Magari 56 ya Wakuu wa Wilaya kununuliwa mwaka wa fedha 2024/25

Haina shida tukutane 2025 ,uchaguzi ukifanyika, nchi sijui imerogwa na nani kwamba ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya sana hakuna magari , tunashindwa jifunza kwa Rais wa Zanzibar
 
😆😆😆😆😆😆
 
Kama yanahitajika wanunue ila Sasa Yale ya zamani Huwa yanaenda wapi?

Kimsingi Serikali hutumika Bilioni 550 Kwa ununuzi wa magari,vipiri,matengendzo na Mafuta.
 
Yale yaliyopo vipi yamechoka ? Kwa mwendo huu itabidi tuanze kufikiria jinsi ya hawa jamaa kununua magari wanayotaka wenyewe kutoka kwenye mishahara yao Gari za kununua zibakie ambulances, Fire n.k....

Hawa watumishi wetu wanatu-cost sana aisee....
 
Wilaya hizo ni zipi na je ni wilaya iliyo ktk mikoa iliyolengwa ya kujazia kura kujihakikishia CCM inapata kura nyingi kupitia presha na ukada wa maDC hao

56 x 470,000,000 = 26,320,000,000

Mchengerwa ametoa taarifa hiyo Bungeni Jijini Dodoma leo April 16,2024 wakati akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2024 /2025 ambapo amesema shughuli zitakazotekelezwa katika utawala bora ni pamoja na ununuzi wa magari 9 ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa katika Mikoa ya Katavi, Njombe, Iringa, Kigoma, Mwanza, Singida, Dar es Salaam na Manyara”
 
Hao wanaokwenda kusikiliza hizo changamoto gari zitawarahisishia kufika kusiko fikika!
 

Ndio. Wanaoleta mabandiko ya magari ni CHADEMA.

Wekeni sera zenu wananchi wawasikilize, na sio porojo zenu. Kwani Erythrocyte ni CUF au UDP?

Kama unataka kujua athari zake, subiri CHADEMA wagawiwe(hawachaguliki) nafasi chache Serikalini 2025. Endeleeni kujenga haya mazingira.

Kideri mwenyewe😌😌😁
 
Upo sahihi kabisa:
Kwa miaka 65 sasa, Sera za CCM ni zipi?
CHADEMA wamesema KATIBA MPYA.

Tuelimishe za CCM.
 
Kupanga ni kuchagua, kipaumbele cha chama changu cha mapinduzi ni kufadhili maisha ya anasa kwa viongozi wakati mambo ya msingi yanatushinda. Sad.
sio tu kushindwa yanatafutiwa visingizio lukuki ili yashindwe kufanyika 😂 ila kumlipa mzee Toyota billion 50 aingize hio mikoko umatumbini ni chap sana 😁
 
Iko ivi hayo magari yananunuliwa kwa mujibu wa sheria na katiba tulionayo,hata ww ungekuwa raisi usingezuia ilo,
Shosti unapuyanga , Katiba ipi inazungumza kuhusu magari ni ibara ipi?
Nimekaa mahakamani miaka 25 katiba ipo kwenye finger tips, Sijawahi kusoma hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…