna sehemu pia nilienda hii kwa tanga ndio nakuta wanawachuna hao mabunju lakini huyo sjabahatika kumla na sitaki kabisa mana tayar ninastory za kutosha kumhusu hata kipindi niko zenji walimvua kasa wakaniuliza unakula kasa nikawaambia hapana yule ni kama kobe waligawana mtaa mzima sikula huyo bunju watu wanamla sana bila kuogopa
kuliko kula bunju heri nile mirindi na tondo