digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Ukiitaja hiyo mikoa itakuwa vyema sanaYaan kwa haya majanga ya kimbunga na mvua nyingi ulimwenguni na hata hapa Tanzania kuna baadhi ya mikoa imekuwa salama kabisaa bila hata kudhurika na majanga yaliyamo kuanzia wilaya...kata...mitaa na vitongoji vyake...ni kwamba imebarikiwa....? Poleni sana
Mkuu 2014 kulikuwa na elnino? 2004 napo ilikuwepo elnino? Je 1994 napo kulikuwa na elnino?Hakuna tatizo lolote ni tabia nchi tu, mvua za elnino zinanyesha kila baada ya miaka 10.
Ahaa bado sana.ngoja yaongezeke ongezeke kama jangwani ya zamaniHivi
Kimbunga kilikuwa baharini iweje kiibukie Ifakara! Hizi shule!Allen Kilewella uko wapi? Hali sio nzuri. Kwenye ule uzi maaalum wa kimbunga cha hidaya inaonyesha kimbunga kinakuja huku. Haya ndionmatokeo ya hiki kimbunga.
Kwanza elnino sio mvua mkuu,pili naomba source inayosema elnino hutokea kila baada ya miqka 10.Sasa unadhani elnino huwa inanyesha Tanzania peke yake?
Hivi ukipanda Mlima Kitonga kwenda Iringa, na ukapanda mlima kwenda Iringa mjini huwa unaelewa nini? Unakwenda mabondeni kule?
Labda mkazi wa Makongo juu na Udsm kwenda Goba huwa unadhani kule kuna mafuriko?
Duhhhh ifakara imekua too much sasa.
Hali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa Ifakara kwa 80% upo kwenye maji.
Hasara ni kubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Cement na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa.
Kuna baadhi ya familia zinahitaji msaada.
Mtuombee.
Unaongelea mto mkondoa boss. Unataka ule mto watu watembelee boti? Ujengewe ule mto wote serious?Inahitajika project maalum ya mto Mkondowe ujengewe kutokea unapotoka, Kidete mpaka Kilosa tunaweza kupata hata njia ya usafiri kwa boti.
Maana hayo maeneo kwanza usafiri ni issue mpaka uzungukie Lumuma na ulaya, bodaboda zinapita juu ya reli kutoka Kilosa kwenda Kidete ni hatari sana na hakuna njia.
Mto umevuka kingo zake!!!Poleni sana...
Kwamba hizi mvua tu ndio chanzo cha mafuriko yote hayo...
Nina wasiwasi maeneo mengi Watanzania wenzetu wamejenga kwenye maeneo oevu, upungufu wa mvua kwa miaka mingi pengine ndio ilikuwa pona yao...
Mto umevuka kingo zake!!!
Umetembea nchi ngapi? Tanzania haina umaskini wa kushindwa kufanya hizo project.U
Unaongelea mto mkondoa boss. Unataka ule mto watu watembelee boti? Ujengewe ule mto wote serious?
Hapana.Okay...
Mvua itakuwa imenyesha sana tena mfululizo na kufanya ardhi iwe tepetepe kiasi cha kusababisha udongo kumomonyoka na mto kutapika...
Nimetembea nchi tano. Ninaishi Uingereza, born and raised dar es salaam, Baba typically ifakara, mama typically kilosa. I have been to and fro in my teen age, hayo maeneo.Umetembea nchi ngapi? Tanzania haina umaskini wa kushindwa kufanya hizo project.
Aisee!!!Hakuna mradi ulioasisiwa na Magu hapo tuanze kuusimanga haukufanyiwa upembuzi yakinifu.
Dunia imechachafya kila pembe ya dunia mafuriko na kimbunga. Kuna tatizo sehem si bur
Ifakara mto "Lumelo" ni janga sana. Flood plain yake ni kubwa saaana afu ni bonge la mto.
Yes, ni uzembe utokanao na short-sighted mind. Japan Sasa hivi kwenye mji wa Fukushima-Daichi na Fukushima-Daini wameanzisha mradi mkubwa wa kujenga ukuta/ukingo imara na madhubuti kabisa ili kuzuia maji ya bahari yasifurike kwenye miji hiyo endapo kama itatokea tena Tsunami ya hatari Kama ile iliyotokea mwaka 2011 ambayo iliua watu zaidi ya elfu arobaini sambamba na kuharibu kabisa zaidi ya 70% ya miji hiyo.Ni uzembe tu, ukiacha huo mto wilaya ya Kilosa kuna mto Mkondowe, yakitokea maafa wala siwezi kushangaa kwa sababu sisi hatujawa binadamu kamili bado tuna unyani.
Siwezi kudebate na mtu mwenye akili kisoda kama wewe.Nimetembea nchi tano. Ninaishi Uingereza, born and raised dar es salaam, Baba typically ifakara, mama typically kilosa. I have been to and fro in my teen age, hayo maeneo.
Nyie watanzania kwanza mnahitaji shughuli kwa idadi ya watu, shughuli, zenu ndizo zitaijenga nchi, mkitaka kwa tuvishughuli tudogo mfanyiwe ujenzi haadi wwa mito mtembee na maboti utakufa ww na kizazi chako hujawahi ona neema zaidi ya kulipwa mshahara wa milioni 3