Je Sisi wenye harrier ? Si ndo wanavua kabisa πKama pesa sio tatizo jitwishe Crown! Mle kuna burudani ya hali ya juu usione vijana wenzio tunakimbilia mle, demu wako akipewa lift siku moja tu mle anachagua Lodge ya kupelekwa the next day!π
Harrier analiwa mule mule kwa mujibu wa sheria ya amri ya 6 ibara ya 6 πΊπΊπΊJe Sisi wenye harrier ? Si ndo wanavua kabisa π
Gari moja makini Sana, naikubali Sana hasa ile manualnjoo impreza subaru
Umeandika point sana mkuu...Shida inaweza isiwe kwenye wingi wa Ist , ila ndio gari zinaongoza kwa kuibiwa spare. Hakuna kitu kinauma kama unaamka asubihi unakuta watu wameondoka hadi na bampa, halafu unaenda mnadani unanunua vifaaa kama hivyo huku ukijua navyo vimeibiwa kwa mwenzio.
Gari za kijerumani ni nadra sana kusikia zimeibiwa vitu
Hahaha, Brevis πππHivi Karibuni nilikuwa naona IST ndio ya vijana ila naona zimejaa nyingi na pia kuna wimbi kubwa la wizi wa IST
Vijana wenye hela naona wanakimbilia Crown maana sahivi zimejaa sana.
Naombeni maoni yenu kuwa ni gari gani sahivi inafaa kijana wa uchumi wa kati?
Kwa sababu inawaka hata ukiweka mafuta ya shs.50/=, kuna gari mafuta ya buku 10 mshale haushtuki πππMi huwa nashangaa eti mtu hutaki kununua gari kama ist kwasababu zipo nyingi mtaani...sasa we una angalia watu wana nini mtaani au una angalia interest yako na mfuko wako?
Bytheway kizuri kinapendwa na wengi mi nafikiri ungeenda kiundani zaidi ili ujue ni kwa nini IST zinapendwa na zimejaa mtaaani lasivyo
Chukua BMW au Benz kelele kwishney
Konda msafi anaafiki hili ama tusubiri aje kubisha?[emoji3]Mimi kama kijana wa kisasa naendesha hii Faru.Spacio,IST pamoja na takataka nyingine ni kwa ajili ya houseboys na housegirls.
View attachment 1797744
Hawa viumbe tatizo sanaHarrier analiwa mule mule kwa mujibu wa sheria ya amri ya 6 ibara ya 6 πΊπΊπΊ
Alisahau...πWe nae, si tulishakubaliana kwenye kikao hakuna kufukua makaburi..!!!?[emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]
Chukua probox Mkuu [emoji16]
Mkuu unataka kusema crown na harrier more comfy zaidi ya crown?Harrier analiwa mule mule kwa mujibu wa sheria ya amri ya 6 ibara ya 6 πΊπΊπΊ
Harrier haifiki Crown kwa 'starehe' hata robo.Je Sisi wenye harrier ? Si ndo wanavua kabisa π
Shida Crown π iko chini . Ila kwa stability and comfortablility iko poa piaHarrier haifiki Crown kwa 'starehe' hata robo.
Sienta ule mgari upo kama nini sijui, kuna watu wakiendeshaga magari flan uwa najiuliza hivi huyu hii gari kaiagiza au kapewa bure!
π€£π€£π€£Konda msafi anaafiki hili ama tusubiri aje kubisha?[emoji3]