Magazeti karibu yote ya leo yapuuza habari za ujio wa Lissu

Magazeti karibu yote ya leo yapuuza habari za ujio wa Lissu

Watoa pesa wanafuatilia mtu wao, jana kilibuma sana.. pangechapika hadi sasa wangekuwa wanareport live. Waambie wafuatilie mambo yao TZ ni tamu mno.
Uko vizuri upstair, jamaa wa Ufipa wanatumika bila kujua kumbe mwenzao anapiga pesa.
 
Kutotangazwa kwa habari za cdm hasa Lisu sio jambo geni. Tena hilo linafanyika kwa maelezo na mkakati maalumu. Katibu mkuu wa habari huwa anawapigia simu kabisa wamiliki wa vyombo vya habari, huwashinikiza kutokutoa coverage ya upinzani hasa Cdm, na ikibidi sana iwe kwa ufinyu. Ni nani asiyejua mwenendo wa serikali yetu kwenye siasa za nchi hii?
 
Hayo magazeti hayana issue now days ... Nguvu ya mawasiliano imehamia kwenye social network now day hizo kampuni za magazeti zinajiendesha kwa mwendo wa hali jojo
 
Sasa mleta mada unataka wapuuze habari za msiba wa rais wetu?

Kuwa na utu ndani yake hata katika jamii ikitokea tukio la msiba limegongana na tukio la sherehe, sherehe huarishwa kwanza kwa Muda kupisha tukio la Msiba.
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Unashangaa leo? tangu utawala huu uwepo kuna habari tofauti inayotangazwa?
 
Chama cha mtandaoni, habari zake zinabakia mtandaoni. ...ya hata kwenye uchaguzi ujao
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Kwanza nikusahihishe kidogo. Katika magazeti ambayo angalau yanaonekana kuwa ni magazeti, MWANANCHI na MAJIRA yameiripoti ukurasa wa mbele habari ya ujio wa LISU. Kwamba magazeti mengine hayakuripoti (au yaliipa uzito kidogo kwa kuiweka ndani labda) haliwezi kuwa jambo la kushangaza. Jambo la kushangaza ingekuwa magazeti yote, yakiwemo yanayogharimiwa kumtukana Lissu, yangeipa uzito habari hiyo.

Kama MWANANCHI (ambalo linajitahidi kusimamia taaluma licha ya misukosuko linayokutana nayo) wameripoti hiyo habari inatosha sana. Hivi vipeperushi vinawafurahisha wanaovilipia na kuvigharimia kuchapishwa kwake lakini wala haviuziki wala kusomwa, watu wameishavishtukia. BBC wameipa coverage kubwa sana, Aljazeera wameipa uzito, CNN wameipa uzito. Watu wenye akili wanatazama huko. Startv wameirusha, ITV wameisrusha inatosha. Mitandao ya kijamii imechapisha inatosha kabisa.

Turudi kwenye swali sasa. Je, Hii ni dalili za uoga, mkakati wa wasiojulikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......? Hapa jibu lake ni kwamba inawezekana yote haya matatu ni sahihi!
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Hata kama kweli hawajaandika haifuti ukweli kwamba jana watu wengi walijitokeza kumpokea TAL.
 
Kaandikwa hapo, ujio wa TL siyo habari
IMG-20200728-WA0014.jpeg
 
Kuzaliwa kwa Yesu hakukutangazwa lakini mama Jusi waliiona nyota wakaenda kumsujudia. Hayo magazedi uchwala nani anayasoma. Mauzo yao ni zero hayana habari kabisa
 
Siyo yamepuuza, wewe unataka yafutwe !! Wahariri wanaishi maisha magumu mno, ukicheza gazeti lako litasomwa shimo la tewa!!
 
Back
Top Bottom