BMW X6 hapa sibanduki wallah. Gari inashawishi kabisa kukanyaga mafuta huhuhuhChukua BMW M seriese au X series utaja shukuru mimi ninalo barabalani lipo mojamoja sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tofauti ya sienta na hiki kiatu ni matairi tu
View attachment 1798223
Shobo kiwango cha 5G! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi kama kijana wa kisasa naendesha hii Faru.Spacio,IST pamoja na takataka nyingine ni kwa ajili ya houseboys na housegirls.
View attachment 1797744
Ipo siku tutapataAmbao hatuna uwezo wa kununua magari ngoja tusome comments tu!
Mr wangu ana BMW X6, na jmos nakanyaga mafuta mwenyewe Dar - Arusha via Dom, vipi unataka lift?Vipi wewe mara ya mwisho lini umepandishwa lini Benz Maybach? Au porsche Cayenne[emoji13][emoji13][emoji13]
Jamii forums bhana,Mr wangu ana BMW X6, na jmos nakanyaga mafuta mwenyewe Dar - Arusha via Dom, vipi unataka lift?
Hizo gari zenu za kitoto hapan kwa kweli, yaan mdada ana haha kisa crown, IST? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu wawe serious bas khaaah.
Nataka gari ambayo nikikaa kulia, kweli na drive ndinga, huhuhuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Vipi wee billionaire wa Dunia, huamini au?Jamii forums bhana,
Mtoto cocastic π
Kwan na wee una crown au IST? hapana sitaki iwe hivyo wallah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto cocastic [emoji16]
Subaru Forester,non turbo mkuu.Kwan na wee una crown au IST? hapana sitaki iwe hivyo wallah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
hivi kuna ist ya cc1200 ?IST imekuwa kama maji yani π€©π€©π€©
Sema mie gari ninazozikubali, BMW, V8, Range Rover. RR.Subaru Forester,non turbo mkuu.
Na hiyo huitaki? Matajiri hatuna makuu [emoji16]
1290cc 2nz enginehivi kuna ist ya cc1200 ?
Eeh ni 1300cc yani maana ina displacement ya 1290cchivi kuna ist ya cc1200 ?
Hizo gari kuna baba yeyote katika ukoo wenu anamiliki au umejisikia kuturusha roho tu maskini wa jfπππSema mie gari ninazozikubali, BMW, V8, Range Rover. RR.
Ila pia hongera kwa kumiliki ndinga, heheheh utajiri umewakuta wenyewe.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sawa sawa hongera sana bana! Uzuri mie japo maskini ila hii Jaguar F-Pace inanifariji kwa trip za mihangaikoni hapa town πMr wangu ana BMW X6, na jmos nakanyaga mafuta mwenyewe Dar - Arusha via Dom, vipi unataka lift?
Hizo gari zenu za kitoto hapan kwa kweli, yaan mdada ana haha kisa crown, IST? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu wawe serious bas khaaah.
Nataka gari ambayo nikikaa kulia, kweli na drive ndinga, huhuhuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Umeme ule mzee mwenzangu π starehe ya VX in a small packageKwa hela unayotoa kununua Toyota Crown unachokipata mle ni ziada. Gari ya bei rahisi ambayo inakupa mwendo na comfort( Japanese)
Kama unaweza nunua Crown 2004-7 iwe Athlete or Royal saloon.
Sema usimuache maana akikutosa utapanda PassoMr wangu ana BMW X6, na jmos nakanyaga mafuta mwenyewe Dar - Arusha via Dom, vipi unataka lift?
Hizo gari zenu za kitoto hapan kwa kweli, yaan mdada ana haha kisa crown, IST? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu wawe serious bas khaaah.
Nataka gari ambayo nikikaa kulia, kweli na drive ndinga, huhuhuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app