Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Masikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...Kuwa masikini JF ni uzembe sana [emoji28][emoji28]
Mimi juzi hapa nimemkopesha Mo billion 1 [emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha mkuu kwenye kikao nilikuwa nasinzia 😅😂We nae, si tulishakubaliana kwenye kikao hakuna kufukua makaburi..!!!?[emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]
Wengine wote wana bmw,benz,audi, volvo ...... halafu IST anapewa dada wa kazi aende nayo sokoni 😅Masikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...
Mimi nina Kanissan na yeye ana kaOppa..[emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Wengine waluobaki ukiwasikiliza, unaweza kubadlishana kagari kako na fungu la mihogo...
Hahahaha...ndiyo maana leo umeyaleta haya..[emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaha mkuu kwenye kikao nilikuwa nasinzia [emoji28][emoji23]
njoo huku kwa mjerumani volkswagen polo anzia ya mwaka 2006! Me niko nayo mpaka kesho...thank me later
Wote matajiri humuMasikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...
Mimi nina Kanissan na yeye ana kaOppa..[emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Wengine waluobaki ukiwasikiliza, unaweza kubadlishana kagari kako na fungu la mihogo...
Hivi kwanini daraja la kigamboni Mimi mwenye mark ll wamenilipisha tozo ya kivuko sawa na mwenye crown athlete
wengine tuna za wateja tunawasaidia kuuzaMasikini wa Jf ni mimi na Extrovert tu...
Mimi nina Kanissan na yeye ana kaOppa..[emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Wengine waluobaki ukiwasikiliza, unaweza kubadlishana kagari kako na fungu la mihogo...
wanaoendesha x6 wanaishi mbinguni au? wana mikono mitano kwamba wasichati humu?Hahaha tunainjoyiana tu humu hamna mtu anayeendesha X6 ana muda wa kuchat humu kizembe
Sijawahi kuishi kwa kumaintain status, halafu naishi maisha yangu vile nipendavyo, siangalii watu wa nje wananitazamaje,Boss, for good na ku maintain status yako ya ki beamer beamer X6, tafuta ata Samsung note8 hizo cheap brand Tecno na Infinix tuachie sisi watu wa baby walker[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu uliye mcott nilikua namuona, yaan nimeishiwa pouzz kwa kweli.wanaoendesha x6 wanaishi mbinguni au? wana mikono mitano kwamba wasichati humu?
Sasa huyo mtu sahivi ndo Mr wangu.View attachment 1802839huyu mdada kweli anamiliki x6 [emoji28]
Kweli acha jamii forums iitwe JF hakuna masikini huku kila mtu ana gari kali [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuishi humo tyuuh, mkuu hakna namna.Aisee.[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
mumeo inatakiwa apambane kinyama, azidi kununua mandinga makali....
Usijari hilo dogo tyuuh.Ukipata safari ya mkoa nambie nipate ata lift ya kutalii tu nikiwemo kwenye X6 [emoji2960]
Endelea kujipa moyo 😅Sasa huyo mtu sahivi ndo Mr wangu.
Hongera kwa kumiliki x5 mzeewanaoendesha x6 wanaishi mbinguni au? wana mikono mitano kwamba wasichati humu?
watu wanakera. kama huna uwezo wa kumiliki ndinga kali basi usiponde walionazo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu uliye mcott nilikua namuona, yaan nimeishiwa pouzz kwa kweli.
acha majunguHongera kwa kumiliki x5 mzee