Magari ya Jeshi kwa makusudi hawaheshimu Sheria za Usalama barabarani

Magari ya Jeshi kwa makusudi hawaheshimu Sheria za Usalama barabarani

Jiunga na Jeshi na wewe utanue

Ukiona gari ya Jeshi ipishe wa aweza kuwa wanawahi kukabili magaidi au majambazi yaliyovamia nyumbani kwako au wanawaita operation ya kijeshi mahali

Pisha tu na kigari chako koko kopo lililochakaa likanyewa Japan ukanunua wewe kama used car

Kuwa na Ki used car chako unajiona na wewe una hadhi kubwaaaa barabarani!!!.pisha huko
kuna utaratibu wa kuendesha hizo gari zao kama kuna emergency
 
Shida ni moja hilo siyo tatizo la jeshi Ila ni shida ya huyo dereva hicho anachofanya ni makosa kabisa hata jeshi halijawahi kumfundisha kuwa mtovu wa nidham kiasi hicho na anatakiwa aandikiwe faini
 
Mkuu ukiwa road kuna makundi ma3 ya magari yanayopewa kipaumbele: 1 Magari ya majeshi yote kwa ujumla wake. 2 Magari ya wagonjwa Ambulance. 3 Mabasi ya abiria ukifika stand ya Magu Mbezi ukiona basi la abiria linachomoka mazima toka stand kuingia barabara kuu usishangae
Sasa si awe na king'ora huna king'ora mtu atajuaje kama gari la jeshi
 
Kama anadharula asubili taa zizime cha msingi kabla ya kuvuka anatizama usalama wake kwanza sio kupita pita kama unavyofikilia
 
Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU, ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii, kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu, na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security, sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha

Mfano ttcl wana mkongo wa taifa labda mkongo umekatika sehem flani kwahyo watangoja taa zizime ndo wapite wakati eneo flani linakua halina mawasiliano[emoji849]
 
Shughuli zao zinakinzwa na foleni,na zikikinzwa na foleni nani anajua hatari itayotukuta
 
Leo, kuna mama mmoja amepaki gari yake sehemu isiyoruhusiwa kupark sasa kuna wale jamaa wanaitwa manispaa walipoona hilo wakapiga pin la mnyororo kumsubiri mwenye gari....sasa yule maza kumaliza mambo yake akarudi kwenye gari na kukuta imezuiwa muda huo mpiga pini yupo mbali kidogo....yule maza bila kuuliza akachukua simu akaongea na mtu Kisha akaenda kutulia mbali kidogo na gari, baada ya muda kidogo ikaja gari moja ikasimama nyuma ya ile gari ya yule maza....wakatoka majamaa wawili, mmoja kavalia kijeshi, wakaangalia kumcheki yule manispaa walipoona hajitokezi wakatoa kimsumeno kidogo wakaanza kukata ile pini ya mnyororo, manispaa alipoona wanalihalibu lock lake akajitokeza akafungua bila kuongea nao Kisha yule maza akaja kuwasha gari na kusepa...wale jamaa nao wakasepa

Kuna watu wanajiona wana haki ya kuvunja sheria.
 
Serikali pia iangalie kwa jicho la pili foleni nyingi za magari mijini zinasababishwa na wanaoendesha magari used kama la mleta mada

Gari used ziruhusiwe tu vijijini kupunguza foleni mijini
 
Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU, ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii, kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu, na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security, sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha
Naongezea, uhamiaji, Rc Dar, Zimamoto,
 
Hao wanalinda hii nchi,,, Waache tu waende..
 
View attachment 2230503View attachment 2230504

Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.

Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.

Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.

Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini
Punguza nongwa ikiwezekana acha kabisa ingawa kama umekulia mazingira ya nongwa ni vigumu sana kuacha.Kwani ndio tukio lako la kwanza kuliona kwa gari za serikali tokea uwe mkubwa.?Tanzania ni Tanzania na itabaki Tanzania, Ulaya ni Ulaya, mtu mweusi ni mweusi na mzungu ni mzungu, tutaiga machache mengine hatutoweza milele.
View attachment 2230503View attachment 2230504

Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.

Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.

Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.

Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini
 
Punguza nongwa ikiwezekana acha kabisa ingawa kama umekulia mazingira ya nongwa ni vigumu sana kuacha.Kwani ndio tukio lako la kwanza kuliona kwa gari za serikali tokea uwe mkubwa.?Tanzania ni Tanzania na itabaki Tanzania, Ulaya ni Ulaya, mtu mweusi ni mweusi na mzungu ni mzungu, tutaiga machache mengine hatutoweza milele.
Msiwe wanafiki.
Tabia mbaya ni tabia mbaya tu.
Indiscipline katika vyombo vyetu if unchecked this will lead to lawlessness and anarchy.
 
Back
Top Bottom