Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Astaghafillullah !milioni 470 bila kodi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astaghafillullah !milioni 470 bila kodi.
Haina shida tukutane 2025 ,uchaguzi ukifanyika, nchi sijui imerogwa na nani kwamba ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya sana hakuna magari , tunashindwa jifunza kwa Rais wa ZanzibarHii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.
==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.
Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”
“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
😆😆😆😆😆😆Unakideri wewe, mtu yeyote nayejadili ni CHADEMA?
CHADEMA ilishakufa toka 2017 baada ya wabunge wake kununuliwa na mnnuaji.
2020 ikafa rasmi haina mbunge , sasa hao unaosema CHADEMA ni wapi ? Mbona nyie UVCCM hamusemi hawa watakuwa ni CUF, ACT,NCCR, NLD, UPDP vyama hivi si vipo?
Watakwambia hamna shida sababu hawajikati kodi.milioni 470 bila kodi.
Kama yanahitajika wanunue ila Sasa Yale ya zamani Huwa yanaenda wapi?Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.
==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.
Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”
“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
😆😆😆😆View attachment 2965435
View attachment 2965436View attachment 2965437View attachment 2965438
Punda , basikeli na farasi wanafaa, au haya ni maigizo?
View attachment 2965441View attachment 2965443
natural way of family planning ni kufa maskini.Watakwambia hamna shida sababu hawajikati kodi.
Hii pesa ingepelekwa afya,sera ya matibabu bure isingekuwa hekaya kama ilivyo.
Hicho ndio Chama cha WanyongeWanajinunulia magari ya kifahari lakini masikini akifa Muhimbili wanazuia maiti yake hadi alipe hela ya matibabu!
Wilaya hizo ni zipi na je ni wilaya iliyo ktk mikoa iliyolengwa ya kujazia kura kujihakikishia CCM inapata kura nyingi kupitia presha na ukada wa maDC hao
56 x 470,000,000 = 26,320,000,000
Hao wanaokwenda kusikiliza hizo changamoto gari zitawarahisishia kufika kusiko fikika!Gari ndiyo zinahudumia wananchi?
Hakuna maji ya uhakika
Umeme
Dawa hospitalini
Watoto wanakaa chini mashuleni
Mazao yanaharibikia mashambani
Wewe unajitia midole hapo lumumba huku ukiwa umevimbiwa kwa rushwa na unabana pua ati NDIIYO VYEMA. akili zipo za kutosha kweli? Au ni kama yule chizi anayeombewa na pengo kila siku?
Unakideri wewe, mtu yeyote nayejadili ni CHADEMA?
CHADEMA ilishakufa toka 2017 baada ya wabunge wake kununuliwa na mnnuaji.
2020 ikafa rasmi haina mbunge , sasa hao unaosema CHADEMA ni wapi ? Mbona nyie UVCCM hamusemi hawa watakuwa ni CUF, ACT,NCCR, NLD, UPDP vyama hivi si vipo?
Upo sahihi kabisa:Ndio. Wanaoleta mabandiko ya magari ni CHADEMA.
Wekeni sera zenu wananchi wawasikilize, na sio porojo zenu. Kwani Erythrocyte ni CUF au UDP?
Kama unataka kujua athari zake, subiri CHADEMA wagawiwe(hawachaguliki) nafasi chache Serikalini 2025. Endeleeni kujenga haya mazingira.
Kideri mwenyewe😌😌😁
sio tu kushindwa yanatafutiwa visingizio lukuki ili yashindwe kufanyika 😂 ila kumlipa mzee Toyota billion 50 aingize hio mikoko umatumbini ni chap sana 😁Kupanga ni kuchagua, kipaumbele cha chama changu cha mapinduzi ni kufadhili maisha ya anasa kwa viongozi wakati mambo ya msingi yanatushinda. Sad.
Land Cruiser Prado imetoka new model lazma wanunue 😂Kuna haja ya kununua magari mapya every year? Ni kama kila ikitoka brand moya serikal nao wanataka
Shosti unapuyanga , Katiba ipi inazungumza kuhusu magari ni ibara ipi?Iko ivi hayo magari yananunuliwa kwa mujibu wa sheria na katiba tulionayo,hata ww ungekuwa raisi usingezuia ilo,