Magazeti karibu yote ya leo yapuuza habari za ujio wa Lissu

Magazeti karibu yote ya leo yapuuza habari za ujio wa Lissu

Akiwa raisi watamwandika page zote, maana maisha yanakupa usicho kipenda
 
Wote wamekua walamba makalio kama vijana wa Lumumba
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.

Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?

Nani anasoma hayo Magazeti ya Jiwe ?
Niache kupata habari JF nikanunue Makaratasi ya kufungia Chapati, si bora nikatoe Sadaka
 
Magazeti ni ya uko mijii, kwetu huku Ngopyoro hayafikagi, tumeona kila kitu ktk mitandao
 
Misconception
Hili litakusaidia ujue ni % ngapi chadema watapata kwenye kura October. Kama kuna magazeti 100 na 1 tu ndolimempa ukurasa wa mbele Lissu, basi ni 1% ya kura zote! Kama ni magazeti 50, basi ni 2%.hivyo hivyo fanya mahesabu.
Indicators ni hizo msije mkaanza kulalamika.
 
Kwani lisu ni nani katika nchi ni watu wengi tu wanaingia nchini na kutoka bila kuandikwa kwenye magazeti, watu wanamsiba wa rais mstaafu wakashughulike na ujio wa lisu
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.

Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?

===
Maoni ya Wachangiaji
kaka tuchati
 
Mitano inatosha
Screenshot_2020-07-28-15-34-12-58.jpg
 
ITV wamekuwa wasenge sana nilikuwa nawaheshim but now staki hata kuwaona
Msigwa Alikuwa akapewa air time Sana siku hiyo akamporomoshea matusi Naibu spika Tulia Ackson live

ITV wakalipishwa faini ya milioni 15 na TCRA kwa kukiuka sheria za utangazaji kwa kurusha matusi ya Mchungaji.Msigwa

Toka hapi ITV wanawaogopa Chadema Kama ukoma kuwa ukiwapa airtime midomo Yao isivyo na breki Wala adabu saa yoyote jiandae kufungiwa na TCRA

Vyombo vyetu vya habari Sasa vimeelevuka vinaandika news za uhakika na ushahidi tu .Ukijitopokea visivyo na ushahidi hawaandiki Wala kurusha hewani

Lisu anatakiwa kulijua Hilo kuwa kwa Sasa kuwa hewani sion kuchonga mdomo tu anatakiwa kuongea point zenye. Ushahidi na takwimu verifiable

Nyalandu Yuko vizuri Ni mwanasiasa anayesimama kwenye hoja sio attacks . Anasimama kwenye Ilani ya chama. Chake . Tofauti na Lisu ambaye saa zote anawaza kupambana na Magufuli!!! Chadema Kama chama Cha siasa kitafute mtu ambaye atasimamia ilani ya chama na kuitekeleza sio wa kupambana na mtu

CCM huwa tunashinda sababu hutafuta watu tunaowaona kuwa wanasimamia ilani ya Chama na ukiangalia wagombea uraisi wote Huwezi kumpata mwongeaji Sana domokaya Kama Lisu

Kwa Chadema mgombea ambaye sio domokaya na presidential material Ni Nyalandu .Ana caliber ya uraisi.Yuko organized and focused na pesa ya kampeni ya Ugombea uraisi anayo hawezi sumbua chama Wala wanachama

Chadema Ni chama chenye mlengo wa kibepari Kama ilivyo Marekani hivyo wagombea wake wanatakiwa kuakisi mlengo huo.Lisu hayuko.kwenye kundi akisi la mlengo huo.Lowasa aliakisi na Nyalandu anaakisi,Mbowe anaakisi ,yule mama mgombea mwenye mume mwenye TV na Radio pia anaakisi but certainly not Lisu or mchungaji Msigwa!!!
 
Msigwa Alikuwa akapewa air time Sana siku hiyo akamporomoshea matusi Naibu spika Tulia Ackson live

ITV wakalipishwa faini ya milioni 15 na TCRA kwa kukiuka sheria za utangazaji kwa kurusha matusi ya Mchungaji.Msigwa

Toka hapi ITV wanawaogopa Chadema Kama ukoma kuwa ukiwapa airtime midomo Yao isivyo na breki Wala adabu saa yoyote jiandae kufungiwa na TCRA

Vyombo vyetu vya habari Sasa vimeelevuka vinaandika news za uhakika na ushahidi tu .Ukijitopokea visivyo na ushahidi hawaandiki Wala kurusha hewani

Lisu anatakiwa kulijua Hilo kuwa kwa Sasa kuwa hewani sion kuchonga mdomo tu anatakiwa kuongea point zenye. Ushahidi na takwimu verifiable

Nyalandu Yuko vizuri Ni mwanasiasa anayesimama kwenye hoja sio attacks . Anasimama kwenye Ilani ya chama. Chake . Tofauti na Lisu ambaye saa zote anawaza kupambana na Magufuli!!! Chadema Kama chama Cha siasa kitafute mtu ambaye atasimamia ilani ya chama na kuitekeleza sio wa kupambana na mtu

CCM huwa tunashinda sababu hutafuta watu tunaowaona kuwa wanasimamia ilani ya Chama na ukiangalia wagombea uraisi wote Huwezi kumpata mwongeaji Sana domokaya Kama Lisu

Kwa Chadema mgombea ambaye sio domokaya na presidential material Ni Nyalandu .Ana caliber ya uraisi.Yuko organized and focused na pesa ya kampeni ya Ugombea uraisi anayo hawezi sumbua chama Wala wanachama

Chadema Ni chama chenye mlengo wa kibepari Kama ilivyo Marekani hivyo wagombea wake wanatakiwa kuakisi mlengo huo.Lisu hayuko.kwenye kundi akisi la mlengo huo.Lowasa aliakisi na Nyalandu anaakisi,Mbowe anaakisi ,yule mama mgombea mwenye mume mwenye TV na Radio pia anaakisi but certainly not Lisu or mchungaji Msigwa!!!
Kwa hiyo yule mpuuzi aliyewaita watu wapumbavu na marofa alikuwa anaandika sera zenu za chuki?
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.

Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?

===
Maoni ya Wachangiaji
Wahariri karibu wote ni watia nia ubunge kupitia CCM
 
Kelele za nini? [emoji16] tukutane tarehe 28 Oct pekee. #JPMMITANOTENA
 
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.

Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?

===
Maoni ya Wachangiaji

Magazeti Karibu yote yaliyobaki ni ya mfumo au yana ushawishi
Ccm mfano wanamiliki hadi shares Mwananchi
 
Back
Top Bottom