Ni Africa tu na inchi zingine zenye level ndogo ya ustaarabuAmka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
Huu upumbavu mnautoaga wapi?Amka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
Tatuzo kubwa kuna watu hawelewi ustaarabu wa jamii ni kitu gani.Ni Africa tu na inchi zingine zenye level ndogo ya ustaarabu
Kutoelewa functions za traffic lights nalo kwako ni zigo la giza.Lakini kwenye hii picha gari hilo la jeshi la wananchi halijakatiza red light mkuu. Ushahidi wako ni batili mkuu.
Mwenyewe umeona umewazaaaa .Nchi gani hizo zilizoendelea unazozizungumzia .Acha kufikiri kisiasa fikiri kiulinzi yaani gari ya jeshi yenye mizigo maalum ikae foleni khaaa aaaaaaa . Hivi walivyokuja Wamarekani wakati wa Obama walifuata utaratibu gani wakiwa na magari ya Jeshi? . Maana tuliona tu hao wanaibuka mitaani kama mizimwi tu na wanapita kulia badala ya kushoto.Wewe zuzu kabisa.
Nchi zilizoendelea na zinazonajielewa , kama unasafirisha kitu hatari unafunga barabara zote.
Mzigo unapita.
Hiki tunachokiona ni ukosefu wa nidhamu na adabu, hasa kwa watu tunaokatwa kodi ili mtutumikie kiusalama na kwa weledi.
Hivi unajua sheria za barabarani kweli?? Hiyo exception iko kwa ambulance [emoji603] tuu...Unajua kilichobebwa humo? Huenda hakipaswi kusubiri
Ulinzi gani wa kijinga kukatiza red light!Mwenyewe umeona umewazaaaa .Nchi gani hizo zilizoendelea unazozizungumzia .Acha kufikiri kisiasa fikiri kiulinzi yaani gari ya jeshi yenye mizigo maalum ikae foleni khaaa aaaaaaa . Hivi walivyokuja Wamarekani wakati wa Obama walifuata utaratibu gani wakiwa na magari ya Jeshi? . Maana tuliona tu hao wanaibuka mitaani kama mizimwi tu na wanapita kulia badala ya kushoto.
Tuonyeshe hiyo sheria ya barabarani hapa badala ya kubwabwaja...Amka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
Barabarani akili za wanajeshi nikama akili za bodabodaTuonyeshe hiyo sheria ya barabarani hapa badala ya kubwabwaja...
Short and clear bongo madereva wengi washamba na hata wewe ungekuwa huko yangekuwa yaleyale sababu hilo sio jipya ndo maana nikakuambia una nongwa...mara ngapi madereva wa mabasi makubwa wanaendesha kipuuzi humo mabarabarani na hao ni madereva wa serikali??? usiwe na bias katika kukemea jambo fulani hiyo tabia ndiyo tunaita nongwa.Msiwe wanafiki.
Tabia mbaya ni tabia mbaya tu.
Indiscipline katika vyombo vyetu if unchecked this will lead to lawlessness and anarchy.
...tena la mleta mada ni used³Serikali pia iangalie kwa jicho la pili foleni nyingi za magari mijini zinasababishwa na wanaoendesha magari used kama la mleta mada
Gari used ziruhusiwe tu vijijini kupunguza foleni mijini
Wewe ndo hujui. Ambulance tu? Kuna magari ya zimamoto, kubebea fedha, Viongozi, vyombo vya ulinzi nk vyote vinatakiwa kupewa kipaumbeleHivi unajua sheria za barabarani kweli?? Hiyo exception iko kwa ambulance [emoji603] tuu...
Acha upumbavu SASA hapo kwenye taa ikitokea ajali na watu wakifa utasemaje??Amka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
Hakuna lolote!Unajua kilichobebwa humo? Huenda hakipaswi kusubiri
Katiba mpya ipewe Meno ya kumswaga kila atakayecheza na haki ya Mtz, kuanzia amiri jeshi.View attachment 2230503View attachment 2230504
Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.
Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.
Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.
Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini?
Unahisi kwanini ambulance haifuati Sheria ? Inapita kwenye Taa nyekundu na inapishwa na Magari Mengine . Ukipata majibu utapata majibu kwa hiyo hoja yako .Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU, ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii, kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu, na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security, sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha