Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Magaidi walioshambulia Urusi tayari washakamtwa

Sahau kuambiwa ukweli kutoka kwa Ruzzia, Kremlini watatengeneza propoganda inayowapa picha nzuri wao.
Naona hofu imewatanda baada ya wahusika kukamatwa wakikimbilia Ukraine!
 
Putin alishasema yeye kazi yake kuwapeleka kwa Allah.....
Hao sasa watapata show...
 
Full statement by the FSB:

▪️As a result of the actions of special services and law enforcement agencies, 11 people have been detained, including four terrorists who directly participated in the terrorist attack at "Crocus," and further work is being done to identify the accomplice base.

▪️After committing the terrorist act, the criminals attempted to escape, moving by car towards the Russian-Ukrainian border.

▪️As a result of coordinated actions of special and law enforcement agencies, with a difference of several hours, all four terrorists were detained in the Bryansk region. Currently, they are being transported to Moscow.

▪️Work is underway to determine all the circumstances of the terrorist attack. It has already been established that the terrorist attack was carefully planned. The weapons used by the terrorists were prepared in advance in a hiding place.

▪️After committing the terrorist act, the criminals intended to cross the Russian-Ukrainian border and had corresponding contacts on the Ukrainian side.

▪️The investigation into the terrorist attack is ongoing.
 
Watajuta kwanini hawakufa...

Nilisikia habari ya wanajeshi wa Urusi waliogoma kupigana kamanda wao akawaweka lock up kisha akawaambia wabakane huku wakipewa dawa za kuongeza nguvu. Hao magaidi kazi wanayo

Hata kwa Tz ukidakwa kwa ugaidi imekula kwako hakuna kuonewa huruma ukifika pale Tazata lazima useme hata pensel uliyoiba mwaka 1901
 
Putin alishasema yeye kazi yake kuwapeleka kwa Allah.....
Hao sasa watapata show...

Nilitaka kushangaa hujatoa comment , Kumbe unamjua Allah na si yesu kuwa ni Mungu , one step to the right direction 🤙🤙💪💪
 
Watajuta kwanini hawakufa...

Nilisikia habari ya wanajeshi wa Urusi waliogoma kupigana kamanda wao akawaweka lock up kisha akawaambia wabakane huku wakipewa dawa za kuongeza nguvu. Hao magaidi kazi wanayo

Hata kwa Tz ukidakwa kwa ugaidi imekula kwako hakuna kuonewa huruma ukifika pale Tazata lazima useme hata pensel uliyoiba mwaka 1901

bahati yake Mbowe lakini bado anaangaliwa kwa darubini kali
 
Hii ishu putin anadeal nayo mwnyw [emoji23] yale mafunzo yake ya kungfu yamepata mkunwaji [emoji23]
Wawafungie Chumbani na Gaidi mmoja kama hawajakuta putin hana marinda na anavuta pumzi yake ya mwisho
 
Unapambana sana kuwachomoa ISIS kwenye hicho kisa ili propaganda Putin zipate nafasi, bahati mbaya kwako ISIS wenyewe ndio wamekiri kufanya hilo tukio Moscow.
Russia kasema hataambiwa nani kahusika bali uchunguzi ndio utabaini nani kahusika!So kama ni ISIL basi wajiandae kwa kitakachofuata,kama sio wao basi wahusika wajiandae!
 
Acha porojo, September 11 2001 ISIS hata hawakuwepo.
wewe ndio hukuwepo, ISIS was there and DeepPond yuko sahihi
Screenshot_20240323-135033.jpg
 
Isis Wana historia ya kukiri mashambulizi hata ambayo hata hawajahusika, rejea shambuliz la kigaidi turkey na Lile la Sept 11 kule USA
Tangu aliuliwe kiongozi wao akitokea msikitini Albaghad kundi limekosa nguvu.
 
Watajuta kwanini hawakufa...

Nilisikia habari ya wanajeshi wa Urusi waliogoma kupigana kamanda wao akawaweka lock up kisha akawaambia wabakane huku wakipewa dawa za kuongeza nguvu. Hao magaidi kazi wanayo

Hata kwa Tz ukidakwa kwa ugaidi imekula kwako hakuna kuonewa huruma ukifika pale Tazata lazima useme hata pensel uliyoiba mwaka 1901
Hawa kazi wanayo ni bora wangejiua tu.

Nchi huwa hazicheki na watu wa namna hii wakiwanasa huwa wanawafanya kitu kibaya sana na mara nyingi hawataki wafe.

Hata hapa TZ cases za hivi ukinaswa utataja mpaka siku mimba yako ilipo patikana.

Kuna majitu yenye katili ya kutesa dunia hii acha kabisa.
 
Full statement by the FSB:

▪️As a result of the actions of special services and law enforcement agencies, 11 people have been detained, including four terrorists who directly participated in the terrorist attack at "Crocus," and further work is being done to identify the accomplice base.

▪️After committing the terrorist act, the criminals attempted to escape, moving by car towards the Russian-Ukrainian border.

▪️As a result of coordinated actions of special and law enforcement agencies, with a difference of several hours, all four terrorists were detained in the Bryansk region. Currently, they are being transported to Moscow.

▪️Work is underway to determine all the circumstances of the terrorist attack. It has already been established that the terrorist attack was carefully planned. The weapons used by the terrorists were prepared in advance in a hiding place.

▪️After committing the terrorist act, the criminals intended to cross the Russian-Ukrainian border and had corresponding contacts on the Ukrainian side.

▪️The investigation into the terrorist attack is ongoing.
Wanarudia rudia Ukraine border mara nyingi ili Taarifa ya kupika ionakane ina mashiko
 
Gaidi wa kwanza uyo Apo, keshawekwa mtu Kati, kafinywa kakiri kuhusika.

Wale mliokua mnasema isis wanahusika njoo mtwambie uyu nae ni ISIS au nani
anasubiri kwenda kwa waterboard kupigwa shot za mbavu ngumi za pua yaani kiufupi lazima ajutie siku aliyozaliwa kwa wasoviet hawanaga vita ndogo wao kila vita ni kama vita ya dunia
 
Marekani haijawahi tishiwa na Urusi hata siku moja. Hata USSR ilikuwa ni jino kwa jino sio kujikunyata mikono.

Hii dhana ya kudhani kila kinachotokea Urusi sababu ni Marekani ni visingizio uchwara. Marekani imepata mashambulizi ya kigaidi kadhaa huwezi sikia wanakurupuka hapohapo kabla ya uchunguzi kuitaja Urusi.
Hata Prigozhin alipoasi mlidai katumwa na Marekani. Urusi ina internal affairs nyingi za kwake yenyewe, na aliyempa sumu mpinzani Navalny mtasema katumwa na Marekani.

Putin kushinda kwa zaidi ya 80% sio shida kwa yeyote duniani. Kaua wapinzani haijawa shida sembuse kushinda Urais. Hata asingeshinda yeye kwamba Urusi ingekufa, kwamba akifa Putin leo basi ni mwisho wa Urusi? Warusi ni wale wale angekuwepo mwingine naye angekuwa almost kama Putin. Ni tabia ya kijamii sio ya individual.

Kwani kuna sehemu Urusi kaitaja US,nimeongea mtililiko na mpangilio wa matukio, so kwenye uchunguzi wa Russia yote ataya mconsider kwenye uchunguzi wake lazima apate stahili yale, hato enda directly kwenye mlengo wa kidini,halafu msikalili magaidi wote ni waslam.

Wewe unazani Urusi atarudisha kisasi directly?Russia yupo smart sana atarudisha kisasi ila hatosema kama amelip kisasi,yule boss wa Wargner Prighozhin aliye lipuliwa kwenye ndege kuna sehemu umesikia Russia akikili ni yy kahusika? au kuna siku ushawahi kusikia US kaweka pandikizi halafu yy mwenye aseme yule nilimuweka mimi...... ila mtililiko wa matukio ukiona unaelewa kipi kipo nyuma na ndio maana tukio la huyo Prighozin ,vyombo vingi vya habari na wachambuzi wana muhusisha Russia,ushajiuliza why?

Hivi unawasikiaga hawa wachambuzi wa maswala ya kimataifa, kwenye vyombo vikubwa vya habari,huwaga hawaendagi directly ila watachambua based on mtililiko wa matukio, then unaweza kupata picha halisi. Kwani kwenye mambo ya Intelgence kila kitu ni siri, ila mtililiko unaweza kukupa picha halisi na ndio maana hata mambo yao wana malizana kimya kimya.

Wewe bisha ila Putin kushinda ni shida kwa EU na US sababu ya misimamo yake,ila sehemu nyingine za duniani kwao ni poa sababu hawana mgongano wowote wa maslahi na US,ndio maana kila siku EU na US wana mwekea vikwazo Russia.Kama Putin wangekuwa hawana shida nae vikwazo wanamwekea vya nini?
 
Hivi kati ya magaidi waliokamatwa na watu waliokamatwa baada ya kufeli jaribio la mapinduzi kwenye serikali kama ya Kagame, huwa kundi lipi linakuwa katika wakati mgumu zaidi?
 
Back
Top Bottom