G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Ipelekwe afya kwani chenga zake zingekuwa ndogo sasaWatakwambia hamna shida sababu hawajikati kodi.
Hii pesa ingepelekwa afya,sera ya matibabu bure isingekuwa hekaya kama ilivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipelekwe afya kwani chenga zake zingekuwa ndogo sasaWatakwambia hamna shida sababu hawajikati kodi.
Hii pesa ingepelekwa afya,sera ya matibabu bure isingekuwa hekaya kama ilivyo.
Wanasikiliza changamoto kwa miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru??Hao wanaokwenda kusikiliza hizo changamoto gari zitawarahisishia kufika kusiko fikika!
Hakuna mbadala wafanyaje!Wanasikiliza changamoto kwa miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru??
Hakuna mbadala ndo maana kura ziliingizwa kwenye mafuko ya sandarusiHakuna mbadala wafanyaje!
Unadhani wakikopeshwa kuna mkuu wa wilaya ataagiza gari ya 500M?Ndo maana Mimi sipendi kulipa Kodi kwann wasikopeshwe wao magari bila Kodi ili wawe na uchungu nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakomaaa udugu, poleeeeSdxxggyddhvddhcfcjvjh hivyo mlivyoelewa mxiewwww!!
Yaliyopo sasa watauziwa shs. Milioni kumi kisha watanunuliwa mapya.Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.
==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.
Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”
“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
Waambie ukweli Hawa mapimbi!Billions of money zinaenda kuchezewa kwa mambo ya kipuuzi kabisa. Hivi vyeo tulishavikataa kitambo kwa sababu ni vya kisiasa, na pia havina tija yoyote ile kwenye ustawi wa Taifa letu.
Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.
==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.
Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”
“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
Sory nilitaka manisha Rais wa Zambia kama Rais alikuta magari kibao ikulu, ila hakununua gari lake sisi daily magari ,magari ,hii wenda ni kufuru that's nchi inapata mikosiHaina shida tukutane 2025 ,uchaguzi ukifanyika, nchi sijui imerogwa na nani kwamba ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya sana hakuna magari , tunashindwa jifunza kwa Rais wa Zanzibar
Mavieite ??! Au ? 😱Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.
==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.
Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”
“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
Chukua 5. Huyo Mwenyekiti wao awaachie tu Vijana, yeye sera zake, ni vinyongo na visassi binafsi, yani kulipiza kisasi tuCHADEMA ilishakufa toka 2017
Baadae wakaja na kivutio chao, pole za hisani zikaisha, Wakaja na fukuzana na kaburi, porojo hizo nazo zinafifia, wakarejea na uharakati, yote hayo kutaka ku remain relevant.2020 ikafa rasmi
Kwanini hukuzipeleka polisi kama kidhibiti!Hakuna mbadala ndo maana kura ziliingizwa kwenye mafuko ya sandarusi
Msome mtu ndani ya mistari , usikurupuke tuChukua 5. Huyo Mwenyekiti wao awaachie tu Vijana, yeye sera zake, ni vinyongo na visassi binafsi, yani kulipiza kisasi tu
Baadae wakaja na kivutio chao, pole za hisani zikaisha, Wakaja na fukuzana na kaburi, porojo hizo nazo zinafifia, wakarejea na uharakati, yote hayo kutaka ku remain relevant.
Wameharibu sana taswira ya nchi na Uharakati Uchwara.
🤣🤣🤣🤣🤣Im just thinking out loud, kwanin wasinunuliwe zile Rav 4 sauti ya manka?
Maana zile ni kanyaga twende kwenye shimo na lami.
Au probox zinafaa.
Ili kuwatofautisha na sisi wengine wanunuliwe za kijani ili wamtangaze na kumsifia boss kwa maneno na vitendo
Haya basi. Kumbuka tu nimejifunza kutoka kwako. Soma nilichoandika, utauona mstari.Msome mtu ndani ya mistari , usikurupuke tu
😂😂😂 kuna mambo jau sana!! Sasa hao watu wanaonunuliwa hayo magari ndio wanayafanya ya kubebea wasomali, halafu wananchi maisha magumu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakomaaa udugu, poleeee