jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
ππ½ππ½ππ½πImagine lile nyomi lote pale airport lililetwa kwa social media pekee. Ndo ujue kuwa main stream hazina ishu kwa dunia ya sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ½ππ½ππ½πImagine lile nyomi lote pale airport lililetwa kwa social media pekee. Ndo ujue kuwa main stream hazina ishu kwa dunia ya sasa.
Watashindana lakini hawatashinda.
Hata TV jana nyinginzilipuuza lakini haiondoi ukweli kwamba mwamba kaja kupambana na yesu wa Lumumba kwenye sanduku la kula,kama alijua anakubalika sana basi jana kapata majibu mazuriNimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Sio kupuuza wanaogopa kufungiwa,utumwa huo utaisha OctoberHata TV jana nyinginzilipuuza lakini haiondoi ukweli kwamba mwamba kaja kupambana na yesu wa Lumumba kwenye sanduku la kula,kama alijua anakubalika sana basi jana kapata majibu mazuri
Watashindana lakini hawatashinda.
Niumie mie, wapi.Umeumia sana
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Jiulize kwani magazeti mengi yamefungiwa pia usiwatabirie waandishi waandike nini maana habari ya Lissu wengi wameipata nje ya magazeti unapo andika bango la tangazo linatakiwa liseme nisome mimi nisome mimi, ninunue mimi ninunue mimi. kwako wewe unaweza dhani habari ya Lissu ndiyo iwe habariNimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au......?
Nani anataka Gazeti lake lifungiwe?Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?
Tuko busy na msiba hatuna habari na wasaliti sisi.Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?
Hamia huko kwenye vyombo vya habari unavyovipenda.Tanzania vyombo vya habari viliishakufa kitambo na hilo hata rais wa Kenya Bw. Uhuru Kenyatta nilimsikia akiliongelea jana kiaina.
Sio siri kwamba kwenye utawala wa kiimla wahanga wa kwanza kabisa ni Media, Wanaharakati na Wapinzani sasa katika mazingira hayo habari za Lissu watazitangazaje.
Vyombo vya habari tulivyo navyo waingereza wanaviita "Sycophantic Media".
Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?
Sasa wewe si umeuliza namimi nimekujibu? Au ulitakaje rafiki yangu.Kama hauna impact na hapa ungepita kimyakimya
Kila jukwaa ninalokukuta nondo zako zinashabihiana na jukwaa husika, kongole mkuuSiyo wanapuuza!Usichokijua ni kwamba Tanzania magazeti yalishawekwa mfukoni na mtu mmoja.
If you don't read the newspaper, you're uninformed, if you do read it, you're misinformed!