Wazeee wa oya oya ful speed mwanzo mwisho watatuangusha sana hawa wazunguIshu ni kudai kuwa wanatunza mazingira kupitia hizo electric cars. Lakini upatikanaji wa hio lithium battery ni worse kabisa na inatumia precious resource ambayo ni muhimu kwa viumbe hai, shughuli za uchimbaji wa lithium zinatumia MAJI mengi mno. Moja kati ya athari ya uchimbaji lithium wanasema inaweza kusababisha ukame!
Besides, kweli ukae karibia lisaa kujaza chaji betri yako? unapoteza precious time
Bongo mafuta yatapanda bei..Nataka wapige marufuku hizo ICE wabongo tujipatie magari ya kibabe kwa bei chee.
Hizi za umeme zitakuwa kisanga sana, unaona battery ipo full alafu gahfla unatembea dk kadhaa inakata, battery ikianza mauza uza kama Techno wereva ndio majutoHio Idea ni nzuri lakini battery zina degrade. Atakuja mtu aweke battery yake ishaanza kufifia. Unapewa battery fully charged lakini unaona unakwenda short distance
Hahah vile vi tesla vinatembea kishenzi mzee baba,ziko zinazoenda mpk 0-60 kwa 2.3sec ,yaani kuliko hata supercars.nguvu ya engine HP pamoja na Torque.. sidhani kama zitakuwa kubwa.. ila nashukuru huku kwetu tz tutaendelea na petrol zetu wafanye haraka kutuuzia huku kwa bei cheap .. tu.. nivute mashine bentley benteyga la petrol wao si hawayataki [emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa hapo watatutaka maneno mkuu.Bongo mafuta yatapanda bei..
Ila lazima nije nitafute hybrid 1 nione hizo story zake khs consumption ya mafuta ni kweli au ni story tu mkuu.hawaziwezi, si unajua tena chini ya mti kulikuwa hakuna somo la CAN bus...
Mafundi wengi umeme unawatoa sana.
Bado siziamini, hata waki weka opt ya kunipa gari nachagua la petrol. Napenda sana gari za petrolHahah vile vi tesla vinatembea kishenzi mzee baba,ziko zinazoenda mpk 0-60 kwa 2.3sec ,yaani kuliko hata supercars.
Ila hazina mzuka ule wa Petrol car,ogopa sana gari inakimbia kichizi afu haina muungurumo wa kibabe hata hainogi aisee.
Mimi mwenyewe ni mzee wa Petrol.Bado siziamini, hata waki weka opt ya kunipa gari nachagua la petrol. Napenda sana gari za petrol
Gari za petrol tamu sana,Mimi mwenyewe ni mzee wa Petrol.
Wakiona in threat ni kupingana na technology hivyo nafasizao zitachukuliwa na wanaoona ni fursaPetrol station kuweka vituo vya kuchajia magari hawawezi,ni threat kwao.
Nadhani hili lazima wameliona lazima tutafika huko. Gari lazima litajichaji mwisho wa siku tena kwa hisani ya mchinaTafiti ndio hazija maliza, kwa sasa wanatumia lithium na wanaendelea kuproduce lithium batteries na kuharibu mazingira vile vile.
Kweli wanataka battery iwe future.
Kuna swali najiuliza, hivi gari za electric zinapotembea wakati yale maringi yanazunguka kwanini hayarudishi chaji kwenye battery?
Hili swala linawezekana hata sasa ila nahisi wakifanya ivo watakosa biashara ya vituo vya kuchajishaNadhani hili lazima wameliona lazima tutafika huko. Gari lazima litajichaji mwisho wa siku tena kwa hisani ya mchina
Mission ni biashara na c mazingiraViwanda vinachafua mazingira saaana mkuu.
Nadhani hawa jamaa hua wana mission yao.
Wapigaji walipigakwa TZ tuwe na campaign ya kufunga nishati ya Gas. miaka ya nyuma tulitamgaziwa tupeleke magari watufungie hiyo mifumo na vituo vikajengwa vya kujazia gas sikumbuki iliishia wapi hii campign sijasikia tena.
Apo bro niwakati wako ki design huo mfumo na kupiga elaSimaanishi hio system ilokuwemo kwenye hybrid, nazungumzia full electric car. Wakati maringi yanazunguka, kwanini mzunguko wa hayo maringi usitumike kuzalisha umeme na kurudisha chaji kwenye betri? Windmill inazunguka ndio inatowa umeme, Hydro Elctric Power turbines zinazunguka na kuzalisha umeme, vipi maringi ya gari yanazunguka lakini hayazalishi umeme?
Nataka Land Rover yangu 109 niibadili mfumo, itanigharimu kiasi gani?
Ah sijasomea ivo vitu kwa kweli.... Ila kama kuna mtu amesomea ni kweli, anaweza kupiga hela hapa kwetu akaanza na pikipiki za umeme maana zimeanza kuingia ingia saivApo bro niwakati wako ki design huo mfumo na kupiga ela
Kuna sheria nasikia walipendekeza yawekwe sauti yanaendeshwaDada yake Britney Spears, Jamie Lynn Spears anamlalamikia Elon Musk kwamba magari ya umeme ya Tesla yanaua paka wake, kwa sababu paka wanakuwa hawasikii gari linavyokuja.
Magari ya umeme hayana kelele kama magari ya mafuta.
Hiyo ni moja ya kasoro ya magari ya umeme.
Jamie Lynn Spears blames Elon Musk and Tesla for killing her cats
Jamie Lynn Spears called Tesla "a secret cat-killer" and told CEO Elon Musk that he owes her a couple new feline friends.edition.cnn.com