Ladypeace una dry skin usoni?Jamani warembo niambieni mafuta mazuri yatayonipa choclet colour uso wangu mafuta ka beberu nimepakaa queen Elizabeth imedunda
Village hakuna fakesijui bwana ndo natumia siku zote naona yapo tu fresh nina vitube viwili hapa tena naona vimeandikwa tofauti sijui original ni kipi na fake ni kipi ila nilinunua vyote village
Kwa kweli, halafu mwili mzimanna sio sehemu sehemu tu.Lazima mwili uwe lainiiiii!
wanajitahidi sana ila mdau ujazo wake ni tofauti so yupo sawaVillage hakuna fake
Tumieni mawese
acheni umbeaIna maana wote humu yamelala?
Hili sio jibuacheni umbea
Yamelala halafu yana uwembamba mithiri ya chapati.yangekuwa yamesimama wangetuma picha zao.Ina maana wote humu yamelala?
Yamelala halafu yana uwembamba mithiri ya chapati.yangekuwa yamesimama wangetuma picha zao.
achana nao wambea kama nini? nani kawaita hapa?usitutibue tafadhari tukawehuka tukatupia mapicha humu ohooo🙂
Siamini mpaka muwehuke.usitutibue tafadhari tukawehuka tukatupia mapicha humu ohooo🙂
Sikuelewi mpaka uwehuke.ntaendelea kukariri tyuuu.shauriro we kariri tu
Jamani warembo niambieni mafuta mazuri yatayonipa choclet colour uso wangu mafuta ka beberu nimepakaa queen Elizabeth imedunda
Unitag shoga kidawa nisipitwePowa my ntakustua hata kama umesahau huu si uso
Hiyo yakwake ananunua 10k ni mls 50Wafanya biashara utawaweza na the so called "original". Wanatumia mgongo wa "ni original" kupiga watu.
Ya juu ni fake, ya chini ndo ognina hii hapa
pia nina hii
Mkuu una faida kubwa ya kusomea udaktariMimi sikuzote ninaamini mafuta ya vitu asilia kama cocoa butter, shear butter, avocado butter, au vaseline.