Magari 56 ya Wakuu wa Wilaya kununuliwa mwaka wa fedha 2024/25

Magari 56 ya Wakuu wa Wilaya kununuliwa mwaka wa fedha 2024/25

Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.

==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.

Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”

“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
Yaliyopo sasa watauziwa shs. Milioni kumi kisha watanunuliwa mapya.
Ninatafuta mganga konki atakaye niwezesha kuupata ukuu wa wilaya, wajameni mnisaidiege.
 
Kama mama ataendekeza utawala wa kifalme namna hii badala ya kujali maisha ya wanyonge, nchi hii haiji kupata mafanikio kamwe
Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.

==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.

Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”

“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
 
Haina shida tukutane 2025 ,uchaguzi ukifanyika, nchi sijui imerogwa na nani kwamba ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya sana hakuna magari , tunashindwa jifunza kwa Rais wa Zanzibar
Sory nilitaka manisha Rais wa Zambia kama Rais alikuta magari kibao ikulu, ila hakununua gari lake sisi daily magari ,magari ,hii wenda ni kufuru that's nchi inapata mikosi
 
Hii ndio Taarifa iliyokuja leo kutokea Bungeni, kama ilivyotolewa na Mohamed Mchengerwa ambaye ni Waziri wa TAMISEMI.

==
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Mikoa ikiwemo majengo ya utawala, Ikulu ndogo, makazi ya Viongozi na Watumshi wa Mikoa, Wilaya na Tarafa katika Mikoa 26.

Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16, 2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024/202 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”

“Shughuli nyingine ni ununuzi wa magari 56 ya Wakuu wa Wilaya na 47 ya Wakurugenzi wa Halmashauri”
Mavieite ??! Au ? 😱
 
CHADEMA ilishakufa toka 2017
Chukua 5. Huyo Mwenyekiti wao awaachie tu Vijana, yeye sera zake, ni vinyongo na visassi binafsi, yani kulipiza kisasi tu
2020 ikafa rasmi
Baadae wakaja na kivutio chao, pole za hisani zikaisha, Wakaja na fukuzana na kaburi, porojo hizo nazo zinafifia, wakarejea na uharakati, yote hayo kutaka ku remain relevant.

Wameharibu sana taswira ya nchi na Uharakati Uchwara.
 
Chukua 5. Huyo Mwenyekiti wao awaachie tu Vijana, yeye sera zake, ni vinyongo na visassi binafsi, yani kulipiza kisasi tu

Baadae wakaja na kivutio chao, pole za hisani zikaisha, Wakaja na fukuzana na kaburi, porojo hizo nazo zinafifia, wakarejea na uharakati, yote hayo kutaka ku remain relevant.

Wameharibu sana taswira ya nchi na Uharakati Uchwara.
Msome mtu ndani ya mistari , usikurupuke tu
 
Im just thinking out loud, kwanin wasinunuliwe zile Rav 4 sauti ya manka?
Maana zile ni kanyaga twende kwenye shimo na lami.
Au probox zinafaa.
Ili kuwatofautisha na sisi wengine wanunuliwe za kijani ili wamtangaze na kumsifia boss kwa maneno na vitendo
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom