MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

MAGARI YA UMEME: Fahamu Faida Zake, Aina na Namna Yanavyofanya Kazi

Mkuu upo dunia gani? Mbona sa izi kuna magari ukiwa ndani husii hata mlio wa gari
Dunia hii hii mkuu labda wewe mwenzangu upo kwenye space... gari gani hio husikii mlio yenye kutumia diesel au petrol?

ebu skia hizi





 
Hili suala la ukitumia gari za umeme unaokoa mazingira nalo lina changamoto zake.

Battery za hizo gari zinatengenezwa kutokana na madini yanayochimbwa ardhini kama lithium,cobalt etc kwa hio hayo magari yakitengenezwa kwa mamilioni maana yake hapo kunaenda kufanyika uharibifu wa kufa mtu wa mazingira.
Hivi magari na viwanda kitu gan kinachafua mazingira zaidi....wazungu wanakomaa na magari wakati wanajua viwanda ni balaaa
 
Rudolf Diesel aliumiza Sana kichwa na matunda yake tutayafaidi hata gari za umeme zikipewa kipaumbele.

Hizo electric vehicle ni Kwa ajili ya town trip, uwezi ukawa na safari ya kutoka Mbeya-Mpanda-Kigoma au Moro-Ifakara- Malinyi hapo akili itakurudi na kukumbuka nishati ya mafuta
Mchina anawacheki tuu...yakifika huku anatuletea PowerBank hataki masikhara kabisa
 
Hili suala la ukitumia gari za umeme unaokoa mazingira nalo lina changamoto zake.

Battery za hizo gari zinatengenezwa kutokana na madini yanayochimbwa ardhini kama lithium,cobalt etc kwa hio hayo magari yakitengenezwa kwa mamilioni maana yake hapo kunaenda kufanyika uharibifu wa kufa mtu wa mazingira.
Mkuu Kila kitu Duniani kinatoka Ardhini. Chuma mchanga Malighafi za kutengeneza Sement nk lakini hatujaona huo Uharibifu mkubwa wa Mazingira ili Hali Kuna majengo Mengi Duniani kuliko idadi ya Magari Yote yatakayowahi kuwepo
 
Viwanda vinachafua mazingira saaana mkuu.

Nadhani hawa jamaa hua wana mission yao.
Kwa sasa biashara ya magari ina faida kubwa sana na inakua kama ulemavu flan aanautengeneza. Magari ya zaman yalikua na uwezo wa kudumu hata miaka 40 katika mazingira magumu na garama ndogo za matengenezo kama LandRover 109, staut,Isuzu injection, n.k ila ya sasa kila kitu umeme hivyo kuyafanya kua delicate sana.
Gari ikifika KM kadhaa basi haifai tena mana itakutesa sana na utanunua spea kila siku
 
Mkuu Tesla na makampuni Mengine wanawekeza kwenye nishati mbadala ya Jua Upepo na maji. Kwa Hiyo wanajenga charging stations nyingi kwa Kutumia solar panels hasa Tesla. Kikubwa Ni kuwa wanaandaa Mazingira mbadala baada ya mafuta kuja kuisha huko mbeleni.
Mazingira gani yanayotunzwa na magari ya umeme! Hio Lithium inapatikana vipi na huo umeme wa kuchajia izo betry unapatikana vipi! kuzidisha load tu kwenye grid.

Ili ujue kama umeendesha gari, usikie engine inavonguruma! other than that utakuwa unaendesha scooter ya maringi manne na cabin tu.
 
Dada yake Britney Spears, Jamie Lynn Spears anamlalamikia Elon Musk kwamba magari ya umeme ya Tesla yanaua paka wake, kwa sababu paka wanakuwa hawasikii gari linavyokuja.

Magari ya umeme hayana kelele kama magari ya mafuta.

Hiyo ni moja ya kasoro ya magari ya umeme.

Duu nimecheka Sana
 
Dada yake Britney Spears, Jamie Lynn Spears anamlalamikia Elon Musk kwamba magari ya umeme ya Tesla yanaua paka wake, kwa sababu paka wanakuwa hawasikii gari linavyokuja.

Magari ya umeme hayana kelele kama magari ya mafuta.

Hiyo ni moja ya kasoro ya magari ya umeme.

Kama nakumbuka vzr hata mbuga ya kruger ya S/Africa wali convert landcruiser wakaifanya ya umeme wakaenda nayo porini,aisee ilileta taharuki kubwa sana kwa wanyama maana walikua wanajiuliza ni kitu gani hiki kinatembea bila ya sauti maana wale wanyama walishazoea magari ya diesel/petrol,mwishowe wakaachana na mpango wa matumizi ya gari za umeme huko mbugani.
 
Kama nakumbuka vzr hata mbuga ya kruger ya S/Africa wali convert landcruiser wakaifanya ya umeme wakaenda nayo porini,aisee ilileta taharuki kubwa sana kwa wanyama maana walikua wanajiuliza ni kitu gani hiki kinatembea bila ya sauti maana wale wanyama walishazoea magari ya diesel/petrol,mwishowe wakaachana na mpango wa matumizi ya gari za umeme huko mbugani.
Hahahahahah aisee ...kwa hiyo wanyama walikua wanajua hiyo..L.C Hardtop' hiyo LR defender ....sasa wakashtuka balaa kitu hakina mlio
 
Hayo magari ya umeme hayana Raha yoyote.

Mkuu gari za injini (internal engine combustion) ya petrol/diesel zina utamu wake. Wakina Rudolf Diesel waliumiza vichwa hasa kutengeneza Diesel engines.

Hao wazungu wanapenda mazingira Ila wakisikia sound za V8/V10/V12 akili zinawahama.
Sasa wao hawanunui gari kwa sababu ya sauti. Maifa mengi ya ulaya yanahamia kwenye electric cars
 
Mkuu Tesla na makampuni Mengine wanawekeza kwenye nishati mbadala ya Jua Upepo na maji. Kwa Hiyo wanajenga charging stations nyingi kwa Kutumia solar panels hasa Tesla. Kikubwa Ni kuwa wanaandaa Mazingira mbadala baada ya mafuta kuja kuisha huko mbeleni.
Ishu ni kudai kuwa wanatunza mazingira kupitia hizo electric cars. Lakini upatikanaji wa hio lithium battery ni worse kabisa na inatumia precious resource ambayo ni muhimu kwa viumbe hai, shughuli za uchimbaji wa lithium zinatumia MAJI mengi mno. Moja kati ya athari ya uchimbaji lithium wanasema inaweza kusababisha ukame!

Besides, kweli ukae karibia lisaa kujaza chaji betri yako? unapoteza precious time
 
Back
Top Bottom