Ninavyojua ukifunika chungu kilichopo jikoni ndio kinachemka zaidi.
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Watashindana lakini hawatashinda.
Yote matatu ni MAJIBU sahihi kabisa.
Wanajimaliza. Wanajikaanga kwa mafuta yao
Mkuu, wamiliki wa magazeti wana watoto wanasomesha na wana ndugu wanawategemea. Hawataki yawakute ya Tanzania Daima na Mwanahalisi
Waache waendelee kuzuia mafuriko kwa mikono! Vyombo vingi vya habari vimekuwa havijiamini na vingine vina hofu ya mkono mbaya wa chama kilichoko Ikulu wakati hata katika nafasi za kura za maoni ya ubunge wana habari karibu wote wamefyekwa!