Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AssNonsense.
Itv ni kama Tbc tuHata taarifa za habari wameminya hivi hivo, hadi ITV wanaojiita superbrand ovyo kabisa.
Ina maana Chadema kimepoteza mvuto wahariri hawakitakiWahariri karibu wote ni watia nia ubunge kupitia CCM
ExactlyMkuu, wamiliki wa magazeti wana watoto wanasomesha na wana ndugu wanawategemea. Hawataki yawakute ya Tanzania Daima na Mwanahalisi
Bee tunaiyonaga fizuli tuHuko kwenu mwinduro bonde ndani ndani kuna al jazeera!
Anzisha gazeti lako kurasa zote weka KURUDI KWA TAL.Nimepitia kurasa za mbele za magazeti ya leo yote haya kuonyesha tukio kubwa la ujio wa TAL isipokuwa Mwananchi pekee.
Hii dalili za uoga, mkakati wa wasiojilikana, kuminywa kwa uhuru wa media au?
===
Maoni ya Wachangiaji
Kwa usalama wao na familia zao.Ina maana Chadema kimepoteza mvuto wahariri hawakitaki
Chadema Ina maana hawako strategic wanapoteza media kuwakubali sababu hawajui kuwavutia media Kwao wawakubali mbona 2015 media zote zilikuwa na Chadema kurusha na kuchapisha habari? Lisu Hana nyota na media atafute mtu labda wa kusafisha nyota yake kwenye media za Tanzania huko Twitter anawaka vyombo vya nje anawaka vya Tanzania Yuko zero na ambako ndio kwenye wapiga kura.CNN,BBC DW na Aljazeera nk hawapigi kura na Ni watanzania wachache huangalia au kusikiliza nikiwemo Mimi na huko Twitter na YouTube huwa naingia Sana Sana Mara moja kwa mweziWahariri karibu wote ni watia nia ubunge kupitia CCM
Tatizo lako ni kuishi kwa shemeji yako na akili umedumaaAnzisha gazeti lako kurasa zote weka KURUDI KWA TAL.
Media ya nin kwa lissu by the way lissu haitaji media ila media zinamuhitaji lissu na usipoandika au kurusha habari za lissu kibiashara umefail kama huamin waulize inline TV bando nyingi zimetumika kwenye habari ipi.Chadema Ina maana hawako strategic wanapoteza media kuwakubali sababu hawajui kuwavutia media Kwao wawakubali mbona 2015 media zote zilikuwa na Chadema kurusha na kuchapisha habari? Lisu Hana nyota na media atafute mtu labda wa kusafisha nyota yake kwenye media za Tanzania huko Twitter anawaka vyombo vya nje anawaka vya Tanzania Yuko zero na ambako ndio kwenye wapiga kura.CNN,BBC DW na Aljazeera nk hawapigi kura na Ni watanzania wachache huangalia au kusikiliza nikiwemo Mimi na huko Twitter na YouTube huwa naingia Sana Sana Mara moja kwa mwezi
Nani kakuambia wewe na genge lako mna umuhimu kuliko wengine ?!. Kama Lissu hafai basi acting ni zaidi ya uozoWasubili Oktoba ndo utajua, wanashindana na kushinda.
Huyo tundu hana jipya hapa tanzania.
Huyo Tundu wakati bado ana ubunge alisema haogopi kuja na akipona tu anakuja
Nyie mashabiki mkasema haogopwi mtu sijui nini, mara akabadilisha gia angani, naogopa kuja wataniua,
Nyie mashabiki mkasema ni bora asirudi maana maisha ni bora kuliko ujio wake na akawapa hofu muamini kuna wasionulikana wana muwinda.
Mara jana huyooo JKNIA pale tena anawaondoa hofu yeye mwenyewe eti msiwe na hofu, kwa hiyo hao waliokuwa wanamuwinda amemalizana nao au?
Vinginevyo watakuwa wanajuana na hao wasiojukikana.
Mnadanganywa mapaka hamjitambui.
Na kama haogopi inabidi mjue hata huko nyuma alikuwa anadanganya juu ya uoga wake.
Tulia wewe kipindi Cha uchaguzi na kuelekea uchaguzi media hutaka kulipwa kuandika habari au kukutangaza hawategemei mauzo ya magazeti tu sababu kukutangaza. Mgombea Ni tangazo la biashara hiloMedia ya nin kwa lissu by the way lissu haitaji media ila media zinamuhitaji lissu na usipoandika au kurusha habari za lissu kibiashara umefail kama huamin waulize inline TV bando nyingi zimetumika kwenye habari ipi.
MnawakamataIna maana Chadema kimepoteza mvuto wahariri hawakitaki
Nani kakuambia wewe na genge lako mna umuhimu kuliko wengine ?!. Kama Lissu hafai basi acting ni zaidi ya uozo
Wewe unafaa kuwa nini ?!Lisu anafaa kuwa mpiga ukunga wa harmelin tu huyo.