Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Asiyekosea ni Mungu tu.....
Warekebishe....
#KaziInaendelea
#SiempreJMT
Warekebishe....
#KaziInaendelea
#SiempreJMT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Bola wamuuludishe…. Lugha gani hii
utakuta selule kama wewe unahamasisha watu wasichanje
Kwa namna mambo yanavyoenda wengine wala hatushituki tunavyoona haya. Tunalo hili..................................
kawaida kwa ccm1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115)
Ikulu hawako serious.
Zaidi, soma: Story of Change - Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la AjiraView attachment 1877071View attachment 1877072View attachment 1877074View attachment 1877075
AibuSasa kama page 8 tu hizi za teuzi wanakosea je kuandika thesis za Masters na PhD zenye pages 50+ wataweza kweli??
Kwani hairuhusiwi kufanyiwa proof reading na mtu mwingine ili kubaini makosa mapema na kuyafanyia editing kabla hayajaenda public??
Katiba mpya itazuiaje mtoto wa kigogo asiwe Kiongozi hata kama ana sifa?Huyu DED wa Ikungi ni mtoto wa Marehemu balozi kijazi ama mimi ndio sijaelewa?
Naona ukishakuwa mtoto wa mkubwa basi unakula tu teuzi, hakika ndio maana katiba mpya ni jambo la msingi sana.
Humo ndani wamechomeka hadi wake wa wapiga picha za ikulu kweli Tanzania tuna ssfari ndefu.
Ingiza Jina lako mkuu1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115)
Ikulu hawako serious.
Zaidi, soma: Story of Change - Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la AjiraView attachment 1877071View attachment 1877072View attachment 1877074View attachment 1877075
Mkurugenzi afutwi kazi maana ni mtumishi wa Umma huyo anarudishwa wizarani mpaka astaafu....Uzuri amemfuta Kazi Eliud Mwaiteleke, Alijiona Kuwa ukurugenzi Wa Chato ni mkuu wa wakurugenzi
Matumizi hafifu ya teknolojia, hapo excel tu ingetosha kuondoa huo utata- remove duplicates sasa sijui wanakwama wapiOFISI KUBWA WANAKWAMA WAPI?