MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

Uzuri ni kwamba zile battery zote ziko owned na Co.,so kwa case yoyote ile ni mtu anaipeleka hio battery karibu na kituo kilicho karibu nae wanabadilisha chap then nduki
Hio ni inconvinience. Wakati unakwenda kuchange betri hujui hali ya hio betri unaichukua ikoje, unaondoka kilomita kadhaa inakudai chaji na kituo hakipo karibu.
 
Principal of Energy conversation. Energy can neither be created nor Destroyed. Hapo haiwezekani Sababu kuzungusha tuu Motor kuzalisha umeme inahitaji nishati. Ila Kama umeangalia Design za Tesla( sedan na semi) Wakati wa kushika breki ndiyo zinajichaji Tena. Kwa Hiyo Kama Ni Barabara za miteremko ndipo unaweza kuchaji
 
Kibongobongo hata town trip ni shida.

Hizo ni gari za ulaya wenye mtandao mpana wa charging stations.
Bongo na hili joto nahisi hata hizi cells za battery zitakuwa zinakufa pre-maturely!
Wenye magari yanayotumia mafuta naona mna hofu Sana km vile mmeambiwa Kesho ndyo mwisho wa kutumia magari yenu!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Say hio electric car ina motors za nyuma kupush gari. Wakati wa kuendeshe gari maringi ya mbele yanazungushwa kutokana na ile push ya maringi ya nyuma. Vipi maringi ya mbele hayatumiki kuzalisha umeme kutokana na huo mzunguko
 
Bro Kuna vipimo... Halafu Wenzetu hawana ubabaishaji
So, lets say mimi gari yngu betri ni mbovu, nimeenda kwenye battery change station, mimi sijui kama betri yangu mbovu au ntakayoekewa ni mbovu. So during the time of changing, inafanyiwa kipimo na hio mashine kuona kama betri nnayoitoa mbovu kabla ya kuekewa nyengine?
 
Hayo magari ni vichomi kwakweli hayana raha .. kucharge gari .. tena mie na haraka zangu alafu niweke pozi najaza charge tena.. hata nguvu na masha nazo
 
Nakubali mkuu,ukiisikia kitu kama Lexus LFA iko inapiga mluzi ukija kulinganisha na Gari za umeme unaona ni bure kabisa.
Hapo tu pa kutembea km 400 alafu nacharge tena ndio ujinga unapo anzia.. diesel au petrol ina raha yake.. hata nguvu itokayo kwenye hizo dude ni hatari sidhani kama tutaziona kwenye umeme
 
Hapo tu pa kutembea km 400 alafu nacharge tena ndio ujinga unapo anzia.. diesel au petrol ina raha yake.. hata nguvu itokayo kwenye hizo dude ni hatari sidhani kama tutaziona kwenye umeme
Hahah kweli mkuu,hapo kwny nguvu unamaanisha mambio au?
 
Hahah kweli mkuu,hapo kwny nguvu unamaanisha mambio au?
nguvu ya engine HP pamoja na Torque.. sidhani kama zitakuwa kubwa.. ila nashukuru huku kwetu tz tutaendelea na petrol zetu wafanye haraka kutuuzia huku kwa bei cheap .. tu.. nivute mashine bentley benteyga la petrol wao si hawayataki πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mimi huwa nina mpango wa kuja kuifanyia modification pikipiki ya umeme, inavyosepa iwe inajicharge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…