Khadija Mtalame
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 185
- 715
Makosa mengi Kazi kutoka Ikulu,leo Wanikute mtaaani waniambie nimekosea ilihali wao pia wanakoseauzuri amemfuta kazi eliurd mwaiteleke, alijiona kuwa ukurugenzi Wa Chato ni mkuu Wa wakurugenzi
Exactly,Idara ya uteuzi hawako serious, UPUUZ Kama huu huwez kuuona awamu ya JIWE
1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&...)
Ikulu hawako serious.
Wateuliwa watajichagulia kwenye unafuu1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&...)
Ikulu hawako serious.
OFISI KUBWA WANAKWAMA WAPI?1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&...)..
Hiyo ni mtoa taarifa tu kabugi wala sio ishu...1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&...)
Ikulu hawako serious.
View attachment 1877071View attachment 1877072
Zaidi, soma: News Alert: - UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya184
Wapelekwe kule kugumuWateuliwa watajichagulia kwenye unafuu
Bola wamuuludishe…. Lugha gani hiiHata huyo Jafari Haniu hiyo kazi haiwezi amezubaa Sana,bola wamuuludishe Msigwa.