Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uzuri ni kwamba magazeti ya Tanzania yamedharauliwaNimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?